K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Hongera kwa kuijua kweli nayo kweli itakuweka huru.Niseme ukweli, mimi nilishakuaga mlokole, na kiukwel kwa mara ya kwanza baada ya kutokewa na scenario hii ya kutokwa machozi bila kujua, ndipo nikaachaga kuwakebehi walokole mpaka hiv leo.
Sikua na shida kusema nilikwenda church kulia shida.
Sikua naumwa
Sikua na uhitaji wowote nakumbuka.
Ila kuna ile feeling automatic ilinikumba ya kumtafakari Mungu na upendo wake na kisha kuona kama Mungu kanitendea mambo meengi sana na wala sikua nina muda wa kujal hayo. Bas automatically nilijikuta nimepiga magoti na kulia machozi ikiwa ni ishara ya ku appreciate yale Mungu alikua amenitendea.
Ilitokea tu na baadae nikaja kujishtukia nikajiona kama nimechanganyikiwa hiv, how come na mimi nalia lia.😂😂😂.
NB
siku hiz nilishaanguka na kurud dhambini. Ila maisha yale ni mazuri sana
Lakini bado liko tumaini la kurejea kwa Mungu pamoja na makosa, maovu na dhambi ambazo tumemkosea Mungu.
1 Yoh 1:8-10
Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu.Usife moyo wa kukata tamaa, Mungu ni pendo anatupenda sote, tena anafurahi kuona tunaziacha njia zetu mbaya na kumrudia yeye.
Haijalishi tumejikwaa na kuanguka mara ngapi, ila yeye husamehe na kusau yote.