Uaminifu ndio ishara ya kumpenda Yesu

Hongera kwa kuijua kweli nayo kweli itakuweka huru.


Lakini bado liko tumaini la kurejea kwa Mungu pamoja na makosa, maovu na dhambi ambazo tumemkosea Mungu.

1 Yoh 1:8-10​

Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu.


Usife moyo wa kukata tamaa, Mungu ni pendo anatupenda sote, tena anafurahi kuona tunaziacha njia zetu mbaya na kumrudia yeye.

Haijalishi tumejikwaa na kuanguka mara ngapi, ila yeye husamehe na kusau yote.
 
Ninakuombea,

Mungu Afanye njia na kukurudisha kundini,

Maana imeandikwa hayupo ajaye Kwa Yesu bila Mungu kuachilia kibali juu yake, maombi yangu Kwa Mungu, yakupe kibali, minyororo ikuachie uwe huru.

Ubarikiwe. Amen
 
Ujinga na upumbafu ni kule kujiona ni wewe tu upo kamili mbele za Mungu! Halafu wengine wote wasiotenda kama wewe unawaona wote ni wenye dhambi!

Huo ndio upumbavu kwa wote wenye kujiona ni wakamilifu sana kuliko wengine

Shenzi kabisa
Hii ni kauli ya mtu aliyeshindwa maishani. Ptuuuuuuuuuu
 
Alafu mbona huu umumbe hauhusiani kabisa na walokole? Walokole hawalii kama anavyosema huho Kardinali, wao wapo tofauti kabisa.
 
Akiisha maliza kulia;
Anakwenda kusimanga majirani
Kunanyasa na kutesa wa nyumbani kwake
Tegeneza vita na mwandoa mwenzie
Nk
Nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…