Uamke asubuhi ukute account yako ina $150 billion utafanya nini?

Uamke asubuhi ukute account yako ina $150 billion utafanya nini?

Sky hizo fedha ni nyingi sana USD B? Mie nikipata hata USD M tu,Aiseeeeee naenda kwa madalali wanitafute eneo la ekari 4 Oysterbay ufukweni kwa bajeti ya usd 4m,Kisha Najenga Mansion ya usd 26m(4 story),Ulinzi hadi ikulu inasubiri.

Nanunua eneo la heka kama 100 hivi pembezoni mwa mji kama kongowe,mapinga,pugu etc najenga nyumba 400(Kila nyumba inakaa eneo la robo eka),Kila nyumba natumia milioni 100(USD 50,000 x 400 =20m usd) ,Najenga miradi kama hii minne yaani itakuwa kama Total USD 80m ukijumlisha na Mansion la baharini Grand Total inakuwa kama 110m USD.

35m USD naiweka Fixed Account na 5m USD ya kulinda mfuko na matumizi ya hapa na pale.

Nyumba 1600 ndio utakuwa mradi wa kuniingizia fedha ya kila mwezi,gharama za kupanga ni laki tu kwa mwezi,maana yake nitakuwa naingiza 160m Tsh kwa mwezi.
 
Sky hizo fedha ni nyingi sana USD B? Mie nikipata hata USD M tu,Aiseeeeee naenda kwa madalali wanitafute eneo la ekari 4 Oysterbay ufukweni kwa bajeti ya usd 4m,Kisha Najenga Mansion ya usd 26m(4 story),Ulinzi hadi ikulu inasubiri.

Nanunua eneo la heka kama 100 hivi pembezoni mwa mji kama kongowe,mapinga,pugu etc najenga nyumba 400(Kila nyumba inakaa eneo la robo eka),Kila nyumba natumia milioni 100(USD 50,000 x 400 =20m usd) ,Najenga miradi kama hii minne yaani itakuwa kama Total USD 80m ukijumlisha na Mansion la baharini Grand Total inakuwa kama 110m USD.

35m USD naiweka Fixed Account na 5m USD ya kulinda mfuko na matumizi ya hapa na pale.

Nyumba 1600 ndio utakuwa mradi wa kuniingizia fedha ya kila mwezi,gharama za kupanga ni laki tu kwa mwezi,maana yake nitakuwa naingiza 160m Tsh kwa mwezi.
Ukiwa na major project Kama hiyo uwe na department ya housing repair na uajiri plumbers na civil engineers wa kurekebisha mara kwa mara hutspata hasara
 
Bilioni 50 itanittosha, zinazobaki nitagawana na jamii inayonizunguka. Siwapi ccm hela mkononi, kama shule, kituo cha afya, barabara, soko la kisasa, eneo la michezo najenga kwa usimamizi wa watu wangu. Mtu wa serikali hapewi kashi. Pia nitawezesha vijana wa mtaani kwangu kwa mkakati maalum. Yaani kuwapa vitega uchumi.
Ndoto mbaya sana.
 
Ukiwa na major project Kama hiyo uwe na department ya housing repair na uajiri plumbers na civil engineers wa kurekebisha mara kwa mara hutspata hasara
Yes lazima uajiri watu wa kumaintain house na kurun project,Project Managers/Accountants etc
 
Eeeh nilipoona heading nikapata shauku ya kuingia nijue aliyeleta hii mada ni nani

Nimeshiwa pozi baada ya kukuta ni wewe bi mkubwa .
 
Sky hizo fedha ni nyingi sana USD B? Mie nikipata hata USD M tu,Aiseeeeee naenda kwa madalali wanitafute eneo la ekari 4 Oysterbay ufukweni kwa bajeti ya usd 4m,Kisha Najenga Mansion ya usd 26m(4 story),Ulinzi hadi ikulu inasubiri.

Nanunua eneo la heka kama 100 hivi pembezoni mwa mji kama kongowe,mapinga,pugu etc najenga nyumba 400(Kila nyumba inakaa eneo la robo eka),Kila nyumba natumia milioni 100(USD 50,000 x 400 =20m usd) ,Najenga miradi kama hii minne yaani itakuwa kama Total USD 80m ukijumlisha na Mansion la baharini Grand Total inakuwa kama 110m USD.

35m USD naiweka Fixed Account na 5m USD ya kulinda mfuko na matumizi ya hapa na pale.

Nyumba 1600 ndio utakuwa mradi wa kuniingizia fedha ya kila mwezi,gharama za kupanga ni laki tu kwa mwezi,maana yake nitakuwa naingiza 160m Tsh kwa mwezi.
Kingkong bana yaani ukipewa USD M tu halafu ukanunue eneo la 4M USD ?
Hapo ujenge kwa 26M USD

Kwa hiyo inakuwa hivi 1-4-26= ? Hii hesabu inaonyesha nini ?
 
Sky hizo fedha ni nyingi sana USD B? Mie nikipata hata USD M tu,Aiseeeeee naenda kwa madalali wanitafute eneo la ekari 4 Oysterbay ufukweni kwa bajeti ya usd 4m,Kisha Najenga Mansion ya usd 26m(4 story),Ulinzi hadi ikulu inasubiri.

Nanunua eneo la heka kama 100 hivi pembezoni mwa mji kama kongowe,mapinga,pugu etc najenga nyumba 400(Kila nyumba inakaa eneo la robo eka),Kila nyumba natumia milioni 100(USD 50,000 x 400 =20m usd) ,Najenga miradi kama hii minne yaani itakuwa kama Total USD 80m ukijumlisha na Mansion la baharini Grand Total inakuwa kama 110m USD.

35m USD naiweka Fixed Account na 5m USD ya kulinda mfuko na matumizi ya hapa na pale.

Nyumba 1600 ndio utakuwa mradi wa kuniingizia fedha ya kila mwezi,gharama za kupanga ni laki tu kwa mwezi,maana yake nitakuwa naingiza 160m Tsh kwa mwezi.
Japokuwa tupo ndotoni naomba uniajiri blaza
 
Back
Top Bottom