King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sawa ngoja tulale leo nikiamka naangalia SIMBANKING kama nikikuta USD 150M nitakuajiri mkuu.Japokuwa tupo ndotoni naomba uniajiri blaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ngoja tulale leo nikiamka naangalia SIMBANKING kama nikikuta USD 150M nitakuajiri mkuu.Japokuwa tupo ndotoni naomba uniajiri blaza
Hizi story zako hazijaishaga pamoja na jf kufungiwa, haitakaa itokee hii ni ngumuAsubuhi ukute bank account ina $150 billion kama Jeff Benoz utafanya nini?
Hesabu za mafumbo acha bulaza, uncle atuchanganye na wewe tena!..[emoji23]Mbona Mahesabu niliyoweka juu Total ni USD 150M.
Nasaidia ujenzi wa shule za msingi ziwe bora ( maabara na magorofa kama mbele), jenga apartments za haja Dodoma, jenga viwanja kama sita hivi vya kabumbu na nyasi la kitasha, jenga race track dar es salaam, jenga hospitali ya watoto ya kisasa, jenga kiwanda cha kusaga unga na kuufunga, kama bado hazijaisha ntajenga shule ya sekondari na kituo cha television, pia nta-fund projects za watanzania kama za kutengeneza magari, kompyuta, simu nk, mwisho ntasaidia elimu ya sekondari na kuendelea mpaka juu iwe kwa kiswahili ( hili ntalifanya kwa kuwahonga wanasiasa). Kama bado zipo ntaendeleza ujenziAsubuhi ukute bank account ina $150 billion kama Jeff Benoz utafanya nini?
hahaaha..huo wimboaaah kibegi aaah kibegi ila nitamtaarifu uncle ili isijekuwa ni trick maana huyu jamaaa__
hahaaha..huo wimboaaah kibegi aaah kibegi ila nitamtaarifu uncle ili isijekuwa ni trick maana huyu jamaaa__
Uko sawa.Nitaenda kwanza Jerusalem mpaka Nazareth nikashuhudie ninayoyasoma kwenye Bible nikimwambia Asante Mungu.
Wale wote wenye nyumba za nyasi kijijini kwetu nitawajengea decent homes.