Uamuzi wa ICC, Marekani yatoa angalizo kwa nchi yoyote rafiki itakayojaribu kuheshimu maamuzi ya ICC

Uamuzi wa ICC, Marekani yatoa angalizo kwa nchi yoyote rafiki itakayojaribu kuheshimu maamuzi ya ICC

Nobody will dare to arrest Netanyahu.

Hata Omar Al Bashir wa Sudan alikuwa warranted 2009 ila hawakumkamata sembuse major ally wa USA?
 
Ahahahahaha! Kweli, maana nasiaGA hata Saddam Hussein yupo Argentina huko anakula pensheni! Ahahahahaha!!
Kama Balali wa bongo mlilishwa matango pori ndio itakuwa hiya miamba ya dunia 🐼

Hapo UK tu watu waliaga box tupu wakidhani yumo Eliza

Hii dunia ina Waliopumbazwa wengi sana 😂😂😂
 
Baada ya mahakama ya ICC kutoa warrant ya kukamatwa Netanyahu kwa serikali yake kukiuka kanuni za vita, kama vile kuzuia kuingia kwa vyakula maeneo ya Gaza, Marekani imeweka wazi kuwa nchi yoyote rafiki wa Marekani, itakayojaribu kutekeleza amri ya mahakama ya ICC, Marekani itaiwekea vikwazo nchi hiyo, vitakavyoharibu uchumi wa nchi hiyo. Marekani imeongeza kuwa, ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.

Mahakama hii ya ICC iliyoanzishwa hasa kwaajili ya kuwadhibiti watawala madikteta wa Afrika na Asia, kwa kiasi kikubwa maamuzi yake yamekuwa yakidharaulika.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na mahusiano ya kimataifa, wanasema nchi za Ulaya hazina dhamira ya kumkamata Netanyahu bali wanatoa matangazo kuwa eti akienda nchini mwao watamkamata ili Netanyahu asiende kwenye mataifa yao wakati huu, na hiyo itawapa nafasi ya kusema kuwa hawakuwahi kudharau mahakama ya ICC. Wataalamhawa wanasema kuwa kama wangekuwa na nia ya kumkamata, wangenyamaza kimya, na kusubiri Netanyahu aingie kwenye mataifa yao ili wamkamate. Wanachofanya haya mataifa ni sawa na mtu anayesema kuwa ukija nyumbani kwangu nitakuwekea sumu kwenye chakula!!

"To any ally – Canada, Britain, Germany, France – if you try to help the ICC, we’re going to sanction you,” Graham told Fox News in an interview.

“If you are going to help the ICC as a nation and force the arrest warrant against Netanyahu and Gallant, the former defence minister, US will put sanctions on you as a nation,” he added.

“You’re going to have to pick the rogue ICC versus America… If you help the ICC, we’re going to crush your economy.” said Senator Lindsey Graham.
Ndio maana kila USA inaporomoka kiushawishi duniani.
USA hii hii ndio iliyokua ikiwaburuza mataifa ya Afrika kwenye mahakama hiyo hiyo ya ICC anayoita ya kipuuzi.
USA kuwa na double standards kwa Israel kunazidi kumporomosha kiushawishi.
 
Marekani wadwanzi kishenzi,yaani unawalazimisha watu ili wavunje sheria,wasipokubali kuvunja sheria anawawekea vikwazo..Pumbavu zao
 
US aipige sunction UK hahaha, ujuwe US ndio itapotezwa kuwa Super Power. Lazima US afahamu kuwa Super power sio kuwa na silaha tu, ni lazima uwe unajua siasa. Ukweli US bila Muingereza ni mfano wa mtu anaye tembea kwenye usiku wa giza.
 
Baada ya mahakama ya ICC kutoa warrant ya kukamatwa Netanyahu kwa serikali yake kukiuka kanuni za vita, kama vile kuzuia kuingia kwa vyakula maeneo ya Gaza, Marekani imeweka wazi kuwa nchi yoyote rafiki wa Marekani, itakayojaribu kutekeleza amri ya mahakama ya ICC, Marekani itaiwekea vikwazo nchi hiyo, vitakavyoharibu uchumi wa nchi hiyo. Marekani imeongeza kuwa, ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.

Mahakama hii ya ICC iliyoanzishwa hasa kwaajili ya kuwadhibiti watawala madikteta wa Afrika na Asia, kwa kiasi kikubwa maamuzi yake yamekuwa yakidharaulika.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na mahusiano ya kimataifa, wanasema nchi za Ulaya hazina dhamira ya kumkamata Netanyahu bali wanatoa matangazo kuwa eti akienda nchini mwao watamkamata ili Netanyahu asiende kwenye mataifa yao wakati huu, na hiyo itawapa nafasi ya kusema kuwa hawakuwahi kudharau mahakama ya ICC. Wataalamhawa wanasema kuwa kama wangekuwa na nia ya kumkamata, wangenyamaza kimya, na kusubiri Netanyahu aingie kwenye mataifa yao ili wamkamate. Wanachofanya haya mataifa ni sawa na mtu anayesema kuwa ukija nyumbani kwangu nitakuwekea sumu kwenye chakula!!

"To any ally – Canada, Britain, Germany, France – if you try to help the ICC, we’re going to sanction you,” Graham told Fox News in an interview.

“If you are going to help the ICC as a nation and force the arrest warrant against Netanyahu and Gallant, the former defence minister, US will put sanctions on you as a nation,” he added.

“You’re going to have to pick the rogue ICC versus America… If you help the ICC, we’re going to crush your economy.” said Senator Lindsey Graham.
BRICS need to take over
 
Marekani Wana mikwara mbuzi
Kwamba na wewe una amini kabisa Netanyahu/Bibi atakamatwa kwa amri ya ICC? Si ni hawa hawa ICC walifungua file kwa Putin? Kakamatwa? ICC is a toothless Lion, it only bites African leaders, not else. Israel ndio kabisaaa, sahau hilo.
 
US aipige sunction UK hahaha, ujuwe US ndio itapotezwa kuwa Super Power. Lazima US afahamu kuwa Super power sio kuwa na silaha tu, ni lazima uwe unajua siasa. Ukweli US bila Muingereza ni mfano wa mtu anaye tembea kwenye usiku wa giza.
Du
 
Baada ya mahakama ya ICC kutoa warrant ya kukamatwa Netanyahu kwa serikali yake kukiuka kanuni za vita, kama vile kuzuia kuingia kwa vyakula maeneo ya Gaza, Marekani imeweka wazi kuwa nchi yoyote rafiki wa Marekani, itakayojaribu kutekeleza amri ya mahakama ya ICC, Marekani itaiwekea vikwazo nchi hiyo, vitakavyoharibu uchumi wa nchi hiyo. Marekani imeongeza kuwa, ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.

Mahakama hii ya ICC iliyoanzishwa hasa kwaajili ya kuwadhibiti watawala madikteta wa Afrika na Asia, kwa kiasi kikubwa maamuzi yake yamekuwa yakidharaulika.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na mahusiano ya kimataifa, wanasema nchi za Ulaya hazina dhamira ya kumkamata Netanyahu bali wanatoa matangazo kuwa eti akienda nchini mwao watamkamata ili Netanyahu asiende kwenye mataifa yao wakati huu, na hiyo itawapa nafasi ya kusema kuwa hawakuwahi kudharau mahakama ya ICC. Wataalamhawa wanasema kuwa kama wangekuwa na nia ya kumkamata, wangenyamaza kimya, na kusubiri Netanyahu aingie kwenye mataifa yao ili wamkamate. Wanachofanya haya mataifa ni sawa na mtu anayesema kuwa ukija nyumbani kwangu nitakuwekea sumu kwenye chakula!!

"To any ally – Canada, Britain, Germany, France – if you try to help the ICC, we’re going to sanction you,” Graham told Fox News in an interview.

“If you are going to help the ICC as a nation and force the arrest warrant against Netanyahu and Gallant, the former defence minister, US will put sanctions on you as a nation,” he added.

“You’re going to have to pick the rogue ICC versus America… If you help the ICC, we’re going to crush your economy.” said Senator Lindsey Graham.
Sasa kwanini nchi zilizobaki ziendelee kuheshimu maamuzi ya ICC kama US wanachagua yapi ya kuheshimu na yapi ya kutoheshimu.
 
Huyo muongozaji wa ICC ana vina saba na magaidi wa Iran.
Sasa atamkamata babake, kama haijui Islael vzr basi arudi kwenye vitabu vitakatifu vya dini.
 
Back
Top Bottom