Colonel McCoy
JF-Expert Member
- Aug 15, 2023
- 305
- 584
Wapo na ndio wanamsaidia Putin hapo kwa Masanja Mkandamizaji 🐼Marekani ilikwenda Afghanistan kumtamfuta Osama na kukiangamiza kikundi Cha kigaidi cha Al Qaeda. Hivi Osama na Al Qaeda bado wapo Afghanistan? Ahahahahaha!!!
Ahahahahaha! Basi sawa. Naamini wapo na Yevgheny Prigoziny wanakiwasha! Ahahahahaha!!!Wapo na ndio wanamsaidia Putin hapo kwa Masanja Mkandamizaji 🐼
😎🤗🤗ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.
Prigoziny ana Mgahawa hapo Kwa Ramaphosa yupo katulia kabisaAhahahahaha! Basi sawa. Naamini wapo na Yevgheny Prigoziny wanakiwasha! Ahahahahaha!!!
Ahahahahaha! Kweli, maana nasiaGA hata Saddam Hussein yupo Argentina huko anakula pensheni! Ahahahahaha!!Prigoziny ana Mgahawa hapo Kwa Ramaphosa yupo katulia kabisa
Hii Dunia ina mambo mengi 😂😂
Kama Balali wa bongo mlilishwa matango pori ndio itakuwa hiya miamba ya dunia 🐼Ahahahahaha! Kweli, maana nasiaGA hata Saddam Hussein yupo Argentina huko anakula pensheni! Ahahahahaha!!
Ndio maana kila USA inaporomoka kiushawishi duniani.Baada ya mahakama ya ICC kutoa warrant ya kukamatwa Netanyahu kwa serikali yake kukiuka kanuni za vita, kama vile kuzuia kuingia kwa vyakula maeneo ya Gaza, Marekani imeweka wazi kuwa nchi yoyote rafiki wa Marekani, itakayojaribu kutekeleza amri ya mahakama ya ICC, Marekani itaiwekea vikwazo nchi hiyo, vitakavyoharibu uchumi wa nchi hiyo. Marekani imeongeza kuwa, ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.
Mahakama hii ya ICC iliyoanzishwa hasa kwaajili ya kuwadhibiti watawala madikteta wa Afrika na Asia, kwa kiasi kikubwa maamuzi yake yamekuwa yakidharaulika.
Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na mahusiano ya kimataifa, wanasema nchi za Ulaya hazina dhamira ya kumkamata Netanyahu bali wanatoa matangazo kuwa eti akienda nchini mwao watamkamata ili Netanyahu asiende kwenye mataifa yao wakati huu, na hiyo itawapa nafasi ya kusema kuwa hawakuwahi kudharau mahakama ya ICC. Wataalamhawa wanasema kuwa kama wangekuwa na nia ya kumkamata, wangenyamaza kimya, na kusubiri Netanyahu aingie kwenye mataifa yao ili wamkamate. Wanachofanya haya mataifa ni sawa na mtu anayesema kuwa ukija nyumbani kwangu nitakuwekea sumu kwenye chakula!!
"To any ally – Canada, Britain, Germany, France – if you try to help the ICC, we’re going to sanction you,” Graham told Fox News in an interview.
“If you are going to help the ICC as a nation and force the arrest warrant against Netanyahu and Gallant, the former defence minister, US will put sanctions on you as a nation,” he added.
“You’re going to have to pick the rogue ICC versus America… If you help the ICC, we’re going to crush your economy.” said Senator Lindsey Graham.
Mzee wangu naona weekend hii ushalewa chakaliiiiiMarekani Wana mikwara mbuzi
BRICS need to take overBaada ya mahakama ya ICC kutoa warrant ya kukamatwa Netanyahu kwa serikali yake kukiuka kanuni za vita, kama vile kuzuia kuingia kwa vyakula maeneo ya Gaza, Marekani imeweka wazi kuwa nchi yoyote rafiki wa Marekani, itakayojaribu kutekeleza amri ya mahakama ya ICC, Marekani itaiwekea vikwazo nchi hiyo, vitakavyoharibu uchumi wa nchi hiyo. Marekani imeongeza kuwa, ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.
Mahakama hii ya ICC iliyoanzishwa hasa kwaajili ya kuwadhibiti watawala madikteta wa Afrika na Asia, kwa kiasi kikubwa maamuzi yake yamekuwa yakidharaulika.
Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na mahusiano ya kimataifa, wanasema nchi za Ulaya hazina dhamira ya kumkamata Netanyahu bali wanatoa matangazo kuwa eti akienda nchini mwao watamkamata ili Netanyahu asiende kwenye mataifa yao wakati huu, na hiyo itawapa nafasi ya kusema kuwa hawakuwahi kudharau mahakama ya ICC. Wataalamhawa wanasema kuwa kama wangekuwa na nia ya kumkamata, wangenyamaza kimya, na kusubiri Netanyahu aingie kwenye mataifa yao ili wamkamate. Wanachofanya haya mataifa ni sawa na mtu anayesema kuwa ukija nyumbani kwangu nitakuwekea sumu kwenye chakula!!
"To any ally – Canada, Britain, Germany, France – if you try to help the ICC, we’re going to sanction you,” Graham told Fox News in an interview.
“If you are going to help the ICC as a nation and force the arrest warrant against Netanyahu and Gallant, the former defence minister, US will put sanctions on you as a nation,” he added.
“You’re going to have to pick the rogue ICC versus America… If you help the ICC, we’re going to crush your economy.” said Senator Lindsey Graham.
Kwamba na wewe una amini kabisa Netanyahu/Bibi atakamatwa kwa amri ya ICC? Si ni hawa hawa ICC walifungua file kwa Putin? Kakamatwa? ICC is a toothless Lion, it only bites African leaders, not else. Israel ndio kabisaaa, sahau hilo.Marekani Wana mikwara mbuzi
DuUS aipige sunction UK hahaha, ujuwe US ndio itapotezwa kuwa Super Power. Lazima US afahamu kuwa Super power sio kuwa na silaha tu, ni lazima uwe unajua siasa. Ukweli US bila Muingereza ni mfano wa mtu anaye tembea kwenye usiku wa giza.
Sasa kwanini nchi zilizobaki ziendelee kuheshimu maamuzi ya ICC kama US wanachagua yapi ya kuheshimu na yapi ya kutoheshimu.Baada ya mahakama ya ICC kutoa warrant ya kukamatwa Netanyahu kwa serikali yake kukiuka kanuni za vita, kama vile kuzuia kuingia kwa vyakula maeneo ya Gaza, Marekani imeweka wazi kuwa nchi yoyote rafiki wa Marekani, itakayojaribu kutekeleza amri ya mahakama ya ICC, Marekani itaiwekea vikwazo nchi hiyo, vitakavyoharibu uchumi wa nchi hiyo. Marekani imeongeza kuwa, ni juu ya mataifa hayo rafiki kuamua kusimama na Marekani au na mahakama ya kipuuzi ya ICC.
Mahakama hii ya ICC iliyoanzishwa hasa kwaajili ya kuwadhibiti watawala madikteta wa Afrika na Asia, kwa kiasi kikubwa maamuzi yake yamekuwa yakidharaulika.
Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na mahusiano ya kimataifa, wanasema nchi za Ulaya hazina dhamira ya kumkamata Netanyahu bali wanatoa matangazo kuwa eti akienda nchini mwao watamkamata ili Netanyahu asiende kwenye mataifa yao wakati huu, na hiyo itawapa nafasi ya kusema kuwa hawakuwahi kudharau mahakama ya ICC. Wataalamhawa wanasema kuwa kama wangekuwa na nia ya kumkamata, wangenyamaza kimya, na kusubiri Netanyahu aingie kwenye mataifa yao ili wamkamate. Wanachofanya haya mataifa ni sawa na mtu anayesema kuwa ukija nyumbani kwangu nitakuwekea sumu kwenye chakula!!
"To any ally – Canada, Britain, Germany, France – if you try to help the ICC, we’re going to sanction you,” Graham told Fox News in an interview.
“If you are going to help the ICC as a nation and force the arrest warrant against Netanyahu and Gallant, the former defence minister, US will put sanctions on you as a nation,” he added.
“You’re going to have to pick the rogue ICC versus America… If you help the ICC, we’re going to crush your economy.” said Senator Lindsey Graham.
Ngoja wayakanyage ndio watajua mkwara au mwenye dunia yake hatanii.Marekani Wana mikwara mbuzi