Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
PamojaUsiondoke JF
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mimi nasubiri kwa hamu kesho yule jambazi sugu Sabaya akipigwa mvua za kutosha
Sabaya soon anarudi kitaaani,stay tuned!!Mimi nasubiri kwa hamu kesho yule jambazi sugu Sabaya akipigwa mvua za kutosha
MtasubiriSabaya soon anarudi kitaaani,stay tuned!!
Sahau hicho kituMimi nasubiri kwa hamu kesho yule jambazi sugu Sabaya akipigwa mvua za kutosha
Itafutwa, Makonda ni mshirikana snMahakama ya Kinondoni leo itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na DPP ya kuzuia Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda.
Kesi hiyo Kabambe ambayo imefunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Saed Kubenea imeamsha hisia za wananchi, huku wengi wakiitaka ipewe nafasi ya kusikilizwa ili zijulikane mbivu na mbichi.
Kama kawaida, mimi nzi wenu Erythrocyte niko kwenye viunga vya mahakama nikinusanusa yatakayojiri ili kukuletea Taarifa kamili.
CCM wanabebana ataachiwaMimi nasubiri kwa hamu kesho yule jambazi sugu Sabaya akipigwa mvua za kutosha
whatever the case,Sabaya soon anarudi kitaaani,stay tuned!!
Una ninunuliaga bando au🤣Usiondoke JF
Ni kawaida hata Mbowe katokaCCM wanabebana ataachiwa
Makonda anakula raha mzeewhatever the case,
1. Funzo kubwa amelipata,
2. Mtaani ataaishi kwa shida sana, hana kinga tena wapo watakao taka kurudisha kisasi hasa wale waliokatwa masikio!
Mpuuzi weweNi kawaida hata Mbowe katoka
Unataka la bei ganiUna ninunuliaga bando au[emoji1787]
nafikiri utakuwa umekimbia kabisa hapo mahakamani kwa aibu ya unafiki wako yaani mnatengeneza kesi za michongo mfunge watu wasio na hatia wakati hata sheria hamzijui ona sasa imetupiliwa mbali kafungue na wewe ya kwakoMahakama ya Kinondoni leo itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na DPP ya kuzuia Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda.
Kesi hiyo Kabambe ambayo imefunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Saed Kubenea imeamsha hisia za wananchi, huku wengi wakiitaka ipewe nafasi ya kusikilizwa ili zijulikane mbivu na mbichi.
Kama kawaida, mimi nzi wenu Erythrocyte niko kwenye viunga vya mahakama nikinusanusa yatakayojiri ili kukuletea Taarifa kamili.
Sema kosa moja la Mheshimiwa mzee Mbowe. Nikupe makosa ya JAMBAZI Sabaya.Ni kawaida hata Mbowe katoka
Mpuuzi wewe ipo siku utafungwanafikiri utakuwa umekimbia kabisa hapo mahakamani kwa aibu ya unafiki wako yaani mnatengeneza kesi za michongo mfunge watu wasio na hatia wakati hata sheria hamzijui ona sasa imetupiliwa mbali kafungue na wewe ya kwako
Ngoja tuwasiliane na mwanasheria wa Kubeneanafikiri utakuwa umekimbia kabisa hapo mahakamani kwa aibu ya unafiki wako yaani mnatengeneza kesi za michongo mfunge watu wasio na hatia wakati hata sheria hamzijui ona sasa imetupiliwa mbali kafungue na wewe ya kwako