mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mleta mada mbona kimya tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kosa moja la Mheshimiwa mzee Mbowe. Nikupe makosa ya JAMBAZI Sabaya.
Sabaya kama mlivyo MaCCM wote KAUA, AMELAWITI , Amebaka, kakata watu masikio, kapiga misumari kwenye miguu ya watu na UJAMBAZI.
Na Ushahidi upo.
Makonda anakula raha mzee
Pesa ipo
Ova
Sema kosa moja la Mheshimiwa mzee Mbowe. Nikupe makosa ya JAMBAZI Sabaya.
Sabaya kama mlivyo MaCCM wote KAUA, AMELAWITI , Amebaka, kakata watu masikio, kapiga misumari kwenye miguu ya watu na UJAMBAZI.
Na Ushahidi upo.
Nakutana naye sana pale morocoKweli mkuu huyu jamaa juzi nimekutana naye Morocco hapa Dar,jamaa anaonekana bado anazopesa za kutosha kala suti ana Gari moja Kali sana Land lover na ana dereva wake,Jamaa in short yuko poa sana.
Pesa ipo paleKweli mkuu huyu jamaa juzi nimekutana naye Morocco hapa Dar,jamaa anaonekana bado anazopesa za kutosha kala suti ana Gari moja Kali sana Land lover na ana dereva wake,Jamaa in short yuko poa sana.
Taa.hira wewe huna unachokifahamu, unadhani Mbowe kuwa mpole mchezo enh? jinai haifi, muulizeni kuhusu tindikali Tabora, ugaidi Mwanza na mabomu ya Arusha bado ya Lwakatare, kumbuka wakati huo DPP alikuwa Jaji Feleshi ambaye kwa sasa ndo AG, kumbuka kwenye kikao na Rais AG alikuepo pia, kesi zote hizo DPP Feleshi alipigwa pini na JK, hiyo ya juzi nayo a water tight evidence ya kumtia jela Mbowe UPO na ndo sababu aliomba sana kesi isiendelee kusikilizwa as angeachwa uchi...kwa kuachiwa kwake kwa nini sio Sabaya?Sema kosa moja la Mheshimiwa mzee Mbowe. Nikupe makosa ya JAMBAZI Sabaya.
Sabaya kama mlivyo MaCCM wote KAUA, AMELAWITI , Amebaka, kakata watu masikio, kapiga misumari kwenye miguu ya watu na UJAMBAZI.
Na Ushahidi upo.
Uongo na uzandiki utakusaidia nini wewe kapuku ? Hivi Feleshi anaweza kumtisha nani nchi hii ?Taa.hira wewe huna unachokifahamu, unadhani Mbowe kuwa mpole mchezo enh? jinai haifi, muulizeni kuhusu tindikali Tabora, ugaidi Mwanza na mabomu ya Arusha bado ya Lwakatare, kumbuka wakati huo DPP alikuwa Jaji Feleshi ambaye kwa sasa ndo AG, kumbuka kwenye kikao na Rais AG alikuepo pia, kesi zote hizo DPP Feleshi alipigwa pini na JK, hiyo ya juzi nayo a water tight evidence ya kumtia jela Mbowe UPO na ndo sababu aliomba sana kesi isiendelee kusikilizwa as angeachwa uchi...kwa kuachiwa kwake kwa nini sio Sabaya?
Mahakama ya Kinondoni leo itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na DPP ya kuzuia Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda.
Kesi hiyo Kabambe ambayo imefunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Saed Kubenea imeamsha hisia za wananchi, huku wengi wakiitaka ipewe nafasi ya kusikilizwa ili zijulikane mbivu na mbichi.
Kama kawaida, mimi nzi wenu Erythrocyte niko kwenye viunga vya mahakama nikinusanusa yatakayojiri ili kukuletea Taarifa kamili.
Sasa unalia nini , si ukae utulie ?Uwepo usiwepo kwenye viunga hivyo, sisi tutapata habari. Hakuna umuhimu wa kutueleza hapa kwa vile tunajua kuwa usmuzi ni leo! Kwanza hakuna kesi hapo!
Akili zako hazina akili au ni makusudi tu, soma tena ulichoandika.Taa.hira wewe huna unachokifahamu, unadhani Mbowe kuwa mpole mchezo enh? jinai haifi, muulizeni kuhusu tindikali Tabora, ugaidi Mwanza na mabomu ya Arusha bado ya Lwakatare, kumbuka wakati huo DPP alikuwa Jaji Feleshi ambaye kwa sasa ndo AG, kumbuka kwenye kikao na Rais AG alikuepo pia, kesi zote hizo DPP Feleshi alipigwa pini na JK, hiyo ya juzi nayo a water tight evidence ya kumtia jela Mbowe UPO na ndo sababu aliomba sana kesi isiendelee kusikilizwa as angeachwa uchi...kwa kuachiwa kwake kwa nini sio Sabaya?
Uongo na uzandiki utakusaidia nini wewe kapuku ? Hivi Feleshi anaweza kumtisha nani nchi hii ?
Uongo na uzandiki utakusaidia nini wewe kapuku ? Hivi Feleshi anaweza kumtisha nani nchi hii ?
unataka kunifahamu ?Anaweza kukutisha wewe! Una ubavu mbele yake?
Mahakama ya Kinondoni leo itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na DPP ya kuzuia Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda.
Kesi hiyo Kabambe ambayo imefunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Saed Kubenea imeamsha hisia za wananchi, huku wengi wakiitaka ipewe nafasi ya kusikilizwa ili zijulikane mbivu na mbichi.
Kama kawaida, mimi nzi wenu Erythrocyte niko kwenye viunga vya mahakama nikinusanusa yatakayojiri ili kukuletea Taarifa kamili.
ndio nini ?Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoa wa Manyara imemuhukumu Mashaka Boay (41) mkazi wa vilima vitatu kifungo cha miaka 20 kwenda jela kwa kosa la kukutwa na nyama ya Twiga.
Mshtakiwa anadaiwa kutenda kosa hilo March 23,2022 katika Kijiji cha vilima vitatu ambapo Mwendesha mashtaka wa Serikali Grace Mgaya ameiomba Mahakama kutoa adhabu Kali kwakuwa kosa hilo ni la uhujumu uchumi na Serikali imekuwa ikutumia wanyama hao kuingiza mapato ambapo Twiga huyo thamani yake ni zaidi ya shilingi Milioni 34.
Hukumu hiyo imetolewa leo June 09,2022 na Hakimu wa Mahakama hiyo Victor Kimario ambapo mshtakiwa anayo haki ya kukata rufaa.
Awali wakati wa utetezi wa Mshtakiwa aliomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa ana Watoto wadogo wanne wanaomtegemea na ni mara yake ya kwanza kukutwa na kosa hilo. #MillardAyoMAHAKAMANI
unataka kunifahamu ?
ndio nini ?
Hahahaaaa...haya mabwa.wa yanachekesha sana, yani yeshajiona yenyewe ni special sana na ndo yanayostahili haki, Mbowe akikomiti a criminal offence kaonewa, akikomiti mwingine ni jambazi afungwe, ingieni field tukeni nyuma ya kibodi muone "watanzania" ni akina nani.Ndiyo hiyo uliyoshinda unaisubiri, tayari huku imeshatolewa!