uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Hata angehamisha raia mmoja tuu,kukimbia ni kukimbia.Warusi wapo Milioni 140 na idadi waliokimbia hawazidi Milioni 1.
Hapo hapo Urusi imechukua ria zaidi ya Milioni kwenye majimbo ya Zaphorizia, Kherison, Lugansk na Donetsk na possible baadae kubeba raia wote waliopo Odessa na Dnipro.
kama alijua raia wake watapata heka heka kwanini aliamua kuanzisha hii vita ya uvamizi?
Na bado ndo kwanza masaa sabini na mbili hayajatimia,