uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Hata angehamisha raia mmoja tuu,kukimbia ni kukimbia.Warusi wapo Milioni 140 na idadi waliokimbia hawazidi Milioni 1.
Hapo hapo Urusi imechukua ria zaidi ya Milioni kwenye majimbo ya Zaphorizia, Kherison, Lugansk na Donetsk na possible baadae kubeba raia wote waliopo Odessa na Dnipro.
Kwa kuwa wewe ni kilaza na umeshindwa kujibu maswali yangu na hasa sababu iliyofanya hizo bank zi collapse.Sasa kwanini ujiite Fanfa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama vitu basic kama hivyo hujui?
Kwa nini hayo mabenki yaanguke kwa wakati mmoja tena kipindi Cha special operation ya Mrusi?
Kwan nini Suiss Credit bank ifilisike?
Kwa nini itokee kipindi hiki hiki?
Kuna kiwanda Cha Ujerumani kikubwa Ulaya nzima Cha chuma nacho kimeshindwa kujiendesha, sababu ni nini?
Mkuu nasisitiza tena aidha kwa kujua au kutojua unachanganya mambo.Niambie mkuu nimechanganya wapi?
1) Aliyesema nani kwamba NATO hawakuwa na malengo ya kuongeza?
Victoria Nuland alikuwa anafanya nini maidan square?
Kwamba unavyodhani mchakato wa kuingiza Ufini na Uswidi ulianza Jana?
Hizi nchi huwa zinashiriki kwenye mazoezi yote ya NATO.
Kilichokosekana ni political will? Na hofu ya kuvamiwa na Urusi tu.
2)Ndio maana ndani ya Nato Kuna nchi zenye nguvu kwa sababu ya population na uchumi.
Kaliuthania au kafinland hakawezi kuwa na nguvu kubwa ya maamuzi kushinda Uk, France au German.
3. Yapo malengo yaliyofikiwa kama Donbas kuwa milele sehemu ya Urusi, Zaphorizia na Kherison kuwa sehemu ya Urusi.
4. Alternative payment apart from swift imeshaanzishwa
5.Amani kwenye maeneo ya muda mrefu imefikiwa mfano Yemen.
6.Maelewano ya Iran na Saudia
7.The world is shifting towards the East
8.Cheap Russian gas inakwenda Mashariki na Mataifa machache ya Ulaya lazima yalipe kwa kutumia Rubble's.
Mashoga mnachafua thread ya watu, kenge mavy nyie.Angalia ulichoandika hapa
NATO ni chama Cha mashoga wakiongozwa na Marekani ndio maana Juzi Museven kawapiga PiN atachinja mashoga wote Uganda, subiri siku yenu ya kusherehekea alafu msherehekee mkiwa Uganda maadhimisho ya mwaka huu si yanafanyila Israel siku ya MASHOGA Duniani na bendera yenu ya Upinde mnanuka kinyesi
IQ kubwa sio mataco kwamba kila mmoja anaweza kuwa nayo.Huwa nasema mara kwa mara shule za kata zimetuharibia taifa.
Hizi ndo products zake na wengi wao waliibuka na miswaki saba (7F). Ni mapoyoyo yasiyojua kitu na hayataki kujifunza au kuelimishwa. Yakishakaririshwa jambo yanabaki kupoga poroja bila kuwa na tafakuri.
Huna lolote wewe poyoyo. IQ yako ndogo sana.
1. Kwani Finland amejiunga kipindi gani?Mkuu nasisitiza tena aidha kwa kujua au kutojua unachanganya mambo.
1. Tulizungumzia ujio wa member mpya Finland amepata sababu za kujiunga NATO kisa SMO.
Kwa bahati mbaya umetaja Maidan Square na Victoria Nuland hizo case zote ni Ukraine na sio Finland. Kwanini zi apply kwenye membership ya Finland?.
2. Kama NATO walipanga expansion kama unavodai kwanin Sweden amekwama kujiunga mpaka leo? Wakati nae anafanya mazoezi ya Kijeshi kila mara na NATO hao hao?
3.Sehemu za Ukraine bado hazijaenda moja kwa moja kama unavuodai tusubiri majibu ya Ukraine.
4.Hiyo alternative payment hadithi yake haijaanza wakati wa SMO ni muda sasa na sijui lini itaanza kutumika.
Ama kweli products za 7F zinatembea na mafuvu tu. Sijui kama unaelewa ulichoandika mwenyewe. Hata hoja za thread hii hujazijua. Anyway, ngoja tukuulize maswali ili tuzidi kupima akili yako kabla hatujakushauri kwenda milembe.Sijauona U'great thinker kwenye uzi wako,, nilichoona ni "MAHABA NIUE"
Ili nikutenge na WADAKU Ilitakiwa utueleze ni ni hasara kiasi gani RUSSIA wanapata baada kuteka Zhapholizia, yenye mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme wa nyuklia,,
Pia utuonyeshe faida wanazopata washirika wa Nato, kwa kutekwa mtambo huo na RUSSIA. Ili tuamini kwamba RUSSIA amepata hasara kwenye eneo hilo.
Ulitakiwa utueleze kwa "Data" ni kwa kiwango gani RUSSIA wanapata hasara kwa kuiteka Mauriopol yenye bandari na viwanda lukuki,, vilevile tuambiwe UKREIN na hao wanaojiita Nato wananufaikaje na utekaji huo.
Mpaka sasa Russia, anamiliki (kwa njia ya utekaji) eneo la Donabas lenye utajiri wa chuma gas dhahabu na ardhi mulua kwa kilimo cha Ngano na Alizeti, ambayo ni mahitaji ya lazima kwa ustawi wa uchumi, hebu tuambie kwa takwimu ulizonazo Russia bado ni FANFA kwa kuirejesha hiyo Ardhi ndani ya HIMAYA yake,,!?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Bado haielezi nini hasa sababu ya hizo benki kuyumba mpaka kufikia kufilisika.Kwa kuwa wewe ni kilaza na umeshindwa kujibu maswali yangu na hasa sababu iliyofanya hizo bank zi collapse.
Si vibaya kumwelimisha mtu poyoyo kama wewe. Hebu jisomee hapa mpaka mwisho uelimike kidogo. Sina uhakika kama unazijua terminology za uchumi, najua hutaambulia kitu. Utaibuka na kioja kingine
What Happened to First Republic Bank?
First Republic Bank’s collapse was due to several factors, including its high levels of uninsured deposits and broader concerns about the stability of regional banks.www.investopedia.com
Kwa hiyo Russia iliivamia Ukraine kwa sababu inapinga ushoga. Kama ndo hivyo kwa nini hajaenda kuivamia USA?Sijui sana Kuhusu International Disputes,Lakini Nachotaka mimi Putin Ashinde Na NATO ianguke Nataka Kuona USSR ikiinuka Tena Tuachane Na Hayo mashoga Siyapendi
1. Nilijua hutaelewa kilichoandikwa. Kwa kuwa wewe ni mazalia ya 7F sijashangaa.Bado haielezi nini hasa sababu ya hizo benki kuyumba mpaka kufikia kufilisika.
Kwa kukusaidia embu angalia sera za US FEDERAL RESERVE na athari zake kiuchumi.
Hasa ya kupandisha interest rate halafu tuje kujadiliana
Ukraine haipati umeme kutoka ZNPP na umeme umeunganishwa kwenye grid zinazokwenda Urusi.Ama kweli products za 7F zinatembea na mafuvu tu. Sijui kama unaelewa ulichoandika mwenyewe. Hata hoja za thread hii hujazijua. Anyway, ngoja tukuulize maswali ili tuzidi kupima akili yako kabla hatujakushauri kwenda milembe.
1. Kwa hiyo sababu ya Russia kuovamia ukraine ilikuwa ni kuchukua ZNPP na DONBAS?
2. Je, sasa hivi Russia inapata umeme kutoka ZNPP baada ya kuuteka?
3. Je, Russia ina operate mitambo ya ZNPP?
4. Je, sasa hivi Ukraine haipati umeme kutoka ZNPP?
Ama kweli wewe ni kilaza.Ukraine haipati umeme kutoka ZNPP na umeme umeunganishwa kwenye grid zinazokwenda Urusi.
Petro Kotin, president of Energoatom [a Ukrainian state enterprise operating nuclear power stations in Ukraine - ed.] has said that Russia has begun implementing its plan to disconnect the Zaporizhzhia Nuclear Power Plant (ZNPP) from the Ukrainian power grid and to connect it instead to the Russian grid.
Source: Petro Kotin on air during the 24/7 national joint newscast
Mitambo wanaoperate kwa kushirikiana na baadhi ya maafisa wa Ukraine na possible hata paycheck zao ni kutoka Urusi.
Eneo limeshikiliwa na majeshi ya Urusi ila Waukrain walijaribu Kutaka kupachukua ila haikuwezekana.
Sababu haikuwa mitambo ila ni sehemu ndogo muhimu inayohitaji kupewa ulinzi na singeweza kuachiwa Zelensky.
1 The Fed also sets the discount rate, the interest rate at which banks can borrow directly from the central bank.1. Nilijua hutaelewa kilichoandikwa. Kwa kuwa wewe ni mazalia ya 7F sijashangaa.
2. Hebu tuwekee hapa sera unazodai ni za Federal Reserve na athari zake ili na sisi tuzione. Maana sisi sio waumini wa porojo.
3. Narudia tena kusema huna abcd za uchumi hata chembe. Labda kama ni Porojo economics.
Kuna wadau humuita Putin jasusi mbobevu,Ila cha ajabu huyu jasusi mbobevu alishindwa kabisa kufanya tathmini ya kutosha kabla ya kuanzisha hii Vita.Je, Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu au mkakati ulioshindwa (Strategic Failures)? hili ni swali linahitaji majibu.
Sababu mojawapo iliyotolewa na Russia kwa kuhalalisha uvamizi wake nchini Ukraine ilikuwa ni Ukraine kuwa na mpango wa kujiunga EU na baadae NATO.
Russia/Putin alitaka Ukraine iendelee kuwa Neutral country huku ikiendelea kuwa koloni la Russia kama ilivyo kwa jilani yake Belarus ya Lukashenko.
Putin/Russia alikuwa hataki Ukraine ijiunge EU na NATO kwa hoja ya kwamba alikuwa hataki EU na NATO wajitanue na kuisogelea mipaka ya Russia eti kwa hofu ya kuhatarisha usalama wa Russia.
Lakini baada ya kuivamia Ukraine tumeshuhudia nchi kama Sweden na Finland kujitoa kwenye uamuzi wa kuwa Neutral state na kuchukua hatua zaidi za kujiunga na NATO ili kujihakikisha ulinzi wa nchi zao dhidi ya Russia.
Matokea ya maamuzi ya Finland ukazaa matunda na kuruhusiwa kwa kasi ya mwendokasi kujiunga NATO. Sweden naye muda si mrefu ataruhusiwa kuwa mwanachama wa NATO.
Baada ya Finland kujiunga NATO sasa NATO iko ubavuni mwa Russia kwa eneo kubwa kuliko hata kabla hajaivamia Ukraine. NATO imejitanua maradufu na Russia hana cha kuifanya Finland na Sweden pamoja na vitisho vyake vya awali. Mbaya zaidi Ukraine naye mwisho wa siku atajiunga NATO baada ya vita kuisha. Hii itaifanya NATO kujitanua maradufu kwa muda mfupi na Russia asiwe na la kufanya.
Ukraine akiruhusiwa kujiunga na NATO baada ya vita huenda nchi zingine kama Moldova, Georgia, Azerbaijan, Armenia na zingine nazo zikaruhusiwa kujiunga na NATO.
Hivyo basi uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mkakati ulioshindwa (strategic Failure), ambapo Russia amepata hasara kuliko faida. Kama sababu ilikuwa ni kuogopa kusogelewa na NATO kwa kisingizio kuwa usalama wa Russia utakuwa hatarini sasa kasogelewa na hana la kufanya.
Hebu tutafakari hoja hizi;
1. Kwa kuwa Finland ni mwanachama wa NATO. Je, Russia atadhubutu kurusha hata bomu la mkono nchini Finland kwa sasa?
2. Russia ana ubavu wa kuizuia Sweden isijiunge na NATO kama ambavyo tuliaminishwa mwanzo na Russia?
3. Je, kitendo cha Russia kuivamia Ukraine ndo kajipalia mkaa zaidi na kujiweka kwenye hatari kuliko alivyofikiria kabla?
4. Je, Russia ataweza kuizuia NATO kutojitanua zaidi kama anavyojigamba au ni kelele za chura kwa ng'ombe kumzuia asinywe maji?
5. Kama Russia atashindwa hii vita na Ukraine kujiunga na NATO atakuwa amepata faida kwa kuanzisha vita dhidi ya Ukraine au hasara.
6. Kama Sweden na Finland wameomba kujiunga na NATO na kukubaliwa katikati ya vita. Je, Russia kapata faida gani?
7. Je, nchi zingine zikiomba kujiunga na NATO atakuwa na ubavu wa kuzizuia kama alivyojaribu kufanya kwa Ukraine na kushindwa?
Maana yangu ni kwanini Sweden ambae yuko willing akwame kujiunga kisa member wa NATO? inamaana hawana mipango ya ndani kwamba member huyu inabidi tumchukue?1. Kwani Finland amejiunga kipindi gani?
Kwa nini usione muunganiko wa matukio?
2. Sweden amekwama kwa sababu ya Uturuki.
Je hili nalo unataka maelezo mengi?
Lakini Nia ya Nato ni expansion
3. Una maana gani, ulisema hazijaenda Moja kwa Moja, watalia Lia na kutafuta sympth ya Dunia hasa western world ila hayo maeneo wasahau.
Nasubiria kusikia Jamhuri mpya ya Dnipro ikianza
4. Unadhani haijaanza kutumika
1. Unajua tofauti ya uangalizi na usimamizi?Ama kweli wewe ni kilaza.
1. Kwa hiyo hujui kuwa ZNPP iko chini ya usimamizi wa IAEA.
2. Ni mwaka gani grid ya umeme ilijengwa kutoka Ukraine kwenda Russia. ?
3. Kwa kuwa umeme wa ZNPP unaenda mpaka Crimea. Crimea iko nchi gani?
Mkuu wewe unaifaitilia Uturuki na siasa zake?Maana yangu ni kwanini Sweden ambae yuko willing akwame kujiunga kisa member wa NATO? inamaana hawana mipango ya ndani kwamba member huyu inabidi tumchukue?
Hiyo system China alisha ikataa na China ndio master wa huko akigoma hakuna kinachofanyika. Hata mwenyewe still anaendelea kuboresha system yake ili kama anaweza kupata watumiaji
Upo hadi hukuKuna wadau humuita Putin jasusi mbobevu,Ila cha ajabu huyu jasusi mbobevu alishindwa kabisa kufanya tathmini ya kutosha kabla ya kuanzisha hii Vita.
Hii Vita imeifedhehesha Sana Urusi na Putin na imefichua udhaifu wake.
Rudi ukasome link niliyokutumia kuliko kuja na porojo ambazo hata hazipo au hazijasemwa. Sababu zimewekwa wazi kwa nini zili collapse. Wapi wamesema kuwa kuongezeka kwa interest rate ndo kumefanya hizo benki zi collapse.Matokeo yake
Ukipandisha interest rate kama dokezo namba mbili linavyosema
Bank kama Silicon Valley Bank ambalo lenyewe limeinvest kwenye new technology niche na Kutoa mikopo nafuu likaingia kwenye mtihani.
Kivipi makampuni mengi waliyoyakopesha yalikuwa Bado hayajamature na kwenda kusababisha liquidity issue na kupelekwa anguko lake.
Link yako haina issue na nimeipitia yote sawa Mchumi.Rudi ukasome link niliyokutumia kuliko kuja na porojo ambazo hata hazipo au hazijasemwa. Sababu zimewekwa wazi kwa nini zili collapse. Wapi wamesema kuwa kuongezeka kwa interest rate ndo kumefanya hizo benki zi collapse.
Kama ni issue ya interest rate kwa nini mabenki makubwa hayajaanguka?