Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu iliyoshindwa (Strategic Failure)?

1. & 2. Hakuna aliyekukatalia kuwa ZNPP is under control of Russia troops. IAEA ndo wanasimamia ZNPP si vinginevyo zingine ni porojo tu.

3. Link zako zote ni utopolo hazina mahusiano na unachokisema. Ili ujue kuwa wewe ni mjinga zifungue uone.

4. Ni propaganda tu. Neuclear Reactors zote ziko under supervision ya IAEA. Ndiyo maana team ya IAEA ipo pale tangu ZNPP ilipokuwa chini ya Russia troops.
 
Majukumu ya IAEA ni nini?
 
Sipo upande wowote ULE ila dollar haijashuka kiivyo ipo kwenye up and down ya Kawaida tu
 
Baada ya kurukaruka sana kama pimbi, sasa hebu tujibu haya maswali.

Hebu tutafakari hoja hizi;

1. Kwa kuwa Finland ni mwanachama wa NATO. Je, Russia atadhubutu kurusha hata bomu la mkono nchini Finland kwa sasa?

2. Russia ana ubavu wa kuizuia Sweden isijiunge na NATO kama ambavyo tuliaminishwa mwanzo na Russia?

3. Je, kitendo cha Russia kuivamia Ukraine ndo kajipalia mkaa zaidi na kujiweka kwenye hatari kuliko alivyofikiria kabla?

4. Je, Russia ataweza kuizuia NATO kutojitanua zaidi kama anavyojigamba au ni kelele za chura kwa ng'ombe kumzuia asinywe maji?

5. Kama Russia atashindwa hii vita na Ukraine kujiunga na NATO atakuwa amepata faida kwa kuanzisha vita dhidi ya Ukraine au hasara.

6. Kama Sweden na Finland wameomba kujiunga na NATO na kukubaliwa katikati ya vita. Je, Russia kapata faida gani?

7. Je, nchi zingine zikiomba kujiunga na NATO atakuwa na ubavu wa kuzizuia kama alivyojaribu kufanya kwa Ukraine na kushindwa?
 
Mbona unaji contradict mwenyewe, huku unasema hujasema kama ugomvi wa Russia na Ukraine siyo wa mipaka. Hapa unasema Russia na Ukraine wana "conflict ya kimipaka". Which is which????
Rudia kusoma tena nilichoandika,iachie akili yako iwe free ndio utaelewa!
 
Lin Putin amekuwa na ugomv wa kimipaka na Ukraine ? Rudi chimbo katafute hoja mpya , Fin nq Urusi wamewai pigania maeneo huko mipakan mwao
Fuatilia humu,kuna nukuu ya putin imewekwa humu!Yeye Rais wa Russia na wewe,nani anajua zaidi kuhusu conflict ya maeneo?
 
Umeishia drs la ngap? Maana huko ndo huwa wanajib bila ref
Ungekuwa umefuatilia comments,usingeuliza swali la aina hii!Tatizo mnadandia tu mijadala bila kujipa muda wa kusoma mawili matatu ambayo yameshajadiliwa!
 
1. Ukiwa na akili ulipaswa ujiulize hili swali kwa namna hii je, Finland kwa kuwa mwanachama wa Nato anaweza kurudisha maili kumi za eneo alilonyang'anywa na Mrusi?

Maana upande wa Urusi sisi mabingwa na tulimpiga Vita na akashindwa.

2.Nitajie sehemu au source iliyosema Urusi ilikuwa inaizuia Sweden kuomba uanachama?

3. Hapana huna swali kwenye hicho kipengele tunachojua Russia itaongeza maeneo kwenye federation yake

4.Mpaka hapo kashaizuia au Ukraine ni mwanachama?

5.Kuhusu kushindwa vita hilo sahau unless uwe na mtindio wa ubongo ndio utakuwa na hilo wazo.

Hayo ni maneno ya Kanali McGregor wa US Army

6.nadhani hili ni swali la Geopolitics na faida ya Urusi ni kubwa mno.
Kwani Sweden ni Maslav?

7.Nchi kama ipi nyingine baada ya kushuhudia ilichokipata Ukraine.

Haya ni maswali yakitoto mno na rahisi kujibiwa hata na Layman
 
Kwa jinsi ulivyonijibu, Mtu anayesoma majarida ya kisayansi anawezadhani WEWE ni binadamu aliyezalishwa MAABARA na hupo hapa JF kwa majaribio.

Ila Mimi Naamini wewe ni binadamu kamili, ila Umeathiriwa na "Jina lako la kujificha" yaani "Fanfa" kibantu FANFA ni "Kondo la nyuma" kwa hiyo ubongo wako ni sawa na ulicho jifananisha nacho.

Mkuu nilikuomba uifafanulie jamii inayosoma uzi wako faida wanazopata Nato, na Ukreini. baada ya RUSSIA Kuivamia Ukreini na kuteka Zhapholizia Mauriopol na Donabas +Marhinkha.
Ili upate heshima ya kuitwa "Great thinker"
Kama ulivyo jitambulisha.

Majibu uliyotoa, yanadhibisha kwamba wewe ni FANFA (Kondo la nyuma) wala sio Great thinker.,,

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mwache na Uzi wake tuende nae pole pole, si unajua yeye hajibu maswali na Wala haleti takwimu.

Umeshaona level ya akili yake hivyo muhurumie na mpe elimu taratibu taratibu kama kigori aliyevunja ungo

Kifupi mpelekee moto taratibu huku unampoza pole pole
 
Kwa akili yako unajiona umejibu maswali yaliyoulizwa.

You scored (-50%). See me.
 
Huenda baba yako ni shoga alikuzaa kupitia matakoni. Huenda ndo maana akili yako ilichanganyika na mavi. Maana unachoandika ni uharo mtupu. Illogical statements
 
Kwa akili yako unajiona umejibu maswali yaliyoulizwa.

You scored (-50%). See me.
Halafu kumbe haka kajamaa ni kaalimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Putin wa Russia angeridhika na cremea, alafu angeendelea kujikita zake kwenye mikwara,magwaride na maonyesho ya silaha, huku akisubiria uzee wake umalizike kwa amani..... Lakini mwaka jana aliamua kuneng'eneka! Ngoja tuone mwisho wa hii picha
 
Halafu kumbe haka kajamaa ni kaalimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pro Russia wanakuona wewe ndo great thinker wao.

7F ni janga la kitaifa. Jitahidini basi angalau muwe mnajisomea ili muelimike muachane na porojo na propaganda za kumezeshwa.

Lakini kwa kujifanya mnajua mambo kumbe hamjui kitu hamtakaa muelimike. Ili uelimike unahitaji uwe LLUK. Tafuta maana ya LLUK
 
Comment zinasomwa na watu wengi
Wasomaji ndio wanaojudge kujua yupi uchochoro na yupi ni Mwanafalsafa.

Ila kila hoja yako ya kiutopolo imejibiwa kwa nguvu ya hoja na kuonyeshwa udhaifu wa kimantiki.

Kama Kuna mtu anahitajika kujifunza basi ni wewe na kingine punguza maneno ya jazba na kashfa zisizo kuwa na mipango

Karibu kwenye main thread ya vita kati ya Urusi na Ukraine iliyoanzishwa na askari maji ukutane na magwiji kule

Welcome to Jamii Forum
 
Huenda baba yako ni shoga alikuzaa kupitia matakoni. Huenda ndo maana akili yako ilichanganyika na mavi. Maana unachoandika ni uharo mtupu. Illogical statements
Fanfa katika UFANFA wako,, kama hizi ndizo akili za walimu, sijui hao watoto unaowafundisha wana hari gani,,!?

Inawezekana wewe ni mmojawapo wa wale waalimu Mashoga na wasagwaji waliopandikizwa mashuleni, kwa lengo la kusambaza Ushoga na Usheitwani wa huko WEST,

Endelea kudhibitisha kuwa wewe ni FANFA (Kondo la nyuma) kwa majibu UHARO,,



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…