Uamuzi wa Uingereza kuipiga marufuku kampuni ya Huawei ni hasara kwa Uingereza na maendeleo ya teknolojia ya huduma ya 5G

Uamuzi wa Uingereza kuipiga marufuku kampuni ya Huawei ni hasara kwa Uingereza na maendeleo ya teknolojia ya huduma ya 5G

Kuna watu hapa wanaitetea sana China ila wajue mchina ni mwizi mkubwa sana. Sijakataa Huawei ni the best ila kaiba technology halafu kampuni hii inaiba siri za Marekani na nchi nyingine na kuipa serikali ya china. Hata kama ni mm siwezi kukuvumilia lazima nikuweekee zengwe
Mwizi namba moja ni USA.... Kama ilivyo kwa wezi hawapendi kuibiwa
 
Kuna watu hapa wanaitetea sana China ila wajue mchina ni mwizi mkubwa sana. Sijakataa Huawei ni the best ila kaiba technology halafu kampuni hii inaiba siri za Marekani na nchi nyingine na kuipa serikali ya china. Hata kama ni mm siwezi kukuvumilia lazima nikuweekee zengwe
Kwani wewe una mtetea nani?
 
BUSH BIN LADEN ametoa mifano ahi wa kuonyesha umafia wa ma YANKEE (Gringos) si kwa Uchina tu bali kwa Urusi, Ufaransa na Ujerumani - binadamu gani anawagehuka hata rafiki wake wa karibu, anawakumbuka tu anapotaka kuvamia/pigana vita na Banana Republics, mfano: Iraq,Afghanistani, Syria walitaka kuivamia Venezuela wakagwaya kutoka na uwepo wa Urusi na Uchina.

Mwaka jana nilimuona kwenye luninga a former Alstrom CEO, mfaransa huyo ingawa hivi sasa amezeeka sana lakini alikuwa anatahadhalisha Dunia hasa kampuni za Uchina kwamba Amerika ni Taifa ambalo halitaki kabisa ushindani wa biashara kwa maneno mengine hawataki Makampuni ya USA kuzidiwa kete na Mataifa mengine wapo radhi hata to kill rivals ili wakidhi matakwa yao - hiki ndicho kinaendelea baina ya kampuni ya Huawei na Serikali ya Trump, kampuni ya Gasprom (Urusi) na Serikali ya Trump, Amerika iliwahi kutaka kuingilia Kampuni ya Urusi inayo zalisha products za Aluminium kwa wingi Duniani, walitaka eti Managing Director wake abadirishwe - akili gani hizi?

Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba wewe unahoji eti "China ina ubunifu gani zaidi ya wizi!!"" unarudia propaganda zile zile za media za magharibi - unacho sahau ni kwamba masuala ya teknolijia to put into practice principles za physics, hakuna physics za Kichina,Kimerikana wala Urusi,vyuo vikuu vyote Duniani ufundisha kanuni zile zile tofauti ni lugha tu, sasa nikiona watu na akili zao timamu wanawasema vibaya wachina as if hawana akili za kujiendeleza kiteknolojia nawashangaa sana, Amerika unikumbusha imani ya Wamasai kwamba Ngombe wote Duniani belogs to them au mwanangu aliye wahi kuniambia kwamba magari yote Duniani ni TOYOTA i.e hakuna kampuni yoyote yenye uwezo wa kuunda magari zasidi ya Toyota, baadhi ya members wa JF wana amini the World is Amerika uwambii kitu wakakusikiliza. Eti: Wachina wezi! Mbona Wachina wana teknolijia ya mawasiliano ya kisasa kabisa(5G) ambayo USA hawana kabisa au unataka kusema Wachina wanaiba teknolojia ambayo USA hawana - hivi hii inaingia akili kweli? Vile vile Wachina wana latest Hypersonic missiles kitu ambacho USA hawana, mbona hayo hamuyasemi - mnakazania Wachina wezi,wezi - kisa? Wamerika wamesema hivyo, yaani mnachukulia madai ya US dhidi ya Taifa la Uchina as if madai hayo ni Gospel truth.
Umenyoosha; congrats!! Wapo watu humu JF wanaamini kwamba kila kitu bora duniani lazima kianzie USA; kikibuniwa na taifa jingine eti wame-copy kutoka USA; upuuzi mtupu!!
Kabla ya USA kuwepo hapakuwepo mataifa yaliyokuwa na teknolojia zake ambazo sasa zitakuwa zimeendelezwa sana?
Hakuna dola duniani inayoweza kuitawala dunia yote. USA akabiliane na washindani wake kiteknolojia, siyo kwa figisu kama anavyofanya kwa HUAWEI, Air Bus na wengine. Anaweza kuwakwamisha kwa muda tu; but in the long run watatoboa tu, maana kila mwanadamu ana maarifa ya kupambana na mazingira yake ili aweze ku-survive.
 
5G kaina wapi nakwanani ?!
wakat hata hao US hawana ?!


Kuhusiana na kuiba siri za US mbna hata US anaiba na Alishaiba.....
Una mahaba hadi unasahau facts,
huawei sio kampuni ya kwanza kuwa na 5g, at&t wana 5g toka 2019 na haikuwa provided na huawei, kilichopo huawei anaprovide 5g service at a fraction of cost ndo mana aliwin tenda nyingi huko ulaya.
hata wanampompiga pin huawei sio kwamba watarudi 4g , bali wana opt expensive 5g providers ili wasi compromise security kwa mchina
 
Una mahaba hadi unasahau facts,
huawei sio kampuni ya kwanza kuwa na 5g, at&t wana 5g toka 2019 na haikuwa provided na huawei, kilichopo huawei anaprovide 5g service at a fraction of cost ndo mana aliwin tenda nyingi huko ulaya.
hata wanampompiga pin huawei sio kwamba watarudi 4g , bali wana opt expensive 5g providers ili wasi compromise security kwa mchina
Nahii 6G ambayo wachina washa anza kuifanyia mipango nayo kaiiba wapi ?!

Kama walikua wakwanza walikwamia wapi kuanza kui launch mpaka wakamngojea mzee UCHINA akaanza kufanya yake ?!
 
Nahii 6G ambayo wachina washa anza kuifanyia mipango nayo kaiiba wapi ?!

Kama walikua wakwanza walikwamia wapi kuanza kui launch mpaka wakamngojea mzee UCHINA akaanza kufanya yake ?!
6g ipo kwenye research na mchina yupo vizuri kwenye propaganda, Huawei' inasema kama wakifanikiwa wata launch 6g 2030, bado hujaelewa tu kuwa jamaa ni propaganda ,
America na South Korea ndi watu wa kwanza kutumia 5g na haikuwa ya huawei
 
6g ipo kwenye research na mchina yupo vizuri kwenye propaganda, Huawei' inasema kama wakifanikiwa wata launch 6g 2030, bado hujaelewa tu kuwa jamaa ni propaganda ,
America na South Korea ndi watu wa kwanza kutumia 5g na haikuwa ya huawei
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lenu mmekaririshwa kuhusiana na UCHINA kila atakalofanya mnaambiwa kama propaganda

Kama mnavyoambiwa kama 5G walikua wanatumia wao inamaana wao hawataki hela kwakufanya biashara namataifa ama makampuni mengineyo mpaka wakamuachia UCHINA achukue nafasi !?

Ama UCHINA alikua anaingia hio mikataba kisiri siri

Wao kama wanangojea 2030 UCHINA wala hatafika huko kama sijakosea walisema kati ya 2025 ama 2026 watakua washaingiza 6G mzigoni
 
Umenyoosha; congrats!! Wapo watu humu JF wanaamini kwamba kila kitu bora duniani lazima kianzie USA; kikibuniwa na taifa jingine eti wame-copy kutoka USA; upuuzi mtupu!!
Kabla ya USA kuwepo hapakuwepo mataifa yaliyokuwa na teknolojia zake ambazo sasa zitakuwa zimeendelezwa sana?
Hakuna dola duniani inayoweza kuitawala dunia yote. USA akabiliane na washindani wake kiteknolojia, siyo kwa figisu kama anavyofanya kwa HUAWEI, Air Bus na wengine. Anaweza kuwakwamisha kwa muda tu; but in the long run watatoboa tu, maana kila mwanadamu ana maarifa ya kupambana na mazingira yake ili aweze ku-survive.
hii midahalo yote humu inawezeshwa na wao , kuanzia internet ,android hadi Twitter na Facebook,the hii JF app inaoperate kwa kutumia codes zilizowezeshwa na USA

Hebu nipe platform za upande wa pili , ili tu discus hii ishu tukiwa nje ya mfumo wa kimarekani, kwa namna yoyote ile
 
hii midahalo yote humu inawezeshwa na wao , kuanzia internet ,android hadi Twitter na Facebook,the hii JF app inaoperate kwa kutumia codes zilizowezeshwa na USA

Hebu nipe platform za upande wa pili , ili tu discus hii ishu tukiwa nje ya mfumo wa kimarekani, kwa namna yoyote ile
Kwani MKUU ukiwa wewe unatumia hayo unayoyatumia unahisi wengine wanatumia kama wewe mfano korea kaskazini wana aperate kwakutumia window yao mbna husemi au UCHINA wana mpaka mitandao yakijamii

Halaf jengine US tech zote wanazozitumia wamezigundua wao ?!
 
Kwani MKUU ukiwa wewe unatumia hayo unayoyatumia unahisi wengine wanatumia kama wewe mfano korea kaskazini wana aperate kwakutumia window yao mbna husemi au UCHINA wana mpaka mitandao yakijamii

Halaf jengine US tech zote wanazozitumia wamezigundua wao ?!
Ukiwa unazumgumzia jambo penda kuzungumzia nafsi yako na si za wenzako, nimesema mijadala humu inaendeshwa kwa tech za USA, badala ya kuwataja North Korea ilitakiwa wewe uniprove wrong kwa kusema hutumii tech ya mmarekani,
 
Back
Top Bottom