atakua kala kibuti huyuKwani umeombwa hela na Wakili Msomi?
Au ni wivu tu?
Kama unahisi lawyers wanaringa, na wewe waringie au achana nao. Kwani wamekiuka haki zako za msingi ? Au wakiringa wanakuwa wamevunja sheria?
hearsay evidence not admissible kwa ufupi majungu tu hayaWapenda league!
Sasa upate mke alosemea hayo makitu!
Ndani hakulaliki mwanamke ni ligi kwa kwenda mbele!
Sijui hii inaukweli kiasi gani maana nimekuwa nikisikia hivyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wanatokwa na povu mkuuI am proud to be learned advocate/attorney/counsel etc...naturally, the discipline is noble that is why its actors act nobly.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure Kama amesikia tu asirely kwenye hearsay ajaribu kuoa mwanasheria halafu aone hizo league
ukiwa mjuaji sana unapoteza sifa ya kutaka kujua zaidi wajiona kila kitu wajua na utaitaji kujua zaidiTaaluma inaruhusu kuwa mjuaji. Sasa ukiwa mjuaji na ukajiita mjuaji, kwani kuna kosa hapo? Kwani mtu unakuwa umevunja sheria ipi? Maadili yapi?
Acheni hizo!
ukiwa mjuaji sana unapoteza sifa ya kutaka kujua zaidi wajiona kila kitu wajua na utaitaji kujua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani a graduate Engineer , Accountant etc anaweza kuamua kusoma sheria na akamaliza kwa ufaulu mzuri tu,
Lakini a graduate Lawyer hawezi kwenda kusoma Engineering, Finance etc
Yani akienda kufanya hivyo ata disco kwenye mid recess semester!
Ngoja nifanye kuwastahi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nendeni mkasome, kwani mmezuiwa?
By the way, kama mnaona dili wanasheria kukiita wasomi, eti tunaringa basi na ninyi ringeni.
Kwani kutokuweza kusoma accounts ni issue?
Yaani nijionyeshe kwamba ni mwamba kusoma huku na Kule ili iweje?
Kila mtu anachagua anachoweza.
Mimi ni Mwanasheria Msomi.
Basi na wewe jiite accountant msomi
Nendeni mkasome, kwani mmezuiwa?
By the way, kama mnaona dili wanasheria kukiita wasomi, eti tunaringa basi na ninyi ringeni.
Kwani kutokuweza kusoma accounts ni issue?
Yaani nijionyeshe kwamba ni mwamba kusoma huku na Kule ili iweje?
Kila mtu anachagua anachoweza.
Mimi ni Mwanasheria Msomi.
Basi na wewe jiite accountant msomi
Na weye ringia hayo uliyoyaorodhesha.Usiteseke maalim!Mziki wa school of law unauzidi mziki wa
Vetenary medicine pale SUA
Unazidi mziki wa Coet pale UD
Unazidi mziki wa Medicine pale MUHAS
Acha kujipa sifa zisizo na kichwa wala miguu
Ni bora ya hao.Tena wanaitwa mawakili au wana sheria.Sasa ninyi mliokariri kemistri,baiolojia na hesabu kwa hapa Tanzania mnaishia tu kuitwa "mliosoma sayansi-kimu"!Wanasheria wanatatua mashauri mbalimbali wakati waliosoma sayansi-kimu hamvumbui hata aina mpya ya ushuzi tu.Coins mara nyingi huwa na kelele kuliko notes !
Taaluma ambayo husomwa na wale wasojiweza kwenye sayansi wala hesabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora ya hao.Tena wanaitwa mawakili au wana sheria.Sasa ninyi mliokariri kemistri,baiolojia na hesabu kwa hapa Tanzania mnaishia tu kuitwa "mliosoma sayansi-kimu"!Wanasheria wanatatua mashairi mbalimbali wakati waliosoma sayansi-kimu hamvumbui hata aina mpya ya ushuzi tu.
Pole Sana kwa yalitokutokea. I can feel your pain broWanasheria ni kupe! Kesi ya kusolve kwa wiki moja, wao wataiendesha kwa miaka miwili lengo lao wakuchumeee vya kutosha!
Hapo wanakufariji, usihofu, tutashinda hii kesi na mdaiwa wako atalipa gharama za hii kesi. Kuja kutahamaki, wewe ndio unashindwa, unaangukia pua.
Mashauri mbalimbali kwenye nyanja zinazohusika hutatuliwa pasina shaka.Eti..."masuala mtambuka"!Ndiyo myatambuke sasa.Kuna uzi humu unawahusu "mliokariri" sayansi-kimu.Tulijitahidi kuwatetea ila ndiyo hivyo.Hamna faida nchini zaidi ya kuvaa miwani.Sasa nyie mmefanya mambo gani ambayo ni extra ordinary nchini?
Kama ni mapungufu ya sheria yapo chungu nzima [emoji108][emoji108][emoji108] na nyie mpo!
Swala la uvumbuzi/ ugunduzi ni swala mtambuka!
Sent using Jamii Forums mobile app