Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mungu akurehemu kama umetokea "kutowachukia"!Kuna kihakimu kimoja kishenz sana , mahakama ya mwanzo masebe huko tukuyu.
Uwezo ziro kabsa .mtu anatoa hukumu anatetemeka.
Ila mashauz kibao.kama nn
.nimetokea kutowachukia hawa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ww ni mmoja wao nn, washenz sana nyie.Mungu akurehemu kama umetokea "kutowachukia"!
Hahahahaaa! Madaktari hawahawa wa Kitanzania ambao hupasua kichwa badala ya mguu?Boss,gimme a break!Basi wangetamba zaidi madaktari maana wao wanatibu na kuokoa maisha ya watu kitu ambacho ni nyeti sana,
Conflicts ipo in various forms,
Mfano mhandisi anaejenga daraja na wawezesha watu kuendelea na shughuli zao na wagonjwa kuwahi kwenye vituo vya afya pia ame solve conflicts [emoji108]
Mhasibu anaetoa taarifa ya kuwa fedha za wadau zimetumika kwa mujibu wa kanuni , au vinginevyo nae amesolve conflicts vile vile,
N.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzio wana historia na mimi.Ukiona mwanasheria zoba ujue kalazimisha fani huyo.Mwanasheria ni kujiamini,kudadisi,kucheza na akili za watu na mambo kama hayo.Na ww ni mmoja wao nn, washenz sana nyie.
Mnajiona mnauwezo sana wakat hamna kitu. Washika mikia daradan nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
, ulimkalisha chini alafu ukamwambia, maneno flani iviNimemkumbuka mpenz wang mmoja alikuwa mwanasheria halaf muhaya akakutana na hiki kichwa mwenyewe alikubali mziki huu
Word up,learned brother!Binadamu ni kuringa.Mtu kapooza kama embe bolibo changa kutoka Ntalikwa Tabora!Wachangamke hao mainjinia uchwara waache kuchezea magrisi kama wehu.Mleta mada kama wewe huringii ulichosoma basi una matatizo. In short kila ulichonacho ringa nacho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu huyo.Unaweza kukuta alikuwa anachezea makofi kwa lugha ya kiingereza. Hahahahaaa
Kila kitengo/fani ina misemo au terminologies zake.
The learned advocate/lawyer-si kingine bali humaanisha kupeana heshima kwa makomredi wenye taaluma ya sheria.Katika vyombo vya sheria heshima hutangulizwa.Lugha ya staha.Ndiyo maana neno "muheshimiwa" limetawala kule.Ni fani inayohitaji uelewa,wepesi katika ujenzi wa hoja na udadisi wa uchokonozi.Ni kama vile mtu mwenye utaalamu na baiolojia akitamka neno "socket" humaanisha tundu lipatikanalo kwenye fuvu la binadamu libebalo jicho.
Hiyo hiyo socket ikitamkwa na mtaalamu wa umeme humaanisha kifaa cha umeme ambapo nyaya za kupitisha umeme huchomekwa kwa matumizi mbali mbali.Sasa basi,wanasheria wanavyojiweka kwako unaona kama wanaringa.Ambayo ni dalili mbaya ya wivu mzizi wa dhambi.
Hahahahaaa! Kwa sababu nimekwama kuandika ukipendacho?Sasa kama mtu anajiita "msomi" kuna nongwa gani sheikh!?
Mbona umeandika matakataka? Wewe ndiye Wasonga nini..?!Kabudi nakuachieni ninyi mshughulike naye.Kama kusoma/kupata weledi wa sheria ni rahisi hivyo ni vema uende ukasome maalim tukuone unavyowayawaya bin kugudilagudila.
Easy,easy big boy!Usitaharuki!Nikiandika ambacho hakikufurahishi ndiyo "matakataka"? Twende mdogomdogo sheikh!
Hahahahaaa! Kwa sababu nimekwama kuandika ukipendacho?Sasa kama mtu anajiita "msomi" kuna nongwa gani sheikh!?
...sasa kama mimi naona ni takataka nisiseme? Hahaa...Easy,easy big boy!Usitaharuki!Nikiandika ambacho hakikufurahishi ndiyo "matakataka"? Twende mdogomdogo sheikh!
Mkuu weye haujashangazwa.Unaumwa ugonjwa unaitwa "wivu"! Hivi unateseka nini mtu kwa hiyari yake mwenyewe bila kumsimanga wala kumbughudhi mtu kujiita " msomi"/the learned brother?Kujiita “ Wakili Msomi” hilo neno msomi linasimama kama kielezi cha sifa!
Sasa nikuulize kuna wakili asiye msomi ?
Kiukweli mimi nilizani ni watu tu ambao ni illiterates walioamua kuwaita hivyo kimakosa,
Kumbe ni ninyi wenyewe kwa makusudi mazima kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]
Basi hiyo inaonesha jinsi kiwango chenu cha ufahamu kuwa kilivyo!
Ni mfano Rais wa nchi flani awe anwpojitambulisha kuwa rais halafu amalizie kwa kusema “top leader”
Hayo yatakuwa mashauzi!
Wakati kwa kule kusema rais tu wa nchi flani tayari inaeleweka miongoni mwa watu kuwa ni kiongozi mkuu wa nchi!
Yani mmenishangaza kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa! Aisee,the last time I checked, id fake ndiyo imekupa hiyari ya kuniita "bwana mdogo"! Kijijini kwetu ukimuita mtu bwana mdogo atakuambia mbona yeye haishi kwenye kaptula katikati ya mapaja?Anyway, siyo shida.Tujage lolo!...sasa kama mimi naona ni takataka nisiseme? Hahaa...
Na pia kama umeona kuwa umeandika kitu ambacho hakinifurahishi kwa kutumia uhuru wako basi, na mimi pia nina uhuru wangu wa kuandika nionacho kinafaa kukujibu!
...unaandika matakataka bwana mdogo!
Sent using Vertu Signature Cobra
Mkuu weye haujashangazwa.Unaumwa uginjwa unaitwa "wivu"! Hivi unateseka nini mtu kwa hiyari yake mwenyewe bila kumsimanga wala kumbughudhi mtu kujiita " msomi"/the learned brother?
Sidhani kama unaelewa maana ya fake id...!Hahahahaaa! Aisee,the last time I checked, id fake ndiyo imekupa hiyari ya kuniita "bwana mdogo"! Kijijini kwetu ukimuita mtu bwana mdogo atakuambia mbona yeye haishi kwenye kaptula katikati ya mapaja?Anyway, siyo shida.Tujage lolo!
Nilishakueleza awali.The learned brother au wakili msomi kama ilivyotafsiriwa kwa kiswahili maana yake halisi katika matumizi ni;Hapana siyo wivu!
Jibu kwa hoja!
Usikumbie kutaka kujificha kwa kigezo cha wivu [emoji3][emoji3]!
Wewe kubali kuwa kuwa hapo mlikengeuka na kwamba mtapafanyia kazi ili kuondokana na hilo neno!
Kwa mwerevu angesemani tumesikia Mawazo yetu tutayapeleka sehemu stahiki kwa majadiliano zaidi ili kuondokana na hiyo kadhia!
Badala uko tu una jichoresha kwa defend nothing!
Sent using Jamii Forums mobile app