CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Yani walimu huwa nashindwa kuwaelewa uelewa wao.Kwani undahani si atulipi kodi? Au unadhani kodi ni PAYE tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani walimu huwa nashindwa kuwaelewa uelewa wao.Kwani undahani si atulipi kodi? Au unadhani kodi ni PAYE tu?
Ardhi ni ya serikali.Ardhi ni bure.
Ni tofautiJe, hii itakuwa tofauti na kodi ya ardhi kwa wamiliki wa viwanja. Au itajumuishwa humo?
Serikali imefilisikaWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amesema kuanzia tarehe 15 hadi 28 Februari wataendesha kampeni ya kuorodhesha majengo yote nchini ili wamiliki wake waweze kulipa kodi.
Jafo amebainisha hayo jana mkoani Morogoro kwenye uzinduzi wa kiwanda cha kufungasha mazao jamii ya kunde ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais Dk John Magufuli.
Aidha, Jafo amesema kuwa zoezi hilo halitazihusu taasisi za dini bali wamiliki wa majengo wa kawaida.
“Kwahiyo niwaombe watanzania kuanzia Jumatatu tunaanza kampeni itakayoisha tarehe 28 mwezi huu na mimi pamoja na watendaji wakuu wangu wote tutashiriki zoezi hili tunataka tuorodheshe majengo yote ndani ya Tanzania ukiachilia majengo ya dini ili tuweze kulipa kodi kwa mustakabali wa nchi yetu” amesema Jafo.
#Mngetupumzisha watanzania tukabaki walau na akiba ya kununulia malimao na tangawizi
View attachment 1701464
Zipo nyumba hadi za bei hiyo na zipo ambazo hazitakiwi hata kulipia hiyo kodiWaiongeze kidogo,10,000 kwa mwaka ni sawa na hamna kitu,,wafanye 50,000..
Ndiyo ile iliyohamushiwa TRA sasa wameona irudi tena halmashauri /manispaa....Hii kodi ndio ile ya 10000 kwa mwaka?
Kodi ya kitanda ipo kwa kila mwenye guest house...Kweli kabisa aisee kesho watakuja na kodi ya kitanda
Hiyo ni ya majengo, haihusiani na ya ardhi mkuu...Je, hii itakuwa tofauti na kodi ya ardhi kwa wamiliki wa viwanja. Au itajumuishwa humo?
Wanachora kwa mkaa. Au marker peniJana Mtaani kwetu walikuwa wanapita kuandikisha
Ni ndogo. Stigler gorge, SGR, Mji mpendwa wa Chato utajengwaje? Kila mtu alipe kodi sh. 1,500,000,000/= kwa mwaka. Adumu mheshimiwa.Ndiyo Hiyo Hiyo!!
Roma Haikujengwa Kwa Siku MojaNi ndogo. Stigler gorge, SGR, Mji mpendwa wa Chato utajengwaje? Kila mtu alipe kodi sh. 1,500,000,000/= kwa mwaka. Adumu mheshimiwa.
andiko liko wapi? iliwahi kusemwa hivyoUkiwa na miaka 60 hakuna kulipa kodi ya nyumba