Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kijana kwa Uzalendo wako Mkubwa,umetukumbusha Kodi ya visima,ngoja nimstuwe Juma Aweso aanze kufatilia tena Kodi ya visima!!hivi ile kodi ya visima iliishia wapi? kwamba kila mwenye kisima kwake alipie kodi ya maji.
Kodi ya kichwa hata kipindi cha Nyerere ilikuwepo. Anyway, hoja ya msingi hapa ni kwamba, kipi kilipiwe kodi iwe kinakuingizia kipato au la, ni suala la watawala kuamua.kodi ya kichwa,redio baiskeli ni za kikoloni.....
siku lilibomolewa na hao wanaokusanya kodi ya jengo kwa kujenga eneo lisilotakiwa inakuwaje..?Ukishakuwa na jengo ndani ya JMT unatakiwa ulipie kodi ya hilo jengo.
Hawana vyanzo vya mapato tenaSheria inasemaje kuhusu kila nyumba kulipa kodi, iwe kwenye surveyed or unsurveyed areas? Is this not against the law?
Kuna utaratibu, unatakiwa ulipwe fidia. Ila kama umejenga eneo ambalo haliruhusiwi then usilipe maana hilo si eneo lako Huna haki nalo.siku lilibomolewa na hao wanaokusanya kodi ya jengo kwa kujenga eneo lisilotakiwa inakuwaje..?
Serikali ishafikiria yote hayo ndio maana ikaanza kuandikisha. Usipolipa wanakamata mali zakoNi ngumu kutoza kodi ya nyumba maana mimi nitasema nakaa kwa Brother amenipa nikae bure.
Hawaji kudai wtax, wanataka kodi ya jengo.Nani ataverify kiwango cha kodi? maana mimi naweza kusema nalipa elfu 50 kwa mwezi.
Huko mbeleni wataanza toza kodi kutokana na uthamani wa nyumba hapo ndo watu wataita maji mmma
Hawaji kudai wtax, wanataka kodi ya jengo.
Lipeni kodi.mmetuchelewesha sanaSheria inasemaje kuhusu kila nyumba kulipa kodi, iwe kwenye surveyed or unsurveyed areas? Is this not against the law?
Maeneo mengi nchini watu wamejenga bila utaratibu, maendeleo yanayoletwa na serikali huwa yanawakuta wananchi, so nani anakosea hapo?Kuna utaratibu, unatakiwa ulipwe fidia. Ila kama umejenga eneo ambalo haliruhusiwi then usilipe maana hilo si eneo lako Huna haki nalo.
Ukitaka kujenga nenda manispaa, nenda ofisi za serikali za mitaa. Baadae likitokea la kutokea upo salama na fidia. Huwezi jua nchi itapata kiongozi wa kuchukua maamuzi ya aina gani. Si wakati wote busara au huruma hutumika.Maeneo mengi nchini watu wamejenga bila utaratibu, maendeleo yanayoletwa na serikali huwa yanawakuta wananchi, so nani anakosea hapo?
Sheria inasemaje kuhusu kila nyumba kulipa kodi, iwe kwenye surveyed or unsurveyed areas? Is this not against the law?
Ardhi ni bure.Ukishakuwa na jengo ndani ya JMT unatakiwa ulipie kodi ya hilo jengo.