dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Alijua kula na mabeberu. Mfumo kama MCA na mingine ilisaidia kufukia mashimo.Nimemkumbuka Mkwere....
hakuwa na njaa kama hizi nyakati zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijua kula na mabeberu. Mfumo kama MCA na mingine ilisaidia kufukia mashimo.Nimemkumbuka Mkwere....
hakuwa na njaa kama hizi nyakati zake
Hii kodi ndio ile ya 10000 kwa mwaka?
Je, hii itakuwa tofauti na kodi ya ardhi kwa wamiliki wa viwanja. Au itajumuishwa humo?
Hapo sio kodi ya ardhi Ni kodi ya majengoSheria inasemaje kuhusu kila nyumba kulipa kodi, iwe kwenye surveyed or unsurveyed areas? Is this not against the law?
kwahiyo majengo hayaangalii yamejengwa wapi?Hapo sio kodi ya ardhi Ni kodi ya majengo
Ukishakuwa na jengo ndani ya JMT unatakiwa ulipie kodi ya hilo jengo.kwahiyo majengo hayaangalii yamejengwa wapi?
Wakimaliza sisi wanakuja kwenu, tutafikiwa wote...
wapi huko?Una uhakika?maana me Naona wanafanya maandalizi ya zoezi la sensa
Walipita week mbili zilizopita Ni singidawapi huko?
... mwalimu utalipa PAYE na utapunguza kwenye take-home yako kulipia ya banda unaloishi.Lipeni kodi jaman
Walimu tunalipa kodi kila mwezi
Sasa hamtaki kulipa kodi mnategemea nini???
Naanza mchakato wa kuishi kwenye handakiSheria inasemaje kuhusu kila nyumba kulipa kodi, iwe kwenye surveyed or unsurveyed areas? Is this not against the law?