Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Waiongeze kidogo,10,000 kwa mwaka ni sawa na hamna kitu,,wafanye 50,000..Pengine wakaiongeza mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waiongeze kidogo,10,000 kwa mwaka ni sawa na hamna kitu,,wafanye 50,000..Pengine wakaiongeza mkuu
Je, hii itakuwa tofauti na kodi ya ardhi kwa wamiliki wa viwanja. Au itajumuishwa humo?
Ishii Kama Mimi tu, sina gari wala Nyumba, maana hivyo vitu vimesha kua anasa,vitawagharimu sana,bora muachane navyo!!Nina saka sayari ya kwenda kuishi yani na corona yote bado tuna kamuliwa dah
Wakija na Kodi ya Kitanda nacho nakiiuza,tuone nani atapata hasara!!Kweli kabisa aisee kesho watakuja na kodi ya kitanda
Watakuja na usingizi wa usiku mmojaWakija na Kodi ya Kitanda nacho nakiiuza,tuone nani atapata hasara!!
Au laki tatu (300, 000) sio mbayaWaiongeze kidogo,10,000 kwa mwaka ni sawa na hamna kitu,,wafanye 50,000..
Ngoja tufanye mipango aiseeTwende Canada
Tafuta chapaaa chap chap, Viza uhakikaNgoja tufanye mipango aisee
Aisee kiasi gani 30, 000$ ipo ina tosha?Tafuta chapaaa chap chap, Viza uhakika
Fastaaa tusepe, inatosha hiyoAisee kiasi gani 30, 000$ ipo ina tosha?
Andaa mipango ata keshoFastaaa tusepe, inatosha hiyo
Jumatatu ubalozini mzee BabaaAndaa mipango ata kesho
Utanipa mda pmJumatatu ubalozini mzee Babaa