Uandikishaji majengo nyumba kwa nyumba kuanza karibuni

Hiyo kazi imeshaanza mkuu. Huku kwetu watendaji kata na wataalamu wao ndio wamepewa jukumu la kuorodhesha nyumba zote kisha ukusanyaji kodi uanze mara moja!!!
 
Serikali imefilisika
 
Hakutaki misaada ya mabeberu..... nchi itajiendesha...yenyewe...
 
Hakutaki misaada ya mabeberu..... nchi itajiendesha...yenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…