LGE2024 Uandikishaji Wapiga Kura Serikali za mitaa: Mtendaji na Mwenyeki watakiwa kuonyesha alipo Mke wa Mtu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mtoto wa nzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2012
Posts
10,017
Reaction score
18,537
Imetokea Mara huko ..Baada ya Mume kuona jina la Mke wake katika orodha ya wapiga kura ingali kuwa Mkewe amepotea kijijini hapo zaidi ya miaka mitatu na alitoa taarifa Kwa Serikali ya Kijiji na Mtendaji.
Sema kimeumanaaaa. . Pameshaanza kuchangamka mapema hivi ... Asee CCM Sasa wanaiba mpaka kupitiliza wenyewe Kwa wenyewe wanaibiasna mpaka wanapigana ..Sasa wakiungana kutuibia wanachi si ndio balaa yaani.... Video imeambatanishwa
 

Attachments

  • TAYARI_PAMEANZA_KUCHANGAMKA_SASA--πŸ˜‚β‰οΈ.mp4
    4.5 MB

hali ya sasa mwenyekiti na mtendaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…