TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
tatizo hawa watoto wa kijakazi wanapenda sana kuivika kilemba cha ukoka dini yao wakati kiuhalisia na matendo yao tofauti,kutwa wanapambana na bia na kitimoto dhambi nyingine hawazioni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoteza muda,nguvu zako kuwawaza hao mzeeLisu na mbowe wanalipwa na mabeberu ili tuweke lockdown Tanzania ,lakini i say never---' JPM
Nenda Roma ukaoleweHizo ni nchi za kiarabu.
Yani usishangae kabisa kwa DINI iliyoletwa na Shetani kwa Msaada wa Roman Empire , Mudi , Majini na Mapepo kuwa wastaarabu na waungwana.
UARABUNI NI UNYAMA.
UKATILI.
USHETANI WOTE
wewe unashida mahali kichwani na huyo magufuli pia, yaani mabeberu wakupe pesa ili uweke lockdown? ili iweje sasa? muwe mnafikiria kabla ya kuandika watanzaniaLisu na mbowe wanalipwa na mabeberu ili tuweke lockdown Tanzania ,lakini i say never---' JPM
Huko private walikufanya nini mpaka umepajua kiundani sana inaonekana wee ni mjuaji sanawanapinga kwenye public tu
Nimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na kufanyiwa ufedhuli bila hofu ya maandiko. Hizi dini aisee.
Safi kabisaMzee wamekushika kalio 😂 (joke)
Kosa lenu kubwa ni kuwafanya waarabu ndio Waislamu, kuna uislam,muislam na mwarabu. Kama hujaelewa nitakuelewesha.
Sio kila muislam ni mtu poa na bado sio kila mwarabu ni mtu swaaafi.
Kitendo cha mtume kupelekwa uarabuni ni sababu walikuwa wamekithiri ushenzi, mtume alikuwa hapelekwi sehemu hakuna ushenzi, kuanzia nuhu, ibrahimu, luti na wengine wengi ni sababu ya kwenda kuwakumbusha watu jamaa eehh, mmezidi kipimo.
Sasa nawashangaa mmavyowashangaa waarabu luwa washenzi
.
Nimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na kufanyiwa ufedhuli bila hofu ya maandiko. Hizi dini aisee.
Ami zaidi ya hapo kikwajuni, nungwi na forodhani ushawahi toka hapo zenji ?!Sio kweli.
'NaNa' inafurika balaa mida ya Usiku!!Umesema kweli. Kama mahali hakuna ustaarabu, wanakwenda kufanya nini. Wakati kila leo ndege, zinajaa.
Mental Slavery.Mzee wamekushika kalio 😂 (joke)
Kosa lenu kubwa ni kuwafanya waarabu ndio Waislamu, kuna uislam,muislam na mwarabu. Kama hujaelewa nitakuelewesha.
Sio kila muislam ni mtu poa na bado sio kila mwarabu ni mtu swaaafi.
Kitendo cha mtume kupelekwa uarabuni ni sababu walikuwa wamekithiri ushenzi, mtume alikuwa hapelekwi sehemu hakuna ushenzi, kuanzia nuhu, ibrahimu, luti na wengine wengi ni sababu ya kwenda kuwakumbusha watu jamaa eehh, mmezidi kipimo.
Sasa nawashangaa mmavyowashangaa waarabu kuwa washenzi
.
Nimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na kufanyiwa ufedhuli bila hofu ya maandiko. Hizi dini aisee.