N
Nani mshindi mpaka sasaLisu na Mbowe wanalipwa na mabeberu ili tuweke lockdown Tanzania, lakini i say never---' JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mshindi mpaka sasaLisu na Mbowe wanalipwa na mabeberu ili tuweke lockdown Tanzania, lakini i say never---' JPM
Mzee wamekushika kalio [emoji23] (joke)
Kosa lenu kubwa ni kuwafanya waarabu ndio Waislamu, kuna uislam,muislam na mwarabu. Kama hujaelewa nitakuelewesha.
Sio kila muislam ni mtu poa na bado sio kila mwarabu ni mtu swaaafi.
Kitendo cha mtume kupelekwa uarabuni ni sababu walikuwa wamekithiri ushenzi, mtume alikuwa hapelekwi sehemu hakuna ushenzi, kuanzia nuhu, ibrahimu, luti na wengine wengi ni sababu ya kwenda kuwakumbusha watu jamaa eehh, mmezidi kipimo.
Sasa nawashangaa mmavyowashangaa waarabu kuwa washenzi
.
We nawe yako ni porojo piaHizi ni porojo tu na inaonyesha wazi huijui vizuri Historia ya jamii mbalimbali za dunia hii.