TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
Unapoteza muda,nguvu zako kuwawaza hao mzeeLisu na mbowe wanalipwa na mabeberu ili tuweke lockdown Tanzania ,lakini i say never---' JPM
Nenda Roma ukaoleweHizo ni nchi za kiarabu.
Yani usishangae kabisa kwa DINI iliyoletwa na Shetani kwa Msaada wa Roman Empire , Mudi , Majini na Mapepo kuwa wastaarabu na waungwana.
UARABUNI NI UNYAMA.
UKATILI.
USHETANI WOTE
wewe unashida mahali kichwani na huyo magufuli pia, yaani mabeberu wakupe pesa ili uweke lockdown? ili iweje sasa? muwe mnafikiria kabla ya kuandika watanzaniaLisu na mbowe wanalipwa na mabeberu ili tuweke lockdown Tanzania ,lakini i say never---' JPM
Huko private walikufanya nini mpaka umepajua kiundani sana inaonekana wee ni mjuaji sanawanapinga kwenye public tu
Usichanganishe Dini na Makabila ya Waarabu ni vitu viwili tofauti kabisa sema kama post yako ulivyoweka kuwa Waarabu ni washenzi usiseme mambo ya dini hapa.Ukisema mambo ya dini tunaweza kusema Wakristo pia wana matatizo makubwa duniani Wamarekani ni wakristo wanavamia nchi za uarabuni sasa tuseme wakristo wote wana matatizo? Usituchanganye MkuuNimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na kufanyiwa ufedhuli bila hofu ya maandiko. Hizi dini aisee.
Safi kabisaMzee wamekushika kalio 😂 (joke)
Kosa lenu kubwa ni kuwafanya waarabu ndio Waislamu, kuna uislam,muislam na mwarabu. Kama hujaelewa nitakuelewesha.
Sio kila muislam ni mtu poa na bado sio kila mwarabu ni mtu swaaafi.
Kitendo cha mtume kupelekwa uarabuni ni sababu walikuwa wamekithiri ushenzi, mtume alikuwa hapelekwi sehemu hakuna ushenzi, kuanzia nuhu, ibrahimu, luti na wengine wengi ni sababu ya kwenda kuwakumbusha watu jamaa eehh, mmezidi kipimo.
Sasa nawashangaa mmavyowashangaa waarabu luwa washenzi
.
Unasema uko Qatar halafu chanzo cha habari yako ni DW! Unatudanganya we utakuwa MaganzoNimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na kufanyiwa ufedhuli bila hofu ya maandiko. Hizi dini aisee.
Ami zaidi ya hapo kikwajuni, nungwi na forodhani ushawahi toka hapo zenji ?!Sio kweli.
'NaNa' inafurika balaa mida ya Usiku!!Umesema kweli. Kama mahali hakuna ustaarabu, wanakwenda kufanya nini. Wakati kila leo ndege, zinajaa.
Mental Slavery.Mzee wamekushika kalio 😂 (joke)
Kosa lenu kubwa ni kuwafanya waarabu ndio Waislamu, kuna uislam,muislam na mwarabu. Kama hujaelewa nitakuelewesha.
Sio kila muislam ni mtu poa na bado sio kila mwarabu ni mtu swaaafi.
Kitendo cha mtume kupelekwa uarabuni ni sababu walikuwa wamekithiri ushenzi, mtume alikuwa hapelekwi sehemu hakuna ushenzi, kuanzia nuhu, ibrahimu, luti na wengine wengi ni sababu ya kwenda kuwakumbusha watu jamaa eehh, mmezidi kipimo.
Sasa nawashangaa mmavyowashangaa waarabu kuwa washenzi
.
Hakuna dini huko ni watawala wanazitumia ku supress tension dhidi yao tu.Nimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na kufanyiwa ufedhuli bila hofu ya maandiko. Hizi dini aisee.