Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time is an universal factor for everything.Nakupa MUDAView attachment 2074784
Wamejikasmia madarakaMkuu mama anaupiga mwingi:
Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?
Ushauri wa bure: "kazi iendelee!"
Cc: Jumbe Brown
Sasa msituletee upuuzi wenu[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064]Bora huo mtandao uwepo tunapata hata mchuzi kuliko ushenzi wa kina mwendazake.
Sasa ushenzi wa kuharibu uchumi wetu ndio inatufaidi nini?
Mathalani saizi tenda zimeongezeka,ajira zinatolewa,na biashara zinaanza kwenda.
Sasa msituletee upuuzi wenu
They’re destroyers!!
Eve
Delilah
Sukubasi
Cleopatra
Etc
CCM wamemtumia @dr wilbroad slaa na sasa wamemtelekeza
Mkuu huyo "Sukubas" ni nani hasa?! Sijabahatika kupata historian take?!
Kumbe upo ktk chuki zetu kongwe lkn nikudokezee tuu hakuna kiongozi au mtu yoyote Yule duniani atakae weza kuusimamisha KUSAMBAA KWA UISLAMKuibomoa nchi kongwe na tajiri kama Ujerumani inachukua hata karne na Angela Merkel ameanzisha hilo tayari, miaka michache ijayo Ujerumani itakuwa siyo Christian Country tena na hiyo yote ni sababu ya Angela Merkel, lkn sitaki kuzamia sana huko kwenye mada ya Ujerumani turudi hapa kwetu, tuna kazi kubwa ya kufanya …
Hakuna tamko wew apana chezea JWTZ lipo imara sanaExactly, lile tamko la JWTZ siyo la kawaida hii nchi haipo shwari kama watu wanavyodhani na ninaposema haipo shwari nina maana ndani ya vyombo vya usalama kuna tatizo.
Kwani lini Watanganyika hawakua na HASIRA toka kuanza Kwa ukoloni wenu 64??Huyu Mama akifika hadi 2030, Wabara watakuwa wanahasira na Wazenji kuliko kawaida.
HahahahaNenda kwenye kambi ya jeshi iliyo karibu nawe watakupa Hilo tamko mkuu
Leo ndiyo umejua umuhimu wa Magufuli?
Na bado nyumbu gang wote mtatubu kwa Chato.
Vyuma vimeumanaUmuhimu upi? Wa kuunda kikundi cha kikabila? You are too stupid to understand this ...!
Numakundi yenye nia ovu yanapigana. Kama panya road na watoto wa ibirisi wapigane. Sasa ww utaunga mkono upande dhaifuHilo kundi shupavu linachukua madaraka au linapigania kunyang'anywa madaraka?