Kulingana na maamuzi na ya hivi karibuni ya rais SSH ya kuwaondoa baadhi ya mawaziri watenda kazi kama Lukuvi na wengine na kuingiza watu wake, tayari hii in kuwa SSH yuko chini ya State Capture.
State capture is a type of systemic political corruption in which private interests significantly influence a state's decision-making processes to their own advantage..
State Capture ni UFISADI MKUBWA wa. KISIASA ambapo WATU Binafsi kama Wafanya Biashara ama KUNDI MAALUMU lenye nia ISHAWISHI KISIASA kwa manufaa ya Wachache.
Hii itamgharimu sana sans. Maana watu wameamka na wanafuatilia kwa ukaribu.!
shige2