Lovren10
New Member
- Feb 21, 2020
- 4
- 5
Kuunganishwa kwa mifuko ya PPF, LAPF, PSPF, GEPF n.k na kupata PSSSF limekua kaa la MOTO kwa wafanyakazi waliokua private sector na mda wa mikataba yao umekwisha. Nimekua nikifatilia sitahiki zangu tokea makataba wangu umekwisha pale PSSSF nikaambiwa kwa watu wa private wanatakiwa kuchukulia NSSF, eti ni utaratibu mpya.
Mie nilihoji why nikachukulie NSSF wakati pesa zote naziona mnazo PSSSF, Nikaambiwa ni utaratibu mpya. Baada ya kufatilia NSSF, Wao kama NSSF wamedai hawawezi kutoa hela kwakua hawana hizo pesa zimebakia PSSSF, Na PSSSF hawataki kuzitoa kwenda kwa mwananchi wala kwenda NSSF ambako mwananchi anatakiwa kuchukulia huko.
Mamlaka zinazohusika liangalieni suala hili kwa jicho la tatu. Nakumbuka tukiwa kazini hua mnakua kimbelembele sana kuja kudai hayo mafao hata kupelekea kwa waliochelewa kuwapiga fine/penati. PSSSF ni janga la Taifa kwasasa kwa wale tuliotoka private sector. Tambueni hela ni zetu sio zenu PSSSF.
Mamlaka zinazohusika tunaomba tatueni tatizo hili kwa ukaribu sana ikiwezekana kuweka sawa kati ya NSSF na PSSSF, na kuweza kutoa hizo pesa mapema iwezekananavyo
Mie nilihoji why nikachukulie NSSF wakati pesa zote naziona mnazo PSSSF, Nikaambiwa ni utaratibu mpya. Baada ya kufatilia NSSF, Wao kama NSSF wamedai hawawezi kutoa hela kwakua hawana hizo pesa zimebakia PSSSF, Na PSSSF hawataki kuzitoa kwenda kwa mwananchi wala kwenda NSSF ambako mwananchi anatakiwa kuchukulia huko.
Mamlaka zinazohusika liangalieni suala hili kwa jicho la tatu. Nakumbuka tukiwa kazini hua mnakua kimbelembele sana kuja kudai hayo mafao hata kupelekea kwa waliochelewa kuwapiga fine/penati. PSSSF ni janga la Taifa kwasasa kwa wale tuliotoka private sector. Tambueni hela ni zetu sio zenu PSSSF.
Mamlaka zinazohusika tunaomba tatueni tatizo hili kwa ukaribu sana ikiwezekana kuweka sawa kati ya NSSF na PSSSF, na kuweza kutoa hizo pesa mapema iwezekananavyo