Ubabe na msimamo unayo faida kubwa kwenye ndoa na mahusiano

Ubabe na msimamo unayo faida kubwa kwenye ndoa na mahusiano

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Sabato njema!

Kutokana na vilio vingi humu prakatatumba ikabidi niingie chimbo nifanye research ya haya mahusiano, maana watu wanachezea vitasa tu na vilio kila pande, wengine wanadiriki kujiua au kuwaza kunywa sumu kisa mapenzi.

Mimi nimeshadumu kwenye mahusiano kwa masaa mawili tu miaka hiyo, Mwanamke akishanikubalia hapa kwangu hakuna mapenzi ya kihindi yaani ni msimamo na ubabe lakini nampenda na kumjali na kumtimizia mahitaji yake nikimwambia sitaki hichi namaanisha kweli, nikisema usifanye hivi namaanisha sitanii wengine wanaamua kuondoka na kusema Mimi ni mkorofi hatuwezani wala sibembelezi mtu.

Mtu unae mpenzi wako sijui mke unasema unaogopa kushika simu yake mara mpenzii au mchumba waako hataki uguse simu yake kuna mahusiano hapo? Inabidi umkate jicho tu akimbie mwenyewe.
Nakumbuka miaka hiyo mzee alikua anamuuliza mama labda akishika simu yake kwamba hii namba ya nani? Futaaaaaa, hata Kama ni watu wa kazini kwake, swali ni moja tu anao msaada gani kwenye maisha yako? Na wameshazeeka sana sijawahi shuhudia ugomvi.

Mwanamke hapewi 50/50 inabidi wewe uwe final say, ukisema hutaki ni hutaki, ukijifanya wewe ni gabachori utagongewa tu, inabidi uwe mwanaume ambae manzi yako akijua umejua amecheat anakimbia mwenyewe hakutafuti. Maana utamchalaza fimbo zisizo na idadi haijalishi umetoa mahali au hujatoa.

Ety una mwanamke amejaza namba za wanaume ukimuuliza anasema marafiki zangu?????....Mimi swali langu huwa ni moja tu "Mama ako na yeye amejaza namba za wanaume Kama marafiki? Mzee wako anaridhia hilo jambo? Basi kama mama ako hana namba za wanaume kwenye simu yake basi futa"" akizingua ni kofi tu.

NB: Mimi ni mwanaume ambae wanawake wananiita nina gubu kwa sababu Mimi nasema ukweli, napenda uwazi, palipo na kosa nakwambia ukweli, Lakini wenyewe kwa sababu movie za kifilipino zimesha "waaffect wanataka kuishi Kama wafilipino" Haitowezekana maana nyumbani Mimi ni nyachabankeye Musoma.

Akizingua kofi.
 

Attachments

  • IMG_20220801_134012.jpg
    IMG_20220801_134012.jpg
    32.3 KB · Views: 37
Siwezi kuishi na mwanamke kibabe aise, kwa bahati nzuri ukiisha zaliwa mwanaume inakua na akili ya asili ya kuishi na mwanamke.

Wanaume tutumie akili tulizojaliwa kuishi na wanawake vizuri na pia kuwalea watoto wetu wa kike na wakiume wawe wanaume bora na wanawake bora.
 
Siwezi kuishi na mwanamke kibabe aise, kwa bahati nzuri ukiisha zaliwa mwanaume inakua na akili ya asili ya kuishi na mwanamke.
Wanaume tutumie akili tulizojaliwa kuishi na wanawake vizuri na pia kuwalea watoto wetu wa kike na wakiume wawe wanaume bora na wanawake bora.
Iko hivi kuishi na mwanamke kiubabe sio kwamba umpendi, wengine maisha ya kibabe tumezaliwa nayo familia au mtaani. Mimi mke wangu nampenda sana analijua hilo, tupo nae mwaka wa 6 sasa nilimfungulia biashara kubwa tu na yeye ndio msimamizi Mkuu pia yeye ndio anasafiri kufata mzigo, Mimi ni mwalm pia nalima ninachotaka kusema hapa ni kitu kimoja, ukiona jambo lisilo la kawaida kwa mkeo usiweke demokrasia lazima uwe mbabe ili mambo yaende.
 
Iko hivi kuishi na mwanamke kiubabe sio kwamba umpendi, wengine maisha ya kibabe tumezaliwa nayo familia au mtaani. Mimi mke wangu nampenda sana analijua hilo, tupo nae mwaka wa 6 sasa nilimfungulia biashara kubwa tu na yeye ndio msimamizi Mkuu pia yeye ndio anasafiri kufata mzigo, Mimi ni mwalm pia nalima ninachotaka kusema hapa ni kitu kimoja, ukiona jambo lisilo la kawaida kwa mkeo usiweke demokrasia lazima uwe mbabe ili mambo yaende.
Punguza wivu mura, mapenzi ni raha na sio makerokero
 
Siwezi kuishi na mwanamke kibabe aise, kwa bahati nzuri ukiisha zaliwa mwanaume inakua na akili ya asili ya kuishi na mwanamke.
Wanaume tutumie akili tulizojaliwa kuishi na wanawake vizuri na pia kuwalea watoto wetu wa kike na wakiume wawe wanaume bora na wanawake bora.
Pia hao wenye akili ya asili ya kuishi na mwanamke ndio wanakuja kulia humu.
 
 
Iko hivi kuishi na mwanamke kiubabe sio kwamba umpendi, wengine maisha ya kibabe tumezaliwa nayo familia au mtaani. Mimi mke wangu nampenda sana analijua hilo, tupo nae mwaka wa 6 sasa nilimfungulia biashara kubwa tu na yeye ndio msimamizi Mkuu pia yeye ndio anasafiri kufata mzigo, Mimi ni mwalm pia nalima ninachotaka kusema hapa ni kitu kimoja, ukiona jambo lisilo la kawaida kwa mkeo usiweke demokrasia lazima uwe mbabe ili mambo yaende.
Nakubaliana nawe kwa upande na upande hapana, mwaka huo huo wa 6 ulio nao wa ndoa na mimi hivyo hivyo niko na mwaka wa 6 bila ya ubabe mabavu n hakuna hata wakati tumewahi kupishana hata nukta. Lakini sio kwamba akibadikika itaendelea hio demokrasia hapana, akili ya kiume itatumika kukabiliana hayo mabadiliko na kumrudisha kwenye njia.

Ulisha wahi kujiuliza vipi ukikutanika na makosa wewe mke akufanyeje maana ni binadamu wewe?
 
Nakubaliana nawe kwa upande na upande hapana, mwaka huo huo wa 6 ulio nao wa ndoa na mimi hivyo hivyo niko na mwaka wa 6 bila ya ubabe mabavu n hakuna hata wakati tumewahi kupishana hata nukta. Lakini sio kwamba akibadikika itaendelea hio demokrasia hapana, akili ya kiume itatumika kukabiliana hayo mabadiliko na kumrudisha kwenye njia.

Ulisha wahi kujiuliza vipi ukikutanika na makosa wewe mke akufanyeje maana ni binadamu wewe?
Hapoo nimekuelewa Sana, Mimi ni mkristo biblia inasema "Mwanaume atamuacha mwanamke kwa dhambi ya usaliti" hapo lazima mwanaume awe na msimamo na ubabe yooote yanaweza kuvumilika lakini kwa usaliti? Hilo hapana.
Humu ndani watu wanalalamika kuhusu mke wake amezaa nje na hajui cha kufanya, Mara mpenzi wake anaficha simu n.k hapo kuna mahusiano? Au kupoteza mda tu
 
Sabato njema!

Kutokana na vilio vingi humu prakatatumba ikabidi niingie chimbo nifanye research ya haya mahusiano, maana watu wanachezea vitasa tu na vilio kila pande, wengine wanadiriki kujiua au kuwaza kunywa sumu kisa mapenzi.

Mimi nimeshadumu kwenye mahusiano kwa masaa mawili tu miaka hiyo, Mwanamke akishanikubalia hapa kwangu hakuna mapenzi ya kihindi yaani ni msimamo na ubabe lakini nampenda na kumjali na kumtimizia mahitaji yake nikimwambia sitaki hichi namaanisha kweli, nikisema usifanye hivi namaanisha sitanii wengine wanaamua kuondoka na kusema Mimi ni mkorofi hatuwezani wala sibembelezi mtu.

Mtu unae mpenzi wako sijui mke unasema unaogopa kushika simu yake mara mpenzii au mchumba waako hataki uguse simu yake kuna mahusiano hapo? Inabidi umkate jicho tu akimbie mwenyewe.
Nakumbuka miaka hiyo mzee alikua anamuuliza mama labda akishika simu yake kwamba hii namba ya nani? Futaaaaaa, hata Kama ni watu wa kazini kwake, swali ni moja tu anao msaada gani kwenye maisha yako? Na wameshazeeka sana sijawahi shuhudia ugomvi.

Mwanamke hapewi 50/50 inabidi wewe uwe final say, ukisema hutaki ni hutaki, ukijifanya wewe ni gabachori utagongewa tu, inabidi uwe mwanaume ambae manzi yako akijua umejua amecheat anakimbia mwenyewe hakutafuti. Maana utamchalaza fimbo zisizo na idadi haijalishi umetoa mahali au hujatoa.

Ety una mwanamke amejaza namba za wanaume ukimuuliza anasema marafiki zangu?????....Mimi swali langu huwa ni moja tu "Mama ako na yeye amejaza namba za wanaume Kama marafiki? Mzee wako anaridhia hilo jambo? Basi kama mama ako hana namba za wanaume kwenye simu yake basi futa"" akizingua ni kofi tu.

NB: Mimi ni mwanaume ambae wanawake wananiita nina gubu kwa sababu Mimi nasema ukweli, napenda uwazi, palipo na kosa nakwambia ukweli, Lakini wenyewe kwa sababu movie za kifilipino zimesha "waaffect wanataka kuishi Kama wafilipino" Haitowezekana maana nyumbani Mimi ni nyachabankeye Musoma.

Akizingua kofi.

Unataka tuwe kama mandonga nini mtu kazi
 
Ndoa ni kama kuongoza ofisi, kila mtu na mbinu zake.

Kwa mbali tumefanana, mtu akivuka msitari mwekundu anajua kabisa kwangu kayakanyaga, mke anajua hilo, watoto wanajua hilo, ndugu zangu wanajua hilo
 
Ndoa ni kama kuongoza ofisi, kila mtu na mbinu zake.

Kwa mbali tumefanana, mtu akivuka msitari mwekundu anajua kabisa kwangu kayakanyaga, mke anajua hilo, watoto wanajua hilo, ndugu zangu wanajua hilo
Safi kabisa, Kama kiongozi wa familia lazima sauti uwe nayo. pia siyo katika familia hata jamii pia watu wasikuone kwamba unaweza kuingilika kirahisi rahisi tu.
 
Back
Top Bottom