mkuu gaza imewashinda wapi wakati sasa hivi IDF wanalala misikitini huko gaza alaf wanaingia kabisa na viatu duh zarau hizi, yani wameyachimbua mapango yote ya chini hamas wameacha ma grenade hawajulikan walipoUnasikia zile story zao walienda kuua mtu hotelini😂, eti wakatumwa kidon na kikosi cha ku hack😂, aah jamaa kwa story na kujipamba hawajambo, Gaza hio hapo imewashinda.
Hakuna aliye sema wakombolewe kwa pamoja lakini kwenye operation yao angalau wangeokoa hata mateka 30 kwa sababu hao mateka wanashikiliwa sehemu tofauti tofauti.Bila chanzo cha hii taarifa, hii ni mojawapo ya soga tu.
Kuokoa mateka 200+ kwa wakati mmoja haiwezi ikawa rahisi kama unavyojaribu kutuonyesha hapa.
Isitoshe hao Hamas sio jeshi kamili (conventional army) Ila wanamgambo tu wanaoweza kujichanganya na raia muda wowote wasitambulike.
Kingine Israel hajashindwa Vita ndio maana northern Gaza yote ipo mikononi mwao na kusitisha Vita ni kwa ajili ya mahitaji ya kibinadamu tu hasa kwa raia wa Gaza.
Alafu acha kushabikia Vita maana wanaokufa wengi wao ni watoto wadogo, wanawake na raia wa kawaida wasio na hatia.
Kwelimkuu gaza imewashinda wapi wakati sasa hivi IDF wanalala misikitini huko gaza alaf wanaingia kabisa na viatu duh zarau hizi, yani wameyachimbua mapango yote ya chini hamas wameacha ma grenade hawajulikan walipo
Shinikizo gani wewe? Umoja wa mataifa umeshinikiza mara ngapi Palestine itambulike nchi hao wa5enge wanajifanya kichwa ngumu? vita ya 2006 baada ya kuchezea sana wakakubali mazungumzo na Hezbollah, walijifanya wanakwenda Lebanon kutafuta mateka yalifikia wapi?
Hamas wanaume hao hapo wamesema hampati mateka lazima tubadilishane mbona wamekubali? unapigana na migambo wanakupa na masharti unakubali, Israel kwa uoga ilifikiri kupiga raia na watoto, kupiga majengo eti Hamas wangeogopa, yako wapi sasa, hao hapo wamekubali kuachia wafungwa 150 kwa watu 50 😂 .
Israel si ndio kaenda kumshawishi Qatar, Qatar awa please hao jamaa.
Kuhusu vifo vya askari wa Israel ni kweli, na muda hapo mbele kila kitu kitadhihirika, Hamas wamesema askari 3000 wamelambwa, wengine Israel haijachukua hata miili. Na vyombo vya habari Israel wameanza kuthibitisha, askari wengi wamepotea, sijui watawaambia nini ndugu zao.
Leo ndio wanajifanya wanakubali mazungumzo, miaka yote hio wanakatazwa uonevu wanajifanya wababe.
cha kwanza unachotakiwa hakuna vita ambayo huwezi poteza so kufa askari 3000 ni kawaida kumbuka hamas hilo ni eneo lao wanajua wavizie wapi, washambulie wapi na wakimbilie wapi, je hamas wamekufa wangapi? tupe dataSawa kuokoa kwa wakati mmoja wameshindwa, hadi kujua walipo wameshindwa, usibishe kiongozi wa Hamas kasema na vyanzo vya Israel vimesema askari waliokufa wanafika 3000.
Ambacho hujui ni kwamba Hezbollah wana gwanda za kijeshi na hawajichanganyi na raia , jamaa wapo full gear, lakini wakianza kichapo IDF anakubali. 2006 hio hapo mbona Israel alikubali masharti. Hivyo kusema Hamas wana nguo hazieleweki ndio kuna ugumu kupambana nao ni kukosa point.
ISIS si walikuwa wanavaa na kujicchanganya na raia, wakaingia Hezbollah , Russia na Iran, mbona jamaa walipotea wako wapi?
Mkuu usitake kujitoa ufahamu chanzo cha matatizo yanayo endelea unakijua ila unajaribu kuleta unafiki.Hamas hawawezi kukwepa lawama kwa kuwaletea Wapalestina maafa na kwa unyama na Ugaidi walioufanya dhidi ya raia wa Israel.
Israel pia inastahili lawama kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi na kuua makumi elfu ya raia.
Israel-Hamas war updates: Palestinians buried in mass grave as truce nears
Israeli bombardments continue across Gaza ahead of expected four-day truce, including in Khan Younis in the south.www.google.com
Mkuu kwani nini maana ya kushinda vita?Isis walishindwa na Marekani kwa kushirikiana na wakurdi (YPG), sio hawa unaowataja hapa.
hawa kina Iran,Russia walishambulia makundi mengine kama Free Syrian army, HTS (Al nusra) na wapinzani wengine wa Assad.
Hao Hezbollah wangeshinda 2006 kama unavyodai hapa huenda Israel isingekuwepo hapo ilipo.
Hao Hamas wanaotumia raia Kama ngao sio rahisi kupambana nao maana utaishia kuua raia wengi, kama tunachokiona huko Gaza.
Weka hicho chanzo hapa.....
Israel ina uwezo mzuri usiseme ni wa kawaida kwa mashariki ya kati ni miongoni mwa nchi zenye nguvu ambazo wenzake inaochuana nao kwa uwezo ni saudia arabia, uturuki, iran, kuwa powerful eneo la middle east lenye migogoro kila kukicha usiseme ni uwezo wa kawaida au wewe uwezo wa kawaida ume udefine vipi?Hakuna aliye sema wakombolewe kwa pamoja lakini kwenye operation yao angalau wangeokoa hata mateka 30 kwa sababu hao mateka wanashikiliwa sehemu tofauti tofauti.
Israel ni nchi yenye uwezo lakini ni wa kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine zenye uwezo wa kati kama Misri, Uturuki,Iran tabia yenu ya kuwa mnaiweka Israel kwenye levo za akina USA,China na Urusi muiache kabisa.
Kuhusu Israel kuidhibiti gaza sio kweli, na kwa sasa Israel haiaminiki kwa taatifa zake maana alituambia makao makuu ya hamas yako kwenye hospital ya Al shifa lakini mpaka sasa hawajaonesha ushahidi zaidi ya kupost video za mchongo na kutengeneza na badae kuzifuta.
sababu ya hamas kufanya vile ni sabab za kidini na si kingine, ila hamas amepata political sapoti ya dunia sababu israel ameonekana kama mvamizi, ila kusingekua kuna tofauti za kidini za hao kabila mbili kusingekua na ugomvi wowote hapo wote wangeishi katika nchi moja kwa amaniMkuu usitake kujitoa ufahamu chanzo cha matatizo yanayo endelea unakijua ila unajaribu kuleta unafiki.
Na ndio maana ukitoa Marekani na vibaraka wake hakuna nchi nyingine ikiwemo nchi yako iliyo laani kilicho fanywa na hamas kwa sababu wanajua kuwa sababu ya Hamas kufanya vile ni Israel yenyewe.
The question is, hizo nchi zenye nguvu mbona hazijaingilia Vita? Wameishakufa 14000,wanasubili wangapi wafe ili waingie vitani na mzayuni?Tech ya Iron dome haina chochote cha ajabu, upuuzi mtupu, kuna hivyo vi tank vya merkava ndio uchafu kabisa, sasa kundi la migambo wana kanzu na vilemba wanapiga merkava na iron dome, sasa kama unavyosema zikija nchi zenye nguvu kijeshi kama Iran si utapigwa ukimbie.
hiyo meli kama hujui amepelekewa iran mana ndiye anayetafutwa kwa sasa, yeye mwenyewe analijua hilo ndio mana amekua ni sawa na mbwa anayebweka tu ndani ya bandaInashangaza kwakweli!
Gaza ni kama gereza fulani linalotawaliwa na Israel lakini tunachoona Israel anashindwa na gereza lake mwenyewe.... Mbaya zaidi anapewa kila kitu kutoka kwa wale wanaoitwa watu wa dunia ya kwanza (NATO).
Pia tumeona Marekani imepelekea hadi meli za kubebea silaha za nyuklia pamoja ndege kupambana na vijana waliozingirwa katika eneo dogo sana kitu ambacho kwa mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize mara mbilimbili kama hawa Wayahudi na mabwana zao wana hizo nguvu wanazojidai nazo.
Propaganda ni mbaya sana.... Naona kuna punguani wapo humu wengi wanawasifia Wayahudi kwa mbwembwe zao za kushambulia watoto na wamama wakidhani ni sahihi kumbe huko ndio kushindwa kwenyewe
Ni sawa na waislaam wa tandare, wamatumbi weusi tii, kujiita waarab!Israel si chochote si lolote,ni uzushi na uongo,halafu Israel kuiita ni taifa la mungu,ni upumbavu wa kiwango cha degree.
Historia imekupita kushoto mkuu..Isis walishindwa na Marekani kwa kushirikiana na wakurdi (YPG), sio hawa unaowataja hapa.
hawa kina Iran,Russia walishambulia makundi mengine kama Free Syrian army, HTS (Al nusra) na wapinzani wengine wa Assad.
Hao Hezbollah wangeshinda 2006 kama unavyodai hapa huenda Israel isingekuwepo hapo ilipo.
Hao Hamas wanaotumia raia Kama ngao sio rahisi kupambana nao maana utaishia kuua raia wengi, kama tunachokiona huko Gaza.
Weka hicho chanzo hapa.....
USA hizo carrier atakuja nazo bahari ya hindi kututishia huku sisi wanyonge, ila kwa wajanja, zile ni ngalawa tu za kufanyia uvuvi, I swear.hiyo meli kama hujui amepelekewa iran mana ndiye anayetafutwa kwa sasa, yeye mwenyewe analijua hilo ndio mana amekua ni sawa na mbwa anayebweka tu ndani ya banda
Aliuwawa akiwa Iraq, je vipi kambi za USA zilivyopigwa askari wakajificha mashimoni, askari wakatoka wana mtindio wa ubongo.The question is, hizo nchi zenye nguvu mbona hazijaingilia Vita? Wameishakufa 14000,wanasubili wangapi wafe ili waingie vitani na mzayuni?
Yule kamanda wa Iran, wa Republican guard, Qaseem, unakumbuka alivyouliwa na drone?
Acha kulinganisha Israeli na utumboKama Israel ni taifa la Mungu kwani Tanzania ni taifa la shetani? Dini zimeharibu sana vichwa vya waafrika. Hama basi nenda Israel.
Jamaa kakifata kifaru katega bomuAcha kulinganisha Israeli na utumbo