Ubabe wa Israel Kijeshi

Ubabe wa Israel Kijeshi

Unasikia zile story zao walienda kuua mtu hotelini😂, eti wakatumwa kidon na kikosi cha ku hack😂, aah jamaa kwa story na kujipamba hawajambo, Gaza hio hapo imewashinda.
mkuu gaza imewashinda wapi wakati sasa hivi IDF wanalala misikitini huko gaza alaf wanaingia kabisa na viatu duh zarau hizi, yani wameyachimbua mapango yote ya chini hamas wameacha ma grenade hawajulikan walipo
 
Bila chanzo cha hii taarifa, hii ni mojawapo ya soga tu.



Kuokoa mateka 200+ kwa wakati mmoja haiwezi ikawa rahisi kama unavyojaribu kutuonyesha hapa.

Isitoshe hao Hamas sio jeshi kamili (conventional army) Ila wanamgambo tu wanaoweza kujichanganya na raia muda wowote wasitambulike.


Kingine Israel hajashindwa Vita ndio maana northern Gaza yote ipo mikononi mwao na kusitisha Vita ni kwa ajili ya mahitaji ya kibinadamu tu hasa kwa raia wa Gaza.

Alafu acha kushabikia Vita maana wanaokufa wengi wao ni watoto wadogo, wanawake na raia wa kawaida wasio na hatia.
Hakuna aliye sema wakombolewe kwa pamoja lakini kwenye operation yao angalau wangeokoa hata mateka 30 kwa sababu hao mateka wanashikiliwa sehemu tofauti tofauti.

Israel ni nchi yenye uwezo lakini ni wa kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine zenye uwezo wa kati kama Misri, Uturuki,Iran tabia yenu ya kuwa mnaiweka Israel kwenye levo za akina USA,China na Urusi muiache kabisa.

Kuhusu Israel kuidhibiti gaza sio kweli, na kwa sasa Israel haiaminiki kwa taatifa zake maana alituambia makao makuu ya hamas yako kwenye hospital ya Al shifa lakini mpaka sasa hawajaonesha ushahidi zaidi ya kupost video za mchongo na kutengeneza na badae kuzifuta.
 
mkuu gaza imewashinda wapi wakati sasa hivi IDF wanalala misikitini huko gaza alaf wanaingia kabisa na viatu duh zarau hizi, yani wameyachimbua mapango yote ya chini hamas wameacha ma grenade hawajulikan walipo
Kweli
Screenshot_20231122-235022.jpg
 
Shinikizo gani wewe? Umoja wa mataifa umeshinikiza mara ngapi Palestine itambulike nchi hao wa5enge wanajifanya kichwa ngumu? vita ya 2006 baada ya kuchezea sana wakakubali mazungumzo na Hezbollah, walijifanya wanakwenda Lebanon kutafuta mateka yalifikia wapi?

Hamas wanaume hao hapo wamesema hampati mateka lazima tubadilishane mbona wamekubali? unapigana na migambo wanakupa na masharti unakubali, Israel kwa uoga ilifikiri kupiga raia na watoto, kupiga majengo eti Hamas wangeogopa, yako wapi sasa, hao hapo wamekubali kuachia wafungwa 150 kwa watu 50 😂 .

Israel si ndio kaenda kumshawishi Qatar, Qatar awa please hao jamaa.

Kuhusu vifo vya askari wa Israel ni kweli, na muda hapo mbele kila kitu kitadhihirika, Hamas wamesema askari 3000 wamelambwa, wengine Israel haijachukua hata miili. Na vyombo vya habari Israel wameanza kuthibitisha, askari wengi wamepotea, sijui watawaambia nini ndugu zao.

Leo ndio wanajifanya wanakubali mazungumzo, miaka yote hio wanakatazwa uonevu wanajifanya wababe.

Sawa kuokoa kwa wakati mmoja wameshindwa, hadi kujua walipo wameshindwa, usibishe kiongozi wa Hamas kasema na vyanzo vya Israel vimesema askari waliokufa wanafika 3000.

Ambacho hujui ni kwamba Hezbollah wana gwanda za kijeshi na hawajichanganyi na raia , jamaa wapo full gear, lakini wakianza kichapo IDF anakubali. 2006 hio hapo mbona Israel alikubali masharti. Hivyo kusema Hamas wana nguo hazieleweki ndio kuna ugumu kupambana nao ni kukosa point.

ISIS si walikuwa wanavaa na kujicchanganya na raia, wakaingia Hezbollah , Russia na Iran, mbona jamaa walipotea wako wapi?
cha kwanza unachotakiwa hakuna vita ambayo huwezi poteza so kufa askari 3000 ni kawaida kumbuka hamas hilo ni eneo lao wanajua wavizie wapi, washambulie wapi na wakimbilie wapi, je hamas wamekufa wangapi? tupe data

pili hezbolah mwenyewe anamuogopa israel kile kichapo cha 2006 hadi leo wanakiskilizia ndio mana wameogopa kuanzisha vita saa hii mana wanajua kifuatacho ITV. kiongozi wao nasralah amewaambia kumshinda mzayuni sio suala la siku moja so it means anaujua mziki

pia hamas alikua amejipanga muda mrefu, ila so far ukitaka kujua hamas amepunguzwa makali angalia rate yake ya kurusha makombora kuelekea israel kipindi vita inaanza na sasa hivi then tupe majibu.
 
kwa anaeajua anisaidie! hivi zile drone za iran zakuitwa kamikaze, gharama ya drone moja ni tsh. ngapi? maana drones ambazo zimeshatumika kule ukraine ni nyingi sana labda hata zaidi ya 300...
 
Hamas hawawezi kukwepa lawama kwa kuwaletea Wapalestina maafa na kwa unyama na Ugaidi walioufanya dhidi ya raia wa Israel.

Israel pia inastahili lawama kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi na kuua makumi elfu ya raia.

Mkuu usitake kujitoa ufahamu chanzo cha matatizo yanayo endelea unakijua ila unajaribu kuleta unafiki.
Na ndio maana ukitoa Marekani na vibaraka wake hakuna nchi nyingine ikiwemo nchi yako iliyo laani kilicho fanywa na hamas kwa sababu wanajua kuwa sababu ya Hamas kufanya vile ni Israel yenyewe.
 
Isis walishindwa na Marekani kwa kushirikiana na wakurdi (YPG), sio hawa unaowataja hapa.

hawa kina Iran,Russia walishambulia makundi mengine kama Free Syrian army, HTS (Al nusra) na wapinzani wengine wa Assad.



Hao Hezbollah wangeshinda 2006 kama unavyodai hapa huenda Israel isingekuwepo hapo ilipo.

Hao Hamas wanaotumia raia Kama ngao sio rahisi kupambana nao maana utaishia kuua raia wengi, kama tunachokiona huko Gaza.



Weka hicho chanzo hapa.....
Mkuu kwani nini maana ya kushinda vita?
 
Hakuna aliye sema wakombolewe kwa pamoja lakini kwenye operation yao angalau wangeokoa hata mateka 30 kwa sababu hao mateka wanashikiliwa sehemu tofauti tofauti.

Israel ni nchi yenye uwezo lakini ni wa kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine zenye uwezo wa kati kama Misri, Uturuki,Iran tabia yenu ya kuwa mnaiweka Israel kwenye levo za akina USA,China na Urusi muiache kabisa.

Kuhusu Israel kuidhibiti gaza sio kweli, na kwa sasa Israel haiaminiki kwa taatifa zake maana alituambia makao makuu ya hamas yako kwenye hospital ya Al shifa lakini mpaka sasa hawajaonesha ushahidi zaidi ya kupost video za mchongo na kutengeneza na badae kuzifuta.
Israel ina uwezo mzuri usiseme ni wa kawaida kwa mashariki ya kati ni miongoni mwa nchi zenye nguvu ambazo wenzake inaochuana nao kwa uwezo ni saudia arabia, uturuki, iran, kuwa powerful eneo la middle east lenye migogoro kila kukicha usiseme ni uwezo wa kawaida au wewe uwezo wa kawaida ume udefine vipi?
pia gaza imedhibitiwa hamas amepunguzwa nguvu kwa kiasi kikubwa mana sa ivi harushi tena makombora, miongoni wa ushahidi kwamba hamas wanatumia hospital ya alshifa ni video zilionesha mateka wakiingizwa hapo hospital, hamas walivoona hizo video wameziba midomo yao mana za mwanzo walisema zilitengenezwa
 
Mkuu usitake kujitoa ufahamu chanzo cha matatizo yanayo endelea unakijua ila unajaribu kuleta unafiki.
Na ndio maana ukitoa Marekani na vibaraka wake hakuna nchi nyingine ikiwemo nchi yako iliyo laani kilicho fanywa na hamas kwa sababu wanajua kuwa sababu ya Hamas kufanya vile ni Israel yenyewe.
sababu ya hamas kufanya vile ni sabab za kidini na si kingine, ila hamas amepata political sapoti ya dunia sababu israel ameonekana kama mvamizi, ila kusingekua kuna tofauti za kidini za hao kabila mbili kusingekua na ugomvi wowote hapo wote wangeishi katika nchi moja kwa amani
 
Inashangaza kwakweli!

Gaza ni kama gereza fulani linalotawaliwa na Israel lakini tunachoona Israel anashindwa na gereza lake mwenyewe.... Mbaya zaidi anapewa kila kitu kutoka kwa wale wanaoitwa watu wa dunia ya kwanza (NATO).

Pia tumeona Marekani imepelekea hadi meli za kubebea silaha za nyuklia pamoja ndege kupambana na vijana waliozingirwa katika eneo dogo sana kitu ambacho kwa mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize mara mbilimbili kama hawa Wayahudi na mabwana zao wana hizo nguvu wanazojidai nazo.

Propaganda ni mbaya sana.... Naona kuna punguani wapo humu wengi wanawasifia Wayahudi kwa mbwembwe zao za kushambulia watoto na wamama wakidhani ni sahihi kumbe huko ndio kushindwa kwenyewe
 
Tech ya Iron dome haina chochote cha ajabu, upuuzi mtupu, kuna hivyo vi tank vya merkava ndio uchafu kabisa, sasa kundi la migambo wana kanzu na vilemba wanapiga merkava na iron dome, sasa kama unavyosema zikija nchi zenye nguvu kijeshi kama Iran si utapigwa ukimbie.
The question is, hizo nchi zenye nguvu mbona hazijaingilia Vita? Wameishakufa 14000,wanasubili wangapi wafe ili waingie vitani na mzayuni?
Yule kamanda wa Iran, wa Republican guard, Qaseem, unakumbuka alivyouliwa na drone?
 
Inashangaza kwakweli!

Gaza ni kama gereza fulani linalotawaliwa na Israel lakini tunachoona Israel anashindwa na gereza lake mwenyewe.... Mbaya zaidi anapewa kila kitu kutoka kwa wale wanaoitwa watu wa dunia ya kwanza (NATO).

Pia tumeona Marekani imepelekea hadi meli za kubebea silaha za nyuklia pamoja ndege kupambana na vijana waliozingirwa katika eneo dogo sana kitu ambacho kwa mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize mara mbilimbili kama hawa Wayahudi na mabwana zao wana hizo nguvu wanazojidai nazo.

Propaganda ni mbaya sana.... Naona kuna punguani wapo humu wengi wanawasifia Wayahudi kwa mbwembwe zao za kushambulia watoto na wamama wakidhani ni sahihi kumbe huko ndio kushindwa kwenyewe
hiyo meli kama hujui amepelekewa iran mana ndiye anayetafutwa kwa sasa, yeye mwenyewe analijua hilo ndio mana amekua ni sawa na mbwa anayebweka tu ndani ya banda
 
Isis walishindwa na Marekani kwa kushirikiana na wakurdi (YPG), sio hawa unaowataja hapa.

hawa kina Iran,Russia walishambulia makundi mengine kama Free Syrian army, HTS (Al nusra) na wapinzani wengine wa Assad.



Hao Hezbollah wangeshinda 2006 kama unavyodai hapa huenda Israel isingekuwepo hapo ilipo.

Hao Hamas wanaotumia raia Kama ngao sio rahisi kupambana nao maana utaishia kuua raia wengi, kama tunachokiona huko Gaza.



Weka hicho chanzo hapa.....
Historia imekupita kushoto mkuu..

USA ndio walifund ISIS mwanzoni na sasa wanapambana nao tena.......

US walifund na kusaidia kundi la ISIS, hii inaanzia Afghanistan kuleeee, kipindi USA anakabiliana na USSR, USA walifund kundi la kigaidi kupambana na USSR, hilo kundi ndipo likaja kuwa Taliban na Al Qaeda, Kutoka Al Qaida sehemu yake kwa Syria na Iraq ndipo ikazaliwa ISIS, did you know that?

Marekani imechangia pakubwa kustawisha ISIS iwepo middle east. Wewe unachoshangaa hasa ni kipi?
US ndio walidhamini vikundi vya watu kumtoa Gadafi madarakani, Gaddafi alikuwa bora zaidi mara milioni mia kuliko hii serikali iliyopo sasa Libya.
Gaddafi alisaidia watu, serikali ilikua mpaka inawalipia watu ada za elimu ya juu nje ya nchi, mara ya mwisho ile video kipindi wanamuua Gaddafi alisema "Nimewafanyia nini"?

Kila wanapo fund haya makundi na kumaliza haja zao, mnaachwa hapo mnauana kama kuku, na machafuko hatari kabisa, na hapo USA huyo anakwenda zake kashamaliza kazi.

Kinachofanyika Syria si kigeni, hao ISIS wangeshika madaraka watu wangemkumbuka tena Assad, and this time wajanja wakaona its enough, enough is enough.
US kuwashambulia Syria ni unafiki tu uliowazidi, lakini Russia alipoingia tu Syria mambo yalibadilika, miezi miwili tu ISIS walikuwa wanajuta.
Unaambiwa operation iliyofanywa na Russia kwa miezi miwili tu, ni zaidi ya US ambae kwa mwaka mzima alikuwa anawashambulia ISIS.

Hivyo USA walii support terrorists group kuipiga USSR na baadae wakaaanza tena kuwapiga hao hao waliokuwa wana wa fund, are you there?

Kwani kwa Saddam Hussein ilikuwaje? Si ali fund waipige IRan, baadae akaingia kumpiga Saddam huyo huyo USA.

US hapo Syria walikuwa wanafund vikundi ambavyo ni anti-Assad kama Al-Nusra ambapo tena wana mfungamano na Al-Qaida, pia kikundi kinaitwa FSA (Free Syrian Army) ambao wana mfungamano na ISIS.

Kwa hio USA anapigana na ISIS wa namna hii na ku support wa ISIS wa namna ile.

Unaambiwa magaidi hawana hamu na Russia, Russia hana michezo ya kijinga ya kuzungukana kijinga jinga kama anavyo fanya USA na hao Israel.
Russia hana mazoea na michezo hio, Russia waliua familia za magaidi waliofanya ugaidi kipindi cha Chechen war, na miili haikurudishwa,

Russia hana double games za kijinga kama za hao Israel na USA, Chechen sasa hivi ni historia.........

Nina mengi saaaana ya kuongea lakini niishie hapo........ Thanks......................................
 
hiyo meli kama hujui amepelekewa iran mana ndiye anayetafutwa kwa sasa, yeye mwenyewe analijua hilo ndio mana amekua ni sawa na mbwa anayebweka tu ndani ya banda
USA hizo carrier atakuja nazo bahari ya hindi kututishia huku sisi wanyonge, ila kwa wajanja, zile ni ngalawa tu za kufanyia uvuvi, I swear.

USA kuwa na carrier pia ni kutokana na base nyingi alizonazo ulimwenguni kote, kuwa na carrier kunakuwa na urahisi wa kufanya huduma mbali mbali, kama kupeleka silaha, ndege, askari n.k.
Lakini Iran wanaweza piga hizo carrier na hazitishii.

Hezbollah tu wenyewe wamesema hizo carrier ikiwa threat watazidungua. We unacheza, zama zimebadilika.

Kama Iran anatafutwa, kisa cha Iran kupiga kambi za US kule Iraq , Us alifanya nini? Trump si aliongea eti Iran ikifanya chochote itakiona, what happened, hivi unajua ni fedheha kiasi gani nchi inapiga na makombora kambi yako ya jeshi?

Hezbollah tayari wale ni Iran backed, Iran haingii kwenye gomvi wa kitoto, ye aatoa silaha na mafunzo, sasa , haya na mi nikuulize, mbona askari wa USA hawajaingia Gaza kama na wao ni wababe?
 
The question is, hizo nchi zenye nguvu mbona hazijaingilia Vita? Wameishakufa 14000,wanasubili wangapi wafe ili waingie vitani na mzayuni?
Yule kamanda wa Iran, wa Republican guard, Qaseem, unakumbuka alivyouliwa na drone?
Aliuwawa akiwa Iraq, je vipi kambi za USA zilivyopigwa askari wakajificha mashimoni, askari wakatoka wana mtindio wa ubongo.
 
Mstari mwekundu ushavukwa hakuna kinachoendelea.
Kinachosababisha Israel asiharibu hovyo ni mateka
 
Back
Top Bottom