Kobaaz Pyedooz wanafarijiana si unajua Israel kaacha kuipelekea moto gaza kwa siku kadhaa siku zikipita akili zitawarudi na wataanza kulia humu Israel anaua sana, wataomba dunia iingilie kati, utasikia nasra wa heziboraa atatoa tamko Israel ataona tu. Utasikia Iran itaingia kuipiga Israel mwisho wa siku zinabaki kuwa stori tu. Cha kushangaza toka ugomvi huu umeanza miaka mingi hakuna wakati wapalestina wamewahi kuishinda Israel kila siku ni kipondo tu ndo ijulikane allah yaan shetani na Yesu nani mkubwa.Israeli ni Taifa La Mungu kama hutaki kumywa sumu
Wapalestina waliouwawa na IDF ni around mara 6 ya waisrael waliouwawa na vipanyarodi vya hamas yaani kwa kila muisrael mmoja aliyeuwawa, Israel kalipiza kwa kuu wapalestina 6.