Ubabe wa Israel Kijeshi

Ubabe wa Israel Kijeshi

Israeli ni Taifa La Mungu kama hutaki kumywa sumu
Kobaaz Pyedooz wanafarijiana si unajua Israel kaacha kuipelekea moto gaza kwa siku kadhaa siku zikipita akili zitawarudi na wataanza kulia humu Israel anaua sana, wataomba dunia iingilie kati, utasikia nasra wa heziboraa atatoa tamko Israel ataona tu. Utasikia Iran itaingia kuipiga Israel mwisho wa siku zinabaki kuwa stori tu. Cha kushangaza toka ugomvi huu umeanza miaka mingi hakuna wakati wapalestina wamewahi kuishinda Israel kila siku ni kipondo tu ndo ijulikane allah yaan shetani na Yesu nani mkubwa.
Wapalestina waliouwawa na IDF ni around mara 6 ya waisrael waliouwawa na vipanyarodi vya hamas yaani kwa kila muisrael mmoja aliyeuwawa, Israel kalipiza kwa kuu wapalestina 6.
 
hiyo meli kama hujui amepelekewa iran mana ndiye anayetafutwa kwa sasa, yeye mwenyewe analijua hilo ndio mana amekua ni sawa na mbwa anayebweka tu ndani ya banda
Amepelekewa Iran wakati ilikuwa inadungua makombora ya houth
 
USA hizo carrier atakuja nazo bahari ya hindi kututishia huku sisi wanyonge, ila kwa wajanja, zile ni ngalawa tu za kufanyia uvuvi, I swear.

USA kuwa na carrier pia ni kutokana na base nyingi alizonazo ulimwenguni kote, kuwa na carrier kunakuwa na urahisi wa kufanya huduma mbali mbali, kama kupeleka silaha, ndege, askari n.k.
Lakini Iran wanaweza piga hizo carrier na hazitishii.

Hezbollah tu wenyewe wamesema hizo carrier ikiwa threat watazidungua. We unacheza, zama zimebadilika.

Kama Iran anatafutwa, kisa cha Iran kupiga kambi za US kule Iraq , Us alifanya nini? Trump si aliongea eti Iran ikifanya chochote itakiona, what happened, hivi unajua ni fedheha kiasi gani nchi inapiga na makombora kambi yako ya jeshi?

Hezbollah tayari wale ni Iran backed, Iran haingii kwenye gomvi wa kitoto, ye aatoa silaha na mafunzo, sasa , haya na mi nikuulize, mbona askari wa USA hawajaingia Gaza kama na wao ni wababe?
askari wa usa aingie gaza je kwani hujui kwamba wapo Israel kutoa assistance?
au we hujui vita vya kisasa adui anakupiga akiwa remotely?

Iraan alisema israel akiingia tu gaza na yeye anakinukisha haya kiko wapi mana sa ivi israel solders wameweka kambi misikitini huko gaza ndo wanapoishi tena wanalala na viatu duh si zarau hizo?

Iran ni mbwa anayebweka akiwa ndani ya banda hana makali yeyote kwani mara ngapi keshachimba mabiti kwamba wataingia vitani kama israel asipositisha vita? hezbola mara ngapi wamesema kwamba wataingia vitani? mbona hawajaingia? haya kwan israel walisitisha vita? hao wameweka mipasho mbele hawana lolote
 
Aliuwawa akiwa Iraq, je vipi kambi za USA zilivyopigwa askari wakajificha mashimoni, askari wakatoka wana mtindio wa ubongo.
zilivopigwa je walikufa askari wangapi wa usa? unajua mana ya kupiga wewe?
 
sababu ya hamas kufanya vile ni sabab za kidini na si kingine, ila hamas amepata political sapoti ya dunia sababu israel ameonekana kama mvamizi, ila kusingekua kuna tofauti za kidini za hao kabila mbili kusingekua na ugomvi wowote hapo wote wangeishi katika nchi moja kwa amani
Una uwelewa mdogo sina haja ya kubishana na ww.
 
Israel ina uwezo mzuri usiseme ni wa kawaida kwa mashariki ya kati ni miongoni mwa nchi zenye nguvu ambazo wenzake inaochuana nao kwa uwezo ni saudia arabia, uturuki, iran, kuwa powerful eneo la middle east lenye migogoro kila kukicha usiseme ni uwezo wa kawaida au wewe uwezo wa kawaida ume udefine vipi?
pia gaza imedhibitiwa hamas amepunguzwa nguvu kwa kiasi kikubwa mana sa ivi harushi tena makombora, miongoni wa ushahidi kwamba hamas wanatumia hospital ya alshifa ni video zilionesha mateka wakiingizwa hapo hospital, hamas walivoona hizo video wameziba midomo yao mana za mwanzo walisema zilitengenezwa
Yaani unafananisha Saudia na Iran na kinchi kinacho ishi kwa misaada kama Tz?
 
Wayahudi wana jipoza moyo. Wame kunywa chai chai ya moto acheni ngonjera mgambo kawazidi mbinu, mme baki na kelele za magofu hamuamini kama lile taifa lina tolewa jasho na mgambo
 
US walifund na kusaidia kundi la ISIS, hii inaanzia Afghanistan kuleeee, kipindi USA anakabiliana na USSR, USA walifund kundi la kigaidi kupambana na USSR, hilo kundi ndipo likaja kuwa Taliban na Al Qaeda, Kutoka Al Qaida sehemu yake kwa Syria na Iraq ndipo ikazaliwa ISIS, did you know that?
US waliwasaidia Mujahideen wa Afghanistan kupambana na Ussr sio Isis, Isis imeanzishwa baada ya uvamizi wa Marekani huko Iraq.
Unaambiwa magaidi hawana hamu na Russia, Russia hana michezo ya kijinga ya kuzungukana kijinga jinga kama anavyo fanya USA na hao Israel.
Russia hana mazoea na michezo hio, Russia waliua familia za magaidi waliofanya ugaidi kipindi cha Chechen war, na miili haikurudishwa,
Kwa Sasa Russia anafanya ugaidi huko Ukraine.

Marekani imechangia pakubwa kustawisha ISIS iwepo middle east. Wewe unachoshangaa hasa ni kipi?
US ndio walidhamini vikundi vya watu kumtoa Gadafi madarakani, Gaddafi alikuwa bora zaidi mara milioni mia kuliko hii serikali iliyopo sasa Libya.
Gaddafi alisaidia watu, serikali ilikua mpaka inawalipia watu ada za elimu ya juu nje ya nchi, mara ya mwisho ile video kipindi wanamuua Gaddafi alisema "Nimewafanyia nini"?
Waasi waliomuua Gaddafi walisaidiwa sana na UK na France, isitoshe Gaddafi alikuwa na mahusiano mazuri na serikali ya Sarkozhy ( aliyekuwa Rais wa Ufaransa) Ila baadae walimsaliti.
US hapo Syria walikuwa wanafund vikundi ambavyo ni anti-Assad kama Al-Nusra ambapo tena wana mfungamano na Al-Qaida, pia kikundi kinaitwa FSA (Free Syrian Army) ambao wana mfungamano na ISIS.
Sio US pekee, hata nchi kama Uturuki, Qatar, Saud Arabia zote ziliunga mkono waasi wa Syria....

Hao waarabu walishiriki kumhujumu mwarabu mwenzao.
 
Humu wendawazimu wamekua wengi kweli, inabidi kue na mtihani wa utimamu wa akili kabla ya mtu kumiliki account ili kuepusha wendawazimu kama huu
 
Yaani unafananisha Saudia na Iran na kinchi kinacho ishi kwa misaada kama Tz?
Saudia na Uturuki wana GDP dola 800 bilion
Israel GDP ni dola 480bilion
Iran GDP ni dola 360bilion
Tanzania ina GDP 67 bilion

kwa hiyo kuja hapa kufananisha Tanzania na Israel kiuwezo inaonesha kabisa wewe ilimu dunia imekupita kushoto labda umebakia tu na ilimu akheraa.. kwa hiyo kaa kwa kutulia shehe ubwabwa.. ukijibu hoja zangu naomba uje na data usiniletee urojo
 
US waliwasaidia Mujahideen wa Afghanistan kupambana na Ussr sio Isis, Isis imeanzishwa baada ya uvamizi wa Marekani huko Iraq.

Kwa Sasa Russia anafanya ugaidi huko Ukraine.


Waasi waliomuua Gaddafi walisaidiwa sana na UK na France, isitoshe Gaddafi alikuwa na mahusiano mazuri na serikali ya Sarkozhy ( aliyekuwa Rais wa Ufaransa) Ila baadae walimsaliti.

Sio US pekee, hata nchi kama Uturuki, Qatar, Saud Arabia zote ziliunga mkono waasi wa Syria....

Hao waarabu walishiriki kumhujumu mwarabu mwenzao.
in short ni kwamba waarabu tu wao kama wao wanatofautiana na wanazinguana mfano suni na shia haziivi pamoja
 
Wayahudi wana jipoza moyo. Wame kunywa chai chai ya moto acheni ngonjera mgambo kawazidi mbinu, mme baki na kelele za magofu hamuamini kama lile taifa lina tolewa jasho na mgambo
we unajua mana ya kutolewa jasho kweli?
 
Saudia na Uturuki wana GDP dola 800 bilion
Israel GDP ni dola 480bilion
Iran GDP ni dola 360bilion
Tanzania ina GDP 67 bilion

kwa hiyo kuja hapa kufananisha Tanzania na Israel kiuwezo inaonesha kabisa wewe ilimu dunia imekupita kushoto labda umebakia tu na ilimu akheraa.. kwa hiyo kaa kwa kutulia shehe ubwabwa.. ukijibu hoja zangu naomba uje na data usiniletee urojo
Hizo takwimu ni kwa mujibu wa nani au umetoa kichwani mwako ili kujifurahisha?

Kwa hiyo unakataa kuwa Israel haiishi kwa misaada ya wamagharibi?

Israel wangekuwa watu wenye akili kama mnavyo tuaminisha kwa hiyo misaada anayo pewa na nchi za Magharibi alitakiwa awe mbali zaidi ya mara mbili ya alivyo sasa.
 
Hizo takwimu ni kwa mujibu wa nani au umetoa kichwani mwako ili kujifurahisha?

Kwa hiyo unakataa kuwa Israel haiishi kwa misaada ya wamagharibi?

Israel wangekuwa watu wenye akili kama mnavyo tuaminisha kwa hiyo misaada anayo pewa na nchi za Magharibi alitakiwa awe mbali zaidi ya mara mbili ya alivyo sasa.
Saudia na Uturuki wana GDP dola 800 bilion
Israel GDP ni dola 480bilion
Iran GDP ni dola 360bilion
Tanzania ina GDP 67 bilion

kwa hiyo kuja hapa kufananisha Tanzania na Israel kiuwezo inaonesha kabisa wewe ilimu dunia imekupita kushoto labda umebakia tu na ilimu akheraa.. kwa hiyo kaa kwa kutulia shehe ubwabwa.. ukijibu hoja zangu naomba uje na data usiniletee urojo
 
Back
Top Bottom