Ubabe wowote ule kuhusu suala la NHIF utazidisha mgogoro

Ubabe wowote ule kuhusu suala la NHIF utazidisha mgogoro

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-03-01-19-37-19-1.png

Uwekezaji wa Hospitali si uwekezaji wa kitoto , si uwekezaji wa bei rahisi na wala si uwekezaji wa kudra za Mungu , ni gharama kubwa mno , siyo sadaka za Waumini waliofanyiwa miujiza na Mungu , ni hela nyingi inatumika

Mimi ni Mfanyabiashara na natambua umuhimu wa Afya za binadamu , lakini ni lazima serikali iwajibike kwenye afya za watu wake , isitake kukandamiza Wenye Hospitali , jambo hili tukilinyamazia tutakuwa tunaunga mkono Unyonyaji uliojaa uonevu .

Kwanza Hospitali zilizofanya kazi na NHIF kwa muda wote huo zipongezwe , zimekuwa zikisubiri malipo hadi miezi 6 bila mafanikio , yaani unatoa huduma halafu unaenda NHIF ukapige magoti au utoe rushwa ndio ulipwe , huu ni uzalendo wa ajabu mno , haya mambo hayasemwi lakini huu ndio ukweli wenyewe .

Si rahisi kuendesha Hospitali , kwa maana ya majengo , vifaa , dawa na Wataalam wabobezi wanaolipwa pesa nyingi sana , ni lazima serikali iangalie jambo hili kwa mapana na marefu , njia za kibabe zitazidisha tatizo .

Njia pekee ni majadiliano tena ya fifty fifty , Serikali isijaribu kutoa maelekezo ya kukomoa Hospitali Binafsi , haitawezekana na wala haitasaidia chochote .
 
Ngoja tuone

Hospital binafsi ni tofauti na Media House ambazo zikinyimwa matangazo zinaufyata akina Clouds, Wasafi, Efm na Wafananao 🐼
 
Ukweli mtupu serikali isilete ubabe kwenye suala la msingi la afya
 
Kwa mtazamo wangu, Serikali ilichofanya ni sahihi na ndio kinachotakiwa kufanyika. Huu ni mwanzo nzuri wa Serikali kutambua mambo 3 haitakiwi kuyabinafsisha. La kwanza, huduma za Afya. La pili, elimu. Tatu, maji.

Hizo huduma 3 iziwekee mkazo wa kutosha na kuhakikisha mazingira yanaandaliwa Kwa Serikali kuwa ndio mzalishaji mkuu wa huduma hizo , sekta binafsi zitoe lakini sio katika kiwango Serikali iwategemee wao.

Baada ya hili la NHIF ,naamini Serikali kupitia wizara ya afya itakuja na mikakati kabambe za kuboresha huduma za Afya za Umma ili kukidhi mahitaji ya uhaba na migomo
 

Uwekezaji wa Hospitali si uwekezaji wa kitoto , si uwekezaji wa bei rahisi na wala si uwekezaji wa kudra za Mungu , ni gharama kubwa mno , siyo sadaka za Waumini waliofanyiwa miujiza na Mungu , ni hela nyingi inatumika

Mimi ni Mfanyabiashara na natambua umuhimu wa Afya za binadamu , lakini ni lazima serikali iwajibike kwenye afya za watu wake , isitake kukandamiza Wenye Hospitali , jambo hili tukilinyamazia tutakuwa tunaunga mkono Unyonyaji uliojaa uonevu .

Kwanza Hospitali zilizofanya kazi na NHIF kwa muda wote huo zipongezwe , zimekuwa zikisubiri malipo hadi miezi 6 bila mafanikio , yaani unatoa huduma halafu unaenda NHIF ukapige magoti au utoe rushwa ndio ulipwe , huu ni uzalendo wa ajabu mno , haya mambo hayasemwi lakini huu ndio ukweli wenyewe .

Si rahisi kuendesha Hospitali , kwa maana ya majengo , vifaa , dawa na Wataalam wabobezi wanaolipwa pesa nyingi sana , ni lazima serikali iangalie jambo hili kwa mapana na marefu , njia za kibabe zitazidisha tatizo .

Njia pekee ni majadiliano tena ya fifty fifty , Serikali isijaribu kutoa maelekezo ya kukomoa Hospitali Binafsi , haitawezekana na wala haitasaidia chochote .
Kama Walivyolazimisha Wastaafu walipwe Mafao ya Kikokotoo. Hii Nchi haina Huruma Kwa Wazee na Wagonjwa
 
Kwa mtazamo wangu, Serikali ilichofanya ni sahihi na ndio kinachotakiwa kufanyika. Huu ni mwanzo nzuri wa Serikali kutambua mambo 3 haitakiwi kuyabinafsisha. La kwanza, huduma za Afya. La pili, elimu. Tatu, maji.

Hizo huduma 3 iziwekee mkazo wa kutosha na kuhakikisha mazingira yanaandaliwa Kwa Serikali kuwa ndio mzalishaji mkuu wa huduma hizo , sekta binafsi zitoe lakini sio katika kiwango Serikali iwategemee wao.

Baada ya hili la NHIF ,naamini Serikali kupitia wizara ya afya itakuja na mikakati kabambe za kuboresha huduma za Afya za Umma ili kukidhi mahitaji ya uhaba na migomo
Mikakati hiyo ni mizuri lakini haipaswi kuja kwa Style hii
 
Hili suala la afya na ustawi wa nchi kwa hili serikali ijitafakari mara mbili kuna mahala wanachemka
 
Wanachama wa NHIF pia wanapaswa kugomea ubabe huu wa serikali dhidi ya maamuzi yake kuhusu NHIF.
 
niko bega kwa bega na waziri hawa watu si wa kulazia damu kabla hawajakomaa
 
hospitali binafsi ndio wanachemka ndugu
Ungetupa hints kidogo hata sisi tunaopata huduma tukaelewa ya ndani zaidi ingependeza ila kwa kelele hizo almost hospital zote binafsi tafsiri yake serikali kuna mahala haifanyi vizuri
 
Serikali ishughulikie kero na malalamiko yao na sio kutumia ubabe......
 
Ummy na kundi lake wanakwenda kuleta janga kubwa sana la kiafya….
 
Watawala wa sasa wanakwenda kuweka rekodi mbaya sana ya kuharibu na kusambaratisha mifumo mingi ya Nchi.
Mimi naona tunamshadadia huyu bibi na mwingulu lakini nakuhakikishia nchi inafilisiki kwa kasa ya 5G ..tukidhani huo ndo uchumi wenyeww
 
Back
Top Bottom