Ubaguzi katika kazi maalumu za NECTA (usimamizi na usahihishaji): Haki haitendeki ngazi za Wilaya

Ubaguzi katika kazi maalumu za NECTA (usimamizi na usahihishaji): Haki haitendeki ngazi za Wilaya

mfate42

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
4,034
Reaction score
4,792
Habarini ndg zangu,

Najua katibu wa baraza atapitia na kusoma uzi huu. Kiukweli katika kazi hizi maalumu za NECTA (usimamiz na usahishaji). Huku ngaz za wilaya huwa panakuwaga sio fair kabisa katika upendekezaj wa watu wanaosimamia na wanaoenda marking

Hivi ni kweli mtu yupo kazini huu ni mwaka wa tisa hajawahi kushiriki ili zoezi na wapo ambao ana miaka 2 tu ila kashaitwa hizi kazi za marking na ukifatilia nyuma ya pazia anakwambia penye uzia penyeza rupia.

Huu ubaguzi wa kushiriki kazi maalumu huwa unapunguza sana ufanisi kwa walimu haswa shule zetu hz za serikali. Msipolifanyia kazi mtaendelea kuzalisha kizazi Cha rushwa miaka nenda Rudi.

Baba msonde, naomba fatilia..hili..la sivyo GOD one day ataonyesha njia sahihi ya necta kupita.
 
Habarini ndg zangu,

Najua katibu wa baraza atapitia na kusoma uzi huu. Kiukweli katika kazi hizi maalumu za NECTA (usimamiz na usahishaji). Huku ngaz za wilaya huwa panakuwaga sio fair kabisa katika upendekezaj wa watu wanaosimamia na wanaoenda marking

Hivi ni kweli mtu yupo kazini huu ni mwaka wa tisa hajawahi kushiriki ili zoezi na wapo ambao ana miaka 2 tu ila kashaitwa hizi kazi za marking na ukifatilia nyuma ya pazia anakwambia penye uzia penyeza rupia.

Huu ubaguzi wa kushiriki kazi maalumu huwa unapunguza sana ufanisi kwa walimu haswa shule zetu hz za serikali. Msipolifanyia kazi mtaendelea kuzalisha kizazi Cha rushwa miaka nenda Rudi.

Baba msonde, naomba fatilia..hili..la sivyo GOD one day ataonyesha njia sahihi ya necta kupita.
Akili za Walimu Wa Hovyo.
 
Habarini ndg zangu,

Najua katibu wa baraza atapitia na kusoma uzi huu. Kiukweli katika kazi hizi maalumu za NECTA (usimamiz na usahishaji). Huku ngaz za wilaya huwa panakuwaga sio fair kabisa katika upendekezaj wa watu wanaosimamia na wanaoenda marking

Hivi ni kweli mtu yupo kazini huu ni mwaka wa tisa hajawahi kushiriki ili zoezi na wapo ambao ana miaka 2 tu ila kashaitwa hizi kazi za marking na ukifatilia nyuma ya pazia anakwambia penye uzia penyeza rupia.

Huu ubaguzi wa kushiriki kazi maalumu huwa unapunguza sana ufanisi kwa walimu haswa shule zetu hz za serikali. Msipolifanyia kazi mtaendelea kuzalisha kizazi Cha rushwa miaka nenda Rudi.

Baba msonde, naomba fatilia..hili..la sivyo GOD one day ataonyesha njia sahihi ya necta kupita.
Ongea na mkuu wako washule vizuri umpe 50% ya hela hiyo mbona atapendekeza jina lako, hi nchi aina haki kabisa
 
Huna kazi za kufanya ndugu mwalimu mwenzangu.
 
Kikubwa Kuna mdau ameshauri kuwa waza investment nyingine uwe bize na Mambo yako mengine. Unawaza Sana hiyk hela na huku he ukistaafu mbona utawahi kutufia na mafao Kama unazo milioni 150 utalipwa 37.5M zingine tutakuwa tunakulipa polepole Mana umeshakuwa Kama MTT haujui namna nyingine ya kuingiza kipato. Tutakulipa mpaka siku unakufa,
Mana ukipewa hela zote utaanza kula Bata mkuu Mana hauli Bata saivi usikute unashinda shuleni kutafuta sifa ya mwalimu mzuri kwa kufundisha kwa bidii.
 
Kikubwa Kuna mdau ameshauri kuwa waza investment nyingine uwe bize na Mambo yako mengine. Unawaza Sana hiyk hela na huku he ukistaafu mbona utawahi kutufia na mafao Kama unazo milioni 150 utalipwa 37.5M zingine tutakuwa tunakulipa polepole Mana umeshakuwa Kama MTT haujui namna nyingine ya kuingiza kipato. Tutakulipa mpaka siku unakufa,
Mana ukipewa hela zote utaanza kula Bata mkuu Mana hauli Bata saivi usikute unashinda shuleni kutafuta sifa ya mwalimu mzuri kwa kufundisha kwa bidii.
Mbona mnapondea sana wakt kauliza swali

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Toa pesa upate pesa.
Hiyo ndio formula ya maisha mheshimiwa mwalimu.
 
Mbona mnapondea sana wakt kauliza swali

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Anaendekeza ulemavu. Hii ni sawa na mtu kulilia visafari yaani unakuwa mtumwa ,kwa akii yako unaona Kama twampondea,Ila sie ushauri umejikita kuwa asijiendekeze mind yake ni potential Sana. Kama yupo karibu na mashamba alime, Kama Yuko town biashara ndogo ndogo ni nyingi ili akija kuachana na kazi sio aanze kukonda. Akaombe Tena private kwa mktaba.
Kuna traffic mmoja alistaafu afu akawa bado anavaa sare anaenda kubana kwa kituo fulani makongoro road ya mza. Anawachomoa watu mpunga. Mana hakuwa na option B, Kuna afande mmoja alijenga kituo fake pale kirumba akawa na mavazi anawavalisha washkaji zake usiku kawaida wa magari anawatoa upepo.
Hakuna SoMo zuri ama kazi nzuri Kama biashara mkuu.
Pia jibu nalo hili no zuri sio lazima ajibiwe alichouliza Bali sie tunaokoa mzizi wa ugonjwa kabisa ili usiendelee.
Watumishi wakistaafu utawahurumia
 
Wanalipwaga kiasi gani hadi ulie hivyo mkuu?
Kiasi Cha 1,800,000|= na nauli kutoka kituo ulichotoka, hao jamaa wanawatu wao cha msingi na cha maana tafuta njia za kuingiza kipato, nimeshuhudia kwa macho yangu jamaa zangu watatu wameugua na kulazwa baada ya kutemwa na hao jamaa
 
Wanalipwaga kiasi gani hadi ulie hivyo mkuu?
Huwa wanarudi mpaka na 2M inategemea na umbali wa vituo vya marking na kituo chako cha kazi.

Pia wakiwa hukk marking ni kama wako peponi, misosi muda wote.

Ndio maana unaona vijineno neno vya kiswahili na majungu vimetanda.

Walimu nchi hii kumejaa genge fulani la watu wapumbavu.
 
Huwa wanarudi mpaka na 2M inategemea na umbali wa vituo vya marking na kituo chako cha kazi.

Pia wakiwa hukk marking ni kama wako peponi, misosi muda wote.

Ndio maana unaona vijineno neno vya kiswahili na majungu vimetanda.

Walimu nchi hii kumejaa genge fulani la watu wapumbavu.
Basi ni halali yao hawa walimu kuleta uswahili uswahili.
 
Anaendekeza ulemavu. Hii ni sawa na mtu kulilia visafari yaani unakuwa mtumwa ,kwa akii yako unaona Kama twampondea,Ila sie ushauri umejikita kuwa asijiendekeze mind yake ni potential Sana. Kama yupo karibu na mashamba alime, Kama Yuko town biashara ndogo ndogo ni nyingi ili akija kuachana na kazi sio aanze kukonda. Akaombe Tena private kwa mktaba.
Kuna traffic mmoja alistaafu afu akawa bado anavaa sare anaenda kubana kwa kituo fulani makongoro road ya mza. Anawachomoa watu mpunga. Mana hakuwa na option B, Kuna afande mmoja alijenga kituo fake pale kirumba akawa na mavazi anawavalisha washkaji zake usiku kawaida wa magari anawatoa upepo.
Hakuna SoMo zuri ama kazi nzuri Kama biashara mkuu.
Pia jibu nalo hili no zuri sio lazima ajibiwe alichouliza Bali sie tunaokoa mzizi wa ugonjwa kabisa ili usiendelee.
Watumishi wakistaafu utawahurumia
Nimekupata vizuriii

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Huwa wanarudi mpaka na 2M inategemea na umbali wa vituo vya marking na kituo chako cha kazi.

Pia wakiwa hukk marking ni kama wako peponi, misosi muda wote.

Ndio maana unaona vijineno neno vya kiswahili na majungu vimetanda.

Walimu nchi hii kumejaa genge fulani la watu wapumbavu.
Hatari sana

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Habarini ndg zangu,

Najua katibu wa baraza atapitia na kusoma uzi huu. Kiukweli katika kazi hizi maalumu za NECTA (usimamiz na usahishaji). Huku ngaz za wilaya huwa panakuwaga sio fair kabisa katika upendekezaj wa watu wanaosimamia na wanaoenda marking

Hivi ni kweli mtu yupo kazini huu ni mwaka wa tisa hajawahi kushiriki ili zoezi na wapo ambao ana miaka 2 tu ila kashaitwa hizi kazi za marking na ukifatilia nyuma ya pazia anakwambia penye uzia penyeza rupia.

Huu ubaguzi wa kushiriki kazi maalumu huwa unapunguza sana ufanisi kwa walimu haswa shule zetu hz za serikali. Msipolifanyia kazi mtaendelea kuzalisha kizazi Cha rushwa miaka nenda Rudi.

Baba msonde, naomba fatilia..hili..la sivyo GOD one day ataonyesha njia sahihi ya necta kupita.
pole sana.
 
Huwa wanarudi mpaka na 2M inategemea na umbali wa vituo vya marking na kituo chako cha kazi.

Pia wakiwa hukk marking ni kama wako peponi, misosi muda wote.

Ndio maana unaona vijineno neno vya kiswahili na majungu vimetanda.

Walimu nchi hii kumejaa genge fulani la watu wapumbavu.
Lengo la NECTA ni kuwafanya walimu wapate ujuzi wa kusahihisha na kubadilishana uzowefu sema kuna wafanyakazi wao sio waaminifu kwani wanakosa kuwa na database ya walimu wote na wawe wanabadishwa, sasa Kama wanafahamu ubaguzi unafanywa na wakuu wa shule kwanini wasifanye mabadiliko.
 
Lengo la NECTA ni kuwafanya walimu wapate ujuzi wa kusahihisha na kubadilishana uzowefu sema kuna wafanyakazi wao sio waaminifu kwani wanakosa kuwa na database ya walimu wote na wawe wanabadishwa, sasa Kama wanafahamu ubaguzi unafanywa na wakuu wa shule kwanini wasifanye mabadiliko.
Cha ajaabu NECTA wanajua hili ila wamekaa kmya
 
Back
Top Bottom