Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Siasa za maneno ya kibaguzi na vijembe ni upumbavu tu!
Maneno ya busara au vitendo vya kimya kimya kutekeleza lengo lililokusudiwa ni muhimu kwa watu wenye akili nzuri.
Watu hawamiliki nchi yao kwa mabango, bali kwa vitendo!
 
I am shocked... mwili umetawaliwa na hofu. In those old days watu tuliamini ASP hardliners ndo tatizo la msingi... hawa wamebaki kwa kiasi gani? Au wamepandikiza mbegu za chuki kwa watoto na wajukuu zao?!

Naiona CUF ikizidi kupata nguvu maradufu ya ile ya October 2015. Lililo wazi kwa sasa kule Zanzibar ni kwamba, hivi sasa CUF wanapata uungwaji mkono mkubwa sana katika harakati zao za kutaka Zanzibar yenye mamlaka kamili! Tofauti na zamani, hivi sasa wanapata uungwaji mkono hata kutoka kwa CCM Insiders... tofauti yao ni kwamba, CUF wanapigana hadharani na hawa CCM Insiders wanapigana chini kwa chini!

Trust me, hapo wala hawawalengi wana CUF bali zaidi ni "Machotara" wa CCM yenyewe! Watu kama akina SAS hawajawahi kukubalika na ASP/CCM Hardliners hadi kesho! Hata kama wameingiza suala la Hizbu hapo lakini hadi akina Karume hapo wanahusishwa! Yaani ASP/CCM Hardliners hata Mohammed Babu nae walikuwa wanamuita Mwarabu! Nilipokuja kuisoma historia ya Mohammed Babu, nikachoka kuona nae anakuwa referred kama Mwarabu wa Hizbu!
 
DSC_2469.jpg


Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]

Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.

DSC_2827.jpg


Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.

Akili yangu inanikatalia kabisa.

Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.

CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?

Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?

Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.

Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.

Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?

Machotara?

Nani huyu chotara?

Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!

Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?

CCM imefilisika kiasi hiki?

Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?

Nini khasa tafsiri ya mambo haya?

Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.



Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...

Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Sheikh Mohamed hii sasa ndio karata yao ya mwisho baada ya umma wa Kizanzibari kuamua kuikacha ccm kila siku zikienda. Lakini strategy hii ndio kama wanajichimbia kaburi lao...kufutika kabisa kabisa katika historia. Cha pili kilichobaki ni ulinzi haramu wanao pewa na Muungano.
Leo machotara wa Ccm kina Amani, Ali Karume, Salim Ahmed Mohamed Aboud, Raza na nduguye wotewabunge wa ccm na wengine wengi ukweli hawana nafasi katika ccm znz waache kujipendekeza. Ccm znz haiwezi kujilinganisha na Hizbu.
Hizbu wapo walikua safi hawana damu ya muislam wa kizanzibari...waliipigania znz wakaipa uhuru wake wakawa memba wa United nation na Commonwealth...
Ccm/Asp mikono yao haisafishiki kwa damu za wazanzibari....wamenajisi waislam wamenyanganya wanalo dhima kubwa ya kesho kwa Allah....
Bora kuitwa hizbu kuliko ccm
Ccm wameiuza znz kwa Tanganyika na sasa wanaimbishwa nyimbo hizi.....msiba mkuuu kwa hawa wafrika wa ccm znz....
Basi badilisheni na majina mujiite gololi, ruharo,mwakijamba..hayo ndo majina yanayo wafaa lakini ukitwa seif, abdalla au ali hayo majina nayo si ya kiafrika ni kihizbu hizbu...
 
Znz mpasuko unazidishwa na mabango kama haya,
Shein anachelea ila mwisho wake mbaya
 
Kila mtu anamtaka Rais Magufuli aingilie kati. Hana ubavu huo. Someni katiba ya Zanzibar. Hata kichama, mwenyekiti wa ccm ndiye mwenye mamlaka. tusihamishe magoli. Magufuli hahusiki kabisa ktk mgogoro huu huu wa kisiasa. Wajibu wake ni kuhakikisha amani na utulivu vinatamalaki.

Ni kweli Zanzibar imepasuka katikati na kwa misingi ya ubaguzi. Wote tumelipalilia na kulikuza. Kwa mfano, mantiki ya kuendelea kuwa na baraza la mapinduzi ni nini miaka 50 na ushee. Pia watu gani wanahodhi uchumi wa Zanzibar. Mwenye kutawala uchumi ndiye atakayetawala siasa. Katika hili huenda ccm wakaisoma namba. Nguvu ya kiuchumi ya cuf inakua kila kukicha na wamepanua matawi ya kiuchumi hadi bara. Tatizo siyo Shein au maalim Seif bali msukumo wa mwenye nguvu ya uchumi kutaka ahodhi siasa pia. Kwa Zanzibar kufanya hivyo kunasababisha mpasuko wenye kuleta sura ya kibaguzi.
Naona hiyo petrol itakuripukia mwenyewe. Ikiwa unasema raisi wa JMT hana uwezo na jukumu la kutatua mgogoro wa sehemu ya nchi yake lakini anaweza kutatua mgogoro wa Burundi. Siwezi kukusoma
 
Acha watoboane macho ndo wataheshimiana maanake mtu wa bara ukiwa huko unabaguliwa kama nini.
 
Mkuu Mkeimani kwamba Zanzibar au Tanzania ni nchi ya kiafrika au ya Waafrika ni jambo lililo wazi kabisa. Sijawahi kusikia mtu akidai kutoelewa hivyo. Sasa huo ujumbe kwenye bango ni kwa ajili ya nani hasa? Unajua, ikifikia hatua unamtaarifu mwanao wa kumzaa kuwa "wewe ni mtoto wangu" ni dalili ya mushkeli katika kujitambua kwako. Kuna kitu kimeharibika na kinaendelea kuharibika kwenye siasa za Zanzibar huku Tanganyika tukihusishwa kupitia CCM.
 

Hili bango naona Seif Sharrif HAMAD aliliona lilipokuwa linaandikwa akaamua kusepa kufika sherehe za mapinduzi kwa visingizio hewa.Seif atakuwa hakulala anaweweseka ANAOTA HILO BANGO.Chezea CCM Zanzibar.Ukimwaga Ugali wanamwaga mboga.
 
Kama machotara wanatengwa basi ni wakati mzuri wa kuwaoa na kuwaleta bara. Hawatakuwa na nyodo tena, twendeni tukaoe hao machotara.

Nadhani hapo ndio upeo wako wa kufikiri ulipoishia. Kazi kwelikweli.
 
I am shocked... mwili umetawaliwa na hofu. In those old days watu tuliamini ASP hardliners ndo tatizo la msingi... hawa wamebaki kwa kiasi gani? Au wamepandikiza mbegu za chuki kwa watoto na wajukuu zao?!

Naiona CUF ikizidi kupata nguvu maradufu ya ile ya October 2015. Lililo wazi kwa sasa kule Zanzibar ni kwamba, hivi sasa CUF wanapata uungwaji mkono mkubwa sana katika harakati zao za kutaka Zanzibar yenye mamlaka kamili! Tofauti na zamani, hivi sasa wanapata uungwaji mkono hata kutoka kwa CCM Insiders... tofauti yao ni kwamba, CUF wanapigana hadharani na hawa CCM Insiders wanapigana chini kwa chini!

Trust me, hapo wala hawawalengi wana CUF bali zaidi ni "Machotara" wa CCM yenyewe! Watu kama akina SAS hawajawahi kukubalika na ASP/CCM Hardliners hadi kesho! Hata kama wameingiza suala la Hizbu hapo lakini hadi akina Karume hapo wanahusishwa! Yaani ASP/CCM Hardliners hata Mohammed Babu nae walikuwa wanamuita Mwarabu! Nilipokuja kuisoma historia ya Mohammed Babu, nikachoka kuona nae anakuwa referred kama Mwarabu wa Hizbu!
Ungazija wa babu ndio ulioponza mbele ya wabaguzi ccm.
 
Kwani cha ajabu nini hapo? Zanzibar wenyewe ni weusi sasa awa waarabu koko kwa nini wanataka wawapore wenyeji nchi yao! Mimi nawasapoti wenyeji kukaza uzi msiiache hiyo ni nchi yenu hao waarabu koko kama wamechoka fadhili mnazowapa waanze kuondoka mmoja mmoja. Jamani tuacheni siasa za mihemko tangu lini nchi ya kiafrica ikatawaliwa na waarabu? Maana naona wengine mahaba yao ya harakati wameyaamishia zanzibar.
 
Well said Moh, binafsi huwa nashindwa kuelewa kwa nini Wazee wa huko hawapendi kuzika mambo ya zamani na kufungua ukurasa mpya, zama hizi nani anataka kusikia mambo ya Hizbu,Umma party,Kama HURU,sijui huyu mtu ni chotara nk dhana za namna hii zitaifikisha wapi Zanzibar? Wakishikwa pabaya wanakimbilia kukumbushia mambo ya kizamani - wanayakuza kweli kweli!!

Sultani wa Zanzibar aliondolewa madarakani/pinduliwa kutokana na kuendekeza kwake ubaguzi wa rangi na ukihukwaji mkubwa wa haki za binadamu - je mabango yaliyo bebwa na vijana hao zinaweza kutofautisha vipi na utawala wa Sultani aliye ondolewa madarakani.
 
UNAFKI MKUBWA ndivyo navoweza kuanza. Tumeona wawakilishi na mawaziri wengi machotara ukiwa CCM ni mzalendo. Nje ya hapo utabaguliwa na kuitwa majina ya kibaguzi. CCM imebaki na akili hizo iwe Zanzibar na hata bara ukionekana tishio kwa uhai wa ccm utaanzishiwa lugha za kibaguzi (ukabila, ngozi na kidini) kwa ujumla ni manyani yasioweza kuona matatizo yao huku wakitaka kusuhisha wengine wakati ya hapa kwetu tu hawawezi kupata suluhu.
"Watu wanapofilisika hoja.....hukimbilia ukaburu, ukabila......" Hyt Nyerere. CCM wanazidi kuanikwa kila siku.......Mungu yupo.
 
siamini kama nawe upo serious kumnukuu mwalimu nyerere huyu kafiri kabisa.... yaani unamnukuu mwalimu nyerere huyu ambaye kila siku unamrushia madongo? alipokuwa anazungumza haya mlimcheka na kumdharau lakini sasa yameanza kutokea mnakumbuka maneno yake. anyway... zanzibar ni sehemu yetu sisi wa Tanganyika ndio ambao tunaiongoza zanzibar na ndio tunaowachagulia nani awaongoze. zanzibar ni ka nchi ketu kadogo ambako tunakatawala indirect.
lakini najiuliza hii zanzibar si inaongozwa na waislamu hii? wote wale si ni waislamu? hapa napata shida maana miaka hii nyerere hayupo na yale makandao kandano mengine ya kuwa mfumo kristo huko hayako. huko kuna mfumo mohammad lakini bado hakujasettle. mi nadhani ile nadharia ya dini ya haki ndo ifanye kazi maana huyu dr shein atakuwa ni dini nyingine. akienda kuswali anaswali vipi? na hao wenzie wanaswali vipi?
zanzibar mlishaambiwa haibadilishwi kwa karatasi. na hilo msahau.
 
Back
Top Bottom