Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

Hao Wazee wa Mchambawima noma. Kama wanaweza kubaguana wao kwa wao mara huyu Hizbu huyu chotara sembuse wewe Msukuma wa Kisesa tena Muefeso?
Kikwete Mzanzibari? Ubaguzi upo tu kila sehemu.

Mbona alimbagua Dr. Salim Ahmed Salim kwa kisingizio cha Uhizbu tena hiyo ni baada ya Dr. Salim kushika nyadhifa nyeti kadhaa kitaifa na Kimataifa?!!
 
Jina
"Jina, la kikafiri"? You stupid fucker! Cock sucker
 
Chukua hatua, fukuzilia mbali hao pimbi kama wako kwenye himaya yako Muungano mchungu sana huu. Mara tuitwe Machogo, mara Kaffir maaaaaaninna Ijumaa, 26/4 tuandae mabango KERO ZA MUUNGANO SASA INATOSHA
 
mind your fucking business, learn to ignore mambo ambayo hayakuongezei faida kunasiku wataona vile ukiwakalia kimya ukajali hamsini zako kimya ni jibu la fala
hivi ulishakaa zanzibar wewe unajua gubu la wapemba lakini..
ukiambiwa ubaguzi ni ubaguzi kweli hawatanii hao wanaweza kukutoa kafara kama yesu
 
Fanya kazi achana nao hao
 
Alichokiandika mtoa post hapo hujasoma??????
Ukimsoma mtoa post utagundua yupo bara na si Zanzibar,kwa kauli 'mtakuja bara,jinsi wapemba wanavyoishi huku bara'...ni aidha kaamua kuhubiri chuki baada ya mbunge wa zenji kusema watu waende na passport zenji
 
Bob honda today kwa laki 7 napata?
 
Ukimsoma mtoa post utagundua yupo bara na si Zanzibar,kwa kauli 'mtakuja bara,jinsi wapemba wanavyoishi huku bara'...ni aidha kaamua kuhubiri chuki baada ya mbunge wa zenji kusema watu waende na passport zenji
Inawezekana ila waanzilishi wa chuki ni wazenj

Kuingia na passport zenj kwa lipi????
 
Halafu ole wako wagundue hujatahiriwa ... Wao wako radhi uwafire kisawa sawa , ila sio Kwa hivi! 😁😁 Ni DHAMBI kubwa
 
Uliona wapi mtu ambae hana kisogo akawa na akili timamu🤔🤔 hayo ni matahira tuu hayana lolote yadharau na kuyapuuza wewe piga kazi ukipata nafasi ya kuyafanyia roho mbaya yafanyie hadi shetani akuogope
 
Reactions: 511
Kwa hio aache kibarua chake kwa sababu ya majungu ? Binadamu ndo tulivyo hatuna jema ,,, afanye majukumu yake na kuweka malengo yake sawa
Tofautisha kati ya majungu na ubaguzi

Hayupo binadamu mwenyekuweza kuvumilia ubaguzi
 
Reactions: 511
Na sasa hivi tuna andaa proposal kwamba kuingia Zanzibar mpaka uwe na passport ila kwenda bara ni utawala wa manyani maana machogo mmezidi kuwa wengi sana huku Zanzibar.
Inakuwaje MACHOGO tunasumbuliwa na kinchi kidogo vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…