Kikwete Mzanzibari? Ubaguzi upo tu kila sehemu.Hao Wazee wa Mchambawima noma. Kama wanaweza kubaguana wao kwa wao mara huyu Hizbu huyu chotara sembuse wewe Msukuma wa Kisesa tena Muefeso?
Nadhani ulimaanisha justice."There is no just in world until we make it" - Lord Baelish(Littlefinger)
"Jina, la kikafiri"? You stupid fucker! Cock suckerKazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister... Imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora.... Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
hivi ulishakaa zanzibar wewe unajua gubu la wapemba lakini..mind your fucking business, learn to ignore mambo ambayo hayakuongezei faida kunasiku wataona vile ukiwakalia kimya ukajali hamsini zako kimya ni jibu la fala
Fanya kazi achana nao haoKazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister... Imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora.... Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Alichokiandika mtoa post hapo hujasoma??????Walikufanya nini Mkuu, mbona hasira nyingi sana!
Kama una hamu na visiwa,vya ukerewe vipo,ukivunja muungano waachie wenyewe nchi yaoIshu ni kuvunja muungano na kututeka huto tuvisiwa na kuifanya nchi moja tubaki kuwa mkoa....
Ukimsoma mtoa post utagundua yupo bara na si Zanzibar,kwa kauli 'mtakuja bara,jinsi wapemba wanavyoishi huku bara'...ni aidha kaamua kuhubiri chuki baada ya mbunge wa zenji kusema watu waende na passport zenjiAlichokiandika mtoa post hapo hujasoma??????
Inawezekana ila waanzilishi wa chuki ni wazenjUkimsoma mtoa post utagundua yupo bara na si Zanzibar,kwa kauli 'mtakuja bara,jinsi wapemba wanavyoishi huku bara'...ni aidha kaamua kuhubiri chuki baada ya mbunge wa zenji kusema watu waende na passport zenji
Tofautisha kati ya majungu na ubaguziKwa hio aache kibarua chake kwa sababu ya majungu ? Binadamu ndo tulivyo hatuna jema ,,, afanye majukumu yake na kuweka malengo yake sawa
Don't trust heresy especially in social media, people make up stories for their own agendas.Alichokiandika mtoa post hapo hujasoma??????
Huko nyuma watanganyika walikua wakienda zenji kwa passport,baada ya kuibaka zenji ndiyo mambo mengi holela yameingizwa kwenye muunganoInawezekana ila waanzilishi wa chuki ni wazenj
Kuingia na passport zenj kwa lipi????
Inakuwaje MACHOGO tunasumbuliwa na kinchi kidogo vile?Na sasa hivi tuna andaa proposal kwamba kuingia Zanzibar mpaka uwe na passport ila kwenda bara ni utawala wa manyani maana machogo mmezidi kuwa wengi sana huku Zanzibar.