Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.

Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.

Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister, imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora. Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.

Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.

Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.

Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.

Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Jina la kikafiri ni jina la namba gani unalalamika unabaguliwa wakati na wewe mwenyewe ni mjingamjinga uendelee tu kubaguliwa mpaka ubagulike
 
Chapa kazi kikubwa hawakulishi na Boss anakukubali piga kazi, wala usilipize kisasi, sio kizuri, kisasi ni cha BWANA,ushinde ubaya kwa wema
 
Hayo ni majungu sio manyanyaso Mkuu. Piga kazi kuwa ngangari na msimamo wako waujue. Watachague ama wakuheshimu au wakuogope.
 
Naona tatizo lipo Ila umeamua kulikuza na kulisambaza

MAISHA ili uyaelewe vizuri jifunze mbinu za kuishi na WATU negative maana hao ndo wengi.

Ila watu wakiwa negative na wewe ukawa negative maumivu yake ni makubwa Sana.

So usichukilie mambo personal MTU anayekuchukia au kukuongelea vibaya tatizo lipo kwake sio kwako. So usimchukie.

Wewe usigombane nao Ila kuwa mkimya Sana , focus na kazi yako waombee Amani na muombee boss wako Amani.

Giza haliwezi kuondolewa na Giza bali mwanga.
 
Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.

Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.

Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister, imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora. Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.

Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.

Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.

Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.

Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Mkuu chapa kazi Ili kuwakomesha Fanya maendeleo kuwazidi yani kama uko njema nunua hata gari Kali hakuna kutia huruma #nb usiache kula mdudu wetu jasiri haaxhi asiri
 
N
Sio kwa zanzibar ya sasa mkuu.
Mchanganyiko ni mkubwa, kuna mitaa wabara wapo wengi sawa na hao wazanzibari. Ubaya wa mtu hauangalii ubara wala uzanzibar. Maana kuna wazanzibari wengine wanabaguana hata wao kwa wao.
Na hio khulka hata bara pia ipo. Unataka kuniambia hakuna mbara hata mmoja ana ubaguzi wa kikabila!!!?
nakubaliana na unachosema......kuna baadhi ya maeneo wapo wa bara wengi iko poa.....ila hizo sehemu wapo wazawa daah
 
Na sasa hivi tuna andaa proposal kwamba kuingia Zanzibar mpaka uwe na passport ila kwenda bara ni utawala wa manyani maana machogo mmezidi kuwa wengi sana huku Zanzibar.
Hapana mkuu wao ndiyo wapo wengi Tanganyika, ukitaka kuamini hilo we nenda Bandari eneo la kusafiria abiria waendao Zanzibar na wanaotoka Zanzibar, Utaona wanaoingia Tanganyika ni wengi kuliko wa Tanganyika wanaokwenda Zanzibar, kingine kule Zanzibar hakuna fursa kama uku Tanganyika ndiyo maana ukienda Zanzibar ukuti vijana wenye pesa, Kwa mfano uwachukue vijana chini ya miaka 35 kutoka bara na Zanzibar utakuta vijana wa Zanzibar ni tengemezi, kumkuta kijana waki Zanzibar mwenye mwenye biashara kubwa ya mtaji ata wa kuanzia milioni 200 hakuna.
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Uliona wapi mtu ambae hana kisogo akawa na akili timamu[emoji848][emoji848] hayo ni matahira tuu hayana lolote yadharau na kuyapuuza wewe piga kazi ukipata nafasi ya kuyafanyia roho mbaya yafanyie hadi shetani akuogope

Ndomana dada zenu wa bara wakishoboka tunawagonga kisawasawa [emoji28]

Am just kidding [emoji102]
 
Hawa watu wasiokua na vichogo wana majungu sana halafu wavivu na wachafu. Mwezi ulioisha amekuja mzanzibar anataka kupanga nyumba yangu nikamwambia bora nyumba waishi panya lakini sio mzanzibari. Wameondoka na mashungi yao kama wamepandisha mashetani.

Dada zetu wamekuwa mashetani [emoji23]
 
Ndomana dada zenu wa bara wakishoboka tunawagonga kisawasawa [emoji28]

Am just kidding [emoji102]
Yani washoboke na matahira wasio na visogo wanao gawa kisamvu mpira 🤔🤔 utachekesha maiti
 
Tatizo lako unafikiri ubaguzi wa wazenji unatokana na dini huo siyo ukweli wazenji wanakubagua hata uwe na dini kama yao ilimradi tu uwe ni mtu wa bara ujue utabaguliwa ni tatizo la malezi ya hovyo yaliyo watengeza wawe na chuki kwa watu wa bara regardless dini yako.

Nilivyokua mdogo nilitamani sana siku moja nikutane na watu wa zanzibar maana sikuwahi kubahatika kukutana na mzenji hata mmoja , hao jamaa nilikutana nao jkt nilitamani niwe na urafiki nao maana sikuzijua tabia zao za kishenzi ila baada ya wiki niligundua ni watu wabinafsi huwa wanakua wema akiwa peke yake anapokosa mzanzibar mwenzake ila wakikutana kwanzia watatu wanaanza ujinga wao.

Alafu wakiwa bara huwa wanapenda kulalamika muda wote wanahisi kuonewa ni makalamiko tu hata makazini.

Mkuu mbona nyinyi ndio mnaonekanwa munalalamika sana? humu JF kila siku nyuzi wabara wanalalamika kuhusu wazanzibari
 
Mkuu mbona unaonekanwa kama ni Snitch? sasa unawafanyia usnitch wanfanykazi wenzio ulitegemea wakupende?
 
Sasa hayo mambo mbona kila ofisi yapo. Hata ofisini kwangu hakuna mzenji hata mmoja ila majungu utazani jikoni.
 
Back
Top Bottom