n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Mama tanganyika ananyonywa kila kona. Dawa wapuuzi ni kuwatimua huku tanganyika wasituletee upuuzi wao.Hao huku kigamboni wamejazana kama pemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama tanganyika ananyonywa kila kona. Dawa wapuuzi ni kuwatimua huku tanganyika wasituletee upuuzi wao.Hao huku kigamboni wamejazana kama pemba
Jina la kikafiri ni jina la namba gani unalalamika unabaguliwa wakati na wewe mwenyewe ni mjingamjinga uendelee tu kubaguliwa mpaka ubagulikeKazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister, imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora. Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Nimeiependa hiimind your fucking business, learn to ignore mambo ambayo hayakuongezei faida kunasiku wataona vile ukiwakalia kimya ukajali hamsini zako kimya ni jibu la fala
Mkuu chapa kazi Ili kuwakomesha Fanya maendeleo kuwazidi yani kama uko njema nunua hata gari Kali hakuna kutia huruma #nb usiache kula mdudu wetu jasiri haaxhi asiriKazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister, imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora. Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
nakubaliana na unachosema......kuna baadhi ya maeneo wapo wa bara wengi iko poa.....ila hizo sehemu wapo wazawa daahSio kwa zanzibar ya sasa mkuu.
Mchanganyiko ni mkubwa, kuna mitaa wabara wapo wengi sawa na hao wazanzibari. Ubaya wa mtu hauangalii ubara wala uzanzibar. Maana kuna wazanzibari wengine wanabaguana hata wao kwa wao.
Na hio khulka hata bara pia ipo. Unataka kuniambia hakuna mbara hata mmoja ana ubaguzi wa kikabila!!!?
Hapana mkuu wao ndiyo wapo wengi Tanganyika, ukitaka kuamini hilo we nenda Bandari eneo la kusafiria abiria waendao Zanzibar na wanaotoka Zanzibar, Utaona wanaoingia Tanganyika ni wengi kuliko wa Tanganyika wanaokwenda Zanzibar, kingine kule Zanzibar hakuna fursa kama uku Tanganyika ndiyo maana ukienda Zanzibar ukuti vijana wenye pesa, Kwa mfano uwachukue vijana chini ya miaka 35 kutoka bara na Zanzibar utakuta vijana wa Zanzibar ni tengemezi, kumkuta kijana waki Zanzibar mwenye mwenye biashara kubwa ya mtaji ata wa kuanzia milioni 200 hakuna.Na sasa hivi tuna andaa proposal kwamba kuingia Zanzibar mpaka uwe na passport ila kwenda bara ni utawala wa manyani maana machogo mmezidi kuwa wengi sana huku Zanzibar.
Hao huku kigamboni wamejazana kama pemba
Uliona wapi mtu ambae hana kisogo akawa na akili timamu[emoji848][emoji848] hayo ni matahira tuu hayana lolote yadharau na kuyapuuza wewe piga kazi ukipata nafasi ya kuyafanyia roho mbaya yafanyie hadi shetani akuogope
Hawa watu wasiokua na vichogo wana majungu sana halafu wavivu na wachafu. Mwezi ulioisha amekuja mzanzibar anataka kupanga nyumba yangu nikamwambia bora nyumba waishi panya lakini sio mzanzibari. Wameondoka na mashungi yao kama wamepandisha mashetani.
Yani washoboke na matahira wasio na visogo wanao gawa kisamvu mpira 🤔🤔 utachekesha maitiNdomana dada zenu wa bara wakishoboka tunawagonga kisawasawa [emoji28]
Am just kidding [emoji102]
Bob honda today kwa laki 7 napata?
Tatizo lako unafikiri ubaguzi wa wazenji unatokana na dini huo siyo ukweli wazenji wanakubagua hata uwe na dini kama yao ilimradi tu uwe ni mtu wa bara ujue utabaguliwa ni tatizo la malezi ya hovyo yaliyo watengeza wawe na chuki kwa watu wa bara regardless dini yako.
Nilivyokua mdogo nilitamani sana siku moja nikutane na watu wa zanzibar maana sikuwahi kubahatika kukutana na mzenji hata mmoja , hao jamaa nilikutana nao jkt nilitamani niwe na urafiki nao maana sikuzijua tabia zao za kishenzi ila baada ya wiki niligundua ni watu wabinafsi huwa wanakua wema akiwa peke yake anapokosa mzanzibar mwenzake ila wakikutana kwanzia watatu wanaanza ujinga wao.
Alafu wakiwa bara huwa wanapenda kulalamika muda wote wanahisi kuonewa ni makalamiko tu hata makazini.