Ubaguzi uwanja wa ndege wa (JNIA)

Achana na huyu fala hana kitu anachojua. Tuzazungumzia airport anatuletea habari za ikulu
 
Tumekusoma kuwa ukienda Ikulu bila shaka hata mapokezi hukufuka.

Mleta uzi amesema alikuwa JNIA sijaona sehemu aliyo taja kuwa alikuwa terminal 3.

Kwa ushamba wako unadhani Terminal 3 ndio inaitwa JNIA
 
Cc: Tanzania Airport Authority
: Head of Operations/Security (JNIA)
 
Tumekusoma kuwa ukienda Ikulu bila shaka hata mapokezi hukufuka.

Mleta uzi amesema alikuwa JNIA sijaona sehemu aliyo taja kuwa alikuwa terminal 3.

Kwa ushamba wako unadhani Terminal 3 ndio inaitwa JNIA
Wewe mavi kabisa, terminal nzote tatu ni JNIA, terminal one ni kwa ajili ya charter plane, terminal two ni domestic passenger flight na terminal three ni international flight.

Yeye alikuwa anakwenda Dodoma hawezi kuwa terminal three. Fala wewe hujui kitu.
 
Hebu ondoa uharo wako hapa. Binafsi sijaona sehemu aliyoandika terminal 3.

Onyesha kama Ipo.

Sijakuuliza Terminal Ipi inafanya nini?

Hivi mara yako ya mwisho kupanda ndege ni lini?
 

Umaskini na wivu unakusumbua... kilichokuuma hapo ni nini?
 
Ubaguz unanzia kwetu ngoz nyeus tunabaguana mpaka makabila huyu ana hela huyu hana huyu ana cheo huyu hana Ubaguz n dhana pana
 
We nenda ofisi ya serikali kuta zile suma jkt umevaa kipensi chako na ndala utaendeshana nao sio poa. Ila aje mtu mwenye asili tofauti na tanzania hadi ofisini anapelekwa
 
Unataka kusema hao watu walihonga au, maana yako ni ipi hasa??? Sijaona uhusiano wa pesa na alichozungimzia mtoa uzi hapo juu....
Una akili mno wewe mwanamke, kwa sababu hii mna haki ya kuwaburuza wanaume wapuuzi kama hawa, very hopeless! Na msiwaonee huruma.
 
atafute pesa aepukane na hizo kero.
Kwa ufupi atafute pesa anunue ndege yake aepuke hizo kero za kukaa foleni.
Suala si pesa, sasa kila mtu ataweza kununua ndege yake? Ukute ni mweusi halafu unashadadia upuuzi, si kila kitu ni cha kubisha bisha.
 
Nashangaa mwanamke unakuwa na akili kushinda baadhi ya mijanaume mipumbavu, issue ni kutatua kero jitu linasema tu 'tafuta pesa', mother fu**k! Hongera dada kwa upeo mkubwa.
 
Mzee mbona povu? Unampinga mtoa mada kuwa upigaji haujarudi?
Kuna haja gani ya kutusi kabila la mtu? Unataka wote tujue uliingia ikulu? Unataka tukuogope? Anyway ila si fair kutusi kabila la mtu. Ni hivyo tu.
 
Achana na huyu fala hana kitu anachojua. Tuzazungumzia airport anatuletea habari za ikulu
Anaonekana tu mshamba, yaani JPM kafa ila bado anawaminya kende, kweli jamaa alikua mwamba kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeona povu alilotoa hapo juu!
 
Mkuu punguza jazba usikute wenzio kila siku wanasafiri hapo yani wamepazoea kama wewe ulivyozoeleka pale mbezi ukifika tu wanakwambia kiongozi basi lako la kimbinyiko bado lina nafasi.
Sio sababu kaka, tafadhali usitetee ukuda.
 
Kwani ni wapi mtoa post kataja aina ya terminal? Wewe vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…