Ubaguzi uwanja wa ndege wa (JNIA)

Ubaguzi uwanja wa ndege wa (JNIA)

Hebu ondoa uharo wako hapa. Binafsi sijaona sehemu aliyoandika terminal 3.

Onyesha kama Ipo.

Sijakuuliza Terminal Ipi inafanya nini?

Hivi mara yako ya mwisho kupanda ndege ni lini?
Jamaa sijui ni vyeti feki hili, halieleweki kabisa. Nina mashaka hata elimu yake ya magumashi.
 
AY aliwahi kuimba "unaweza kuongozana na mzungu hotelini amevaa pensi na ndala....nawewe umevaa the same ila yeye akapita wewe ukarudishwa "

Sisi Waafrika tumetawaliwa fikra
 
Leo tarehe 4Oktoba, 2021saa 11.15 Asubuhi nilisindikiza mtu Uwanjani anaenda Dodoma na Air Tanzania ya saa 12 Asubuhi. Watu walikuwa kwenye foleni ya kuingia, kuna Muhindi mmoja alivaa pensi na fulana nyekundu, mwenzie alisha ingia yeye ni msindikizaji, nadhani kuna kitu alisahau kumwambia, alichofanya yule Muhindi ni kupita watu kwenye foleni hadi ndani bila mlinzi kumuuliza chochote wala kumkagua na hakuwa na tiketi, kilichoniuma zaidi mwenzie aliyekuwa naye huku nje alipoona jamaa anachelewa nae akaingia kumfuata na mlinzi akmuachia nae aingie. Sasa nikajiuliza hivi magaidi au wanaoweza leta madhara pale Airport ni weusi tu?., sikuvumilia nilimuuliza yule mlinzi, mbona hawa wahindi unawaachia waingie na kutoka bila kukaguliwa? akajibu hiyo ni kazi yake. Ikiwa na maana anaamua yeye aingie nani asiingie nani. Wenye Mamlaka fuatilieni kwenye CCTV mtaona.
Lugha mzee unadhani angeanzia wapi kumuuliza
 
Zanzibar dada za zetu wakitoka bara wasipovaa juba sijui hijab vijana mashoga huwazomea na kuwanyanyasa ila dada wa kizungu akitembea na chupi tu ufukweni wanamshangilia huku wakikodolea macho k.
 
Ngoja mamlaka husika watakuja kukujibuuu

aina za ubaguzi
1. kuwapita watu kwenye foleni bila kuomba ridhaa yaooo
2. Wengine kukaguliwa tiketi/vitambulisho na wengine hapanaa

enjoy your life, usilalamike mnooo
A-enjoy life kwamba yeye ni kubaguliwa kwenye nchi yake mwenyewe. Tukienda kwao wanatubagua. Humu mwetu tubaguane wenyewe.
 
Leo tarehe 4Oktoba, 2021saa 11.15 Asubuhi nilisindikiza mtu Uwanjani anaenda Dodoma na Air Tanzania ya saa 12 Asubuhi. Watu walikuwa kwenye foleni ya kuingia, kuna Muhindi mmoja alivaa pensi na fulana nyekundu, mwenzie alisha ingia yeye ni msindikizaji, nadhani kuna kitu alisahau kumwambia, alichofanya yule Muhindi ni kupita watu kwenye foleni hadi ndani bila mlinzi kumuuliza chochote wala kumkagua na hakuwa na tiketi, kilichoniuma zaidi mwenzie aliyekuwa naye huku nje alipoona jamaa anachelewa nae akaingia kumfuata na mlinzi akmuachia nae aingie. Sasa nikajiuliza hivi magaidi au wanaoweza leta madhara pale Airport ni weusi tu?., sikuvumilia nilimuuliza yule mlinzi, mbona hawa wahindi unawaachia waingie na kutoka bila kukaguliwa? akajibu hiyo ni kazi yake. Ikiwa na maana anaamua yeye aingie nani asiingie nani. Wenye Mamlaka fuatilieni kwenye CCTV mtaona.
This is a very serious matter kwa security ya uwanja.. upuuzi tu.. kupuuzia taratibu na kanuni za eneo nyeti kama hilo zitatufikisha pabaya siku moja. Uongozi husika changamkeni..
 
Kazi kwelikweli, tunabaguana sisi wenyewe humu ndani na bado Kuna ubaguzi wa nje duuuhh kazi kweli...
 
Mbantu akienda jehanam atakua anaonewa maana maisha ya jehanam ameyaanza hapa duniani. Unabaguliwa nchini mwako, barani mwako, ukienda Ulaya na Asia unabaguliwa.
Besti agizia ama nubua chochote hapo Tesco, Asda ama lidl unitumie bill ntalipia
 
Mleta mada Kuna kitu hukiekewi hapo

Kutakuwa na mzigo au ulikuwa unaingia au unatoka wa madawa ya kulevya au madini yalikuwa yakiondoka

Upigaji umesharudi

Hizo CCTV camera waweza kuwa walilizizima hiyo deal ilipofanyika au walizielekeza angle ingine

Mtandao wote hapo airport waweza kuwa walikuwa wakijua hilo deal na kulifanyika timing Nani aingie Kwanza afuatiwe na nani Wanapeana ishara ingia

Mfano wa Kwanza aweza kuwa mbeba mzigo,wa pili bosi wake wa tatu tajiri mwenyewe wa kuhakiki Kila kitu sawa.
Mbona sasa wamatumbi wenzao wanawasikaga kwa wingi wakifanya madili kama hayo ya madawa? Nigger ni mpumbavu tu.
 
Safari za Dodoma airport inayotumika ni terminal two na siyo terminal three, terminal three ndio international route.

Mimi last wiki nimeingia ikulu ya Dar nikawa nahitaji bahasha kubwa ya A4! Nikatoka kwenda nje mpaka wizara ya ardhi nikanunuwa bahasha na nikarudi ikulu sikukaguliwa.

Usidhani mifumo ya ulinzi ipo unavyodhani wewe na akili zenu mbovu za kishamba za kisukuma.

Andika kwenye diary yako kwa kumbukumbu hii nchi kamwe haitokabidhiwa tena kwa washamba, kuna jamii bado haijastaarabika iendelee kuswaga ng'ombe na siyo binadamu.
Dah kweli haya majamaa yaache yaswage mang'ombe tu
 
Hujui unachokiuliza wala hujui matumizi ya airport, ukisema unakwenda wapi waelewa tunajuwa uko terminal ipi. Fanculo.
Ndio ila ni kama ulikuwa unabisha kwenye 'hamna' hivi. Unamkosa mtoa post kwa kumuita mshamba na wakati hakutaja terminal, una shida ndani ya kichwa chako. You need serious treatment!
 
Hujui kuwa ngozi nyeupe inathamani kuliko nyeusi duniani kote blaza!!!! 😂😂😂😂 Au urikuwa hujui babaa,,,


Wahindi ni wabaguzi sana sanaa, hili halipingiki, baazi wanajierewa. Lakinii lakinii nchi za uarabuni wananywea mammae,, Kuvuta choo ni wao, kazi za ndani ni wao, kumwagilia mitende ni wao+wapakistani, nepal, bengal n.k.,,,,kufyagia mabarabara ni wao, kutupa taka ni wao, ujenzi wa nyumba ni wao n.k. huku wanajifanya mabosi na kujiona wakipekee hakuna mfanoe 😂😂😂 aisee, waarabu hawapendi ujinga mammae 😂😂😂
 
Ofisi ya umma mtu mweusi hasa mbongo ukivaa ndala na kipensi hutaruhusiwa kuingia ndani,ila mzungu akivaa kipensi na ndala watamruhusu wanasema utalii[emoji16][emoji38]
Sasa ni utalii wa ndala au?
 
Leo tarehe 4Oktoba, 2021saa 11.15 Asubuhi nilisindikiza mtu Uwanjani anaenda Dodoma na Air Tanzania ya saa 12 Asubuhi. Watu walikuwa kwenye foleni ya kuingia, kuna Muhindi mmoja alivaa pensi na fulana nyekundu, mwenzie alishaingia yeye ni msindikizaji, nadhani kuna kitu alisahau kumwambia, alichofanya yule Muhindi ni kupita watu kwenye foleni hadi ndani bila mlinzi kumuuliza chochote wala kumkagua na hakuwa na tiketi.

Kilichoniuma zaidi mwenzie aliyekuwa naye huku nje alipoona jamaa anachelewa nae akaingia kumfuata na mlinzi akamuachia naye aingie.

Sasa nikajiuliza hivi magaidi au wanaoweza leta madhara pale Airport ni weusi tu? Sikuvumilia nilimuuliza yule mlinzi, mbona hawa wahindi unawaachia waingie na kutoka bila kukaguliwa?

Akajibu hiyo ni kazi yake. Ikiwa na maana anaamua yeye aingie nani asiingie nani. Wenye Mamlaka fuatilieni kwenye CCTV mtaona.
Tafuta mkwanja ndugu yangu, isije hadi Manunu (Mbwa wa Wema) akaheshemiwa kuliko wewe😀
 
Unataka kutuaminisha watu wasio wasafiri waliingia pale pa kucheck in na wakatoka??!!

Kama hawakutoka nini kilikufanya uamini ni wasindikizaji tu na si wasafiri?.
 
Back
Top Bottom