Ubaguzi uwanja wa ndege wa (JNIA)

Hebu ondoa uharo wako hapa. Binafsi sijaona sehemu aliyoandika terminal 3.

Onyesha kama Ipo.

Sijakuuliza Terminal Ipi inafanya nini?

Hivi mara yako ya mwisho kupanda ndege ni lini?
Jamaa sijui ni vyeti feki hili, halieleweki kabisa. Nina mashaka hata elimu yake ya magumashi.
 
AY aliwahi kuimba "unaweza kuongozana na mzungu hotelini amevaa pensi na ndala....nawewe umevaa the same ila yeye akapita wewe ukarudishwa "

Sisi Waafrika tumetawaliwa fikra
 
Lugha mzee unadhani angeanzia wapi kumuuliza
 
Zanzibar dada za zetu wakitoka bara wasipovaa juba sijui hijab vijana mashoga huwazomea na kuwanyanyasa ila dada wa kizungu akitembea na chupi tu ufukweni wanamshangilia huku wakikodolea macho k.
 
Ngoja mamlaka husika watakuja kukujibuuu

aina za ubaguzi
1. kuwapita watu kwenye foleni bila kuomba ridhaa yaooo
2. Wengine kukaguliwa tiketi/vitambulisho na wengine hapanaa

enjoy your life, usilalamike mnooo
A-enjoy life kwamba yeye ni kubaguliwa kwenye nchi yake mwenyewe. Tukienda kwao wanatubagua. Humu mwetu tubaguane wenyewe.
 
This is a very serious matter kwa security ya uwanja.. upuuzi tu.. kupuuzia taratibu na kanuni za eneo nyeti kama hilo zitatufikisha pabaya siku moja. Uongozi husika changamkeni..
 
Kazi kwelikweli, tunabaguana sisi wenyewe humu ndani na bado Kuna ubaguzi wa nje duuuhh kazi kweli...
 
Mbantu akienda jehanam atakua anaonewa maana maisha ya jehanam ameyaanza hapa duniani. Unabaguliwa nchini mwako, barani mwako, ukienda Ulaya na Asia unabaguliwa.
Besti agizia ama nubua chochote hapo Tesco, Asda ama lidl unitumie bill ntalipia
 
Mbona sasa wamatumbi wenzao wanawasikaga kwa wingi wakifanya madili kama hayo ya madawa? Nigger ni mpumbavu tu.
 
Dah kweli haya majamaa yaache yaswage mang'ombe tu
 
Hujui unachokiuliza wala hujui matumizi ya airport, ukisema unakwenda wapi waelewa tunajuwa uko terminal ipi. Fanculo.
Ndio ila ni kama ulikuwa unabisha kwenye 'hamna' hivi. Unamkosa mtoa post kwa kumuita mshamba na wakati hakutaja terminal, una shida ndani ya kichwa chako. You need serious treatment!
 
Hujui kuwa ngozi nyeupe inathamani kuliko nyeusi duniani kote blaza!!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Au urikuwa hujui babaa,,,


Wahindi ni wabaguzi sana sanaa, hili halipingiki, baazi wanajierewa. Lakinii lakinii nchi za uarabuni wananywea mammae,, Kuvuta choo ni wao, kazi za ndani ni wao, kumwagilia mitende ni wao+wapakistani, nepal, bengal n.k.,,,,kufyagia mabarabara ni wao, kutupa taka ni wao, ujenzi wa nyumba ni wao n.k. huku wanajifanya mabosi na kujiona wakipekee hakuna mfanoe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ aisee, waarabu hawapendi ujinga mammae πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ofisi ya umma mtu mweusi hasa mbongo ukivaa ndala na kipensi hutaruhusiwa kuingia ndani,ila mzungu akivaa kipensi na ndala watamruhusu wanasema utalii[emoji16][emoji38]
Sasa ni utalii wa ndala au?
 
Tafuta mkwanja ndugu yangu, isije hadi Manunu (Mbwa wa Wema) akaheshemiwa kuliko weweπŸ˜€
 
Unataka kutuaminisha watu wasio wasafiri waliingia pale pa kucheck in na wakatoka??!!

Kama hawakutoka nini kilikufanya uamini ni wasindikizaji tu na si wasafiri?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…