Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Jiwe imetosha kutawala nchi yetu pendwa, kuna mdau alisema huyu hafai hata kuongoza familia, sasa ndiyo nimeelewa alikuwa anamaanisha nini
 
Tatizo anawaza chama chake ndio kinaweza kuwaletea maendeleo!
 
Rais akisha chaguliwa na kuapishwa, hawi tena Rais wa chama kimoja bali anakuwa Rais wa watu wrote.Pengine alikuwa anatania tu ingawa sio mara moja kusema hayo
Ile kauli haifai kabisa kutolewa na mkuu wa nchi!
Raisi ametugawanya sana wa Tz na sasa tuseme basi!
Ile kauli hapana ni ya kupingwa kabisa, haikupaswa kutolewa na mkuu wa nchi.
hata mkuu wa kijiji sidhani kama anaweza kutoakauli ya kichochezi kivile.
 
Hapa sijamuelewa Rais wangu kabisa! kusema Wananchi wa NANGURUKU, wamekosa STENDI kwa sababu tu wamekosea kuchagua MBUNGE, yaani kama wangemchagua MBUNGE kutoka CCM wangepata STENDI, kwa kuwa wanemchagua kutoka UPINZANI hawawezi kupata STENDI kutokana na yeye bali MBUNGE wao.

Najiuliza, STENDI inayojengwa MBEZI DAR ES SALAAM, anayeijenga ni MBUNGE wa KIBAMBA, au Serikali ya MAGUFULI? STENDI ya Nanenane MBEYA! ilijengwa na Mbunge huyu SUGU? STENDI inayojengwa ARUSHA, muhusika ni GODBLESS LEMA, au Serikali ya MAGUFULI?

HII dhana ya Maendeleo hayana CHAMA imeshakufa? na Je! MAGUFULI ana uhakika gani hao wanaomuomba kama walimchagua BWEGE? JE! NANGURUKU hakuna wanachama wa CCM?

Mbona UBUNGO inajengwa FLY OVER, na Mbunge wake ni kutoka CHADEMA?

Credit: Abeid Suleiman
Kwa kweli ananiboa saana!
 
Mh Rais umeniangusha sana kwa kauli yako yakibaguzi uliyotoa jimboni kwa Mh Bwege kuwa walichagua upinzani ndio maana hawana stendi ,kiukweli kosa la namna hiyo ulilifanya pia morogoro lkn cha kushukuru mbunge wa pale alikuwa ni wa CCM acha ubaguzi
 
Back
Top Bottom