Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demokrasia ya lumumba fomu imetoka moja tu
Ulikuwa unataka wawanunulie ndege na kuwajengea SGR? Mbona wewe ni mpumbavu kiasi hiki? Mbaya zaidi hujijui kuwa wewe ni mpuuziMkuu tindo hamchoki kunung'unika, kulalama, kushutumu, kulaumu, kujisheua na kulialia kutafuta huruma ya jamii ndani na nje?
Lini mtaanzisha mada za kukijenga chama chenu kwa hoja zinazogusa jamii kwa ujumla badala ya hizo mnazodhani zinawajenga viongozi wenu, kumbe zinawadidimiza kama siyo kuwabomoa?
Kuna lipi upinzani umelifanyia Taifa hili japo kidogo, ikizingatiwa wana madiwani, wabunge kadhaa na wanaongoza Halmashauri za majiji ya TANZANIA?
Mkuu umemaliza. Kama hatakuelewa tena basi atakuwa na mtindio wa ubungoKabla Nyerere hajawa rais wakati yuko Tanu akipamana na wakoloni, alijenga madaraja na barabara ngapi mpaka wananchi wakamuamini wakampa nchi? Mkapa na Kikwete kuna miundombinu walijenga wakiwa madarakani, je wamejenga barabara za urefu gani baada ya kutoka madarakani, ili tujue ukiwa nje ya madaraka unaweza kujenga kitu cha maana?
Baada ya vyanzo vingi vya halmashauri kuchukuliwa na serikali kuu, hakuna chochote cha maana halmashauri zinaeweza kufanya, zaidi ya kusubiri pesa serekali kuu, na hizo hela zikienda kwenye halmashauri, ndio hiyo inaitwa kasi ya serikali ya Magufuli. Hilli wala halihitaji Elimu ya chuo kikuu kulifahamu.
Hatushutumu bali tunaweka wazi ukweli. Kuna tofauti ya kulalamika, kunung'unika nk. Sisi tunasema wazi serikali hii ya awamu ya tano, ina viongozi wenye ulevi na matumizi mabaya ya madaraka.
Chadema walivyomchagua tena Mbowe mlisema chadema hakuna demokrasia mwenyekiti ni dikteta na hakuna wa kumpinga. Haya tuelezeni basi ninyi imekuwaje mkulu kajiprintia fomu yake mwenyewe na hakuna aliefungua mdomo kuhoji? Hiyo demokrasia mnayoihubiri iko wapi?Zimetoka nyingi ila wanaccm wameridhika na mgombea wao
Chadema walivyomchagua tena Mbowe mlisema chadema hakuna demokrasia mwenyekiti ni dikteta na hakuna wa kumpinga. Haya tuelezeni basi ninyi imekuwaje mkulu kajiprintia fomu yake mwenyewe na hakuna aliefungua mdomo kuhoji? Hiyo demokrasia mnayoihubiri iko wapi?
Ulikuwa unataka wawanunulie ndege na kuwajengea SGR? Mbona wewe ni mpumbavu kiasi hiki? Mbaya zaidi hujijui kuwa wewe ni mpuuzi