Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Jiwe imetosha kutawala nchi yetu pendwa, kuna mdau alisema huyu hafai hata kuongoza familia, sasa ndiyo nimeelewa alikuwa anamaanisha nini
 
Tatizo anawaza chama chake ndio kinaweza kuwaletea maendeleo!
 
Rais akisha chaguliwa na kuapishwa, hawi tena Rais wa chama kimoja bali anakuwa Rais wa watu wrote.Pengine alikuwa anatania tu ingawa sio mara moja kusema hayo
 
Kwa kweli ananiboa saana!
 
Mh Rais umeniangusha sana kwa kauli yako yakibaguzi uliyotoa jimboni kwa Mh Bwege kuwa walichagua upinzani ndio maana hawana stendi ,kiukweli kosa la namna hiyo ulilifanya pia morogoro lkn cha kushukuru mbunge wa pale alikuwa ni wa CCM acha ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…