Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Me mwenyewe ndio nipo Google hapa natafuta pengine siwafahamu....Wanawake wa wapi hao wenye kusahau maumivu rahisi kiasi hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me mwenyewe ndio nipo Google hapa natafuta pengine siwafahamu....Wanawake wa wapi hao wenye kusahau maumivu rahisi kiasi hicho?
Sisi huwa hatusamehei usaliti tu basi.... Mengine kama kupika vibaya, kutokuwa msafi, na kadhalika tunaweza samehe, ila inapokuja swala la kumleta mtu wa tatu katika umoja wetu tayari umeshatia ndimu kwenye chai ya maziwa.Wengi tu bana tunasahau mapema, ushaona wanaume wamasamehe kirahisi ka wanawake?
Mmachame jambazi.Huyo sio m'machame ni jambazi
MmmmmmhmnWanaume huuliwa huko nje bana wanakohangaika Mara michepuko, Mara kudhulumiana na kutapeliana huko Sasa visasi vikitokea mke ndo mhanga baada ya kufa na Mali zenyewe ukute walitafta na mke from zero mpaka wakapata mali, kwanini usipiganie jasho lako na wanao eti kisa kuogopa maneno ya waja
Wagogo nawajua.... Acha uongo.... Hebu sema ukweli nyau weweKabila langu mgogo
Huo Sasa wivu na ubinafsi Yani nisimpende baba yangu, kaka angu wa damu Mimi siwezi kabisa, na hapo kwa mtoto wangu wa kiume ndio kabisa nadhani nikipata mtoto wangu wakiume nitaamishia upendo wote kwake aisee kuliko chochote maana hyo ndo back up yangu halisi kabisa kutoka kwangu. Na wewe mwanaume utasubiri Sana hapoSisi huwa hatusamehei usaliti tu basi.... Mengine kama kupika vibaya, kutokuwa msafi, na kadhalika tunaweza samehe, ila inapokuja swala la kumleta mtu wa tatu katika umoja wetu tayari umeshatia ndimu kwenye chai ya maziwa.
Kwa kifupi huwa hatutaki mwanaume yoyote apewe nafasi nje yetu kwenu, awe baba yako, kaka yako, rafiki yako, mtoto wetu wa kiume, yoyote yule.....
Wanaume kwa wanawake wetu ni kama watoto kwa mama zao.....
Mbona umegunaMmmmmmhmn
[emoji23][emoji23][emoji23]ndio ujue Mimi mgogo originaleWagogo nawajua.... Acha uongo.... Hebu sema ukweli nyau wewe
[emoji23][emoji23]Wote wale wale tu ni Kama nyani, Ila mapori tofauti tofauti tu.Yaani mimi na baba yako ni malaya, hivi we mtoto una adabu weye?!
Maza sijui walipishana wapi na wanyakyusa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanyakyusa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ndio upo tena Sana kwani jamii nyingi zinatofautiana mila zao mfano hadi sasa baadhi ya jamii zinaendekeza mila na desturi za ukeketaji na zingine hakina hivyo,muoaji ataenda kwenye jamii isiyokeketa.Ni hilo tu kwa leoHivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
Unaona sasa majibu ya kimachame kabisa haya.......Huo Sasa wivu na ubinafsi Yani nisimpende baba yangu, kaka angu wa damu Mimi siwezi kabisa, na hapo kwa mtoto wangu wa kiume ndio kabisa nadhani nikipata mtoto wangu wakiume nitaamishia upendo wote kwake aisee kuliko chochote maana hyo ndo back up yangu halisi kabisa kutoka kwangu. Na wewe mwanaume utasubiri Sana hapo
Aaaah kwenda zako. Wagogo nawajua....[emoji23][emoji23][emoji23]ndio ujue Mimi mgogo originale
Yaani ninyi mnavyofeel hivi, na sisi tunafeel hivyo hivyo...! Sema kwa sababu dunia hii ni yenu mnatupuuza na kutuamulia jinsi ya kufeelSisi huwa hatusamehei usaliti tu basi.... Mengine kama kupika vibaya, kutokuwa msafi, na kadhalika tunaweza samehe, ila inapokuja swala la kumleta mtu wa tatu katika umoja wetu tayari umeshatia ndimu kwenye chai ya maziwa.
Kwa kifupi huwa hatutaki mwanaume yoyote apewe nafasi nje yetu kwenu, awe baba yako, kaka yako, rafiki yako, mtoto wetu wa kiume, yoyote yule.....
Wanaume kwa wanawake wetu ni kama watoto kwa mama zao.....
Kweli kabisaAaaah kwenda zako. Wagogo nawajua....
Hivi naachaje kumpenda mtu niliye mubeba tumboni miezi Tisa jamani mbona ngumu Sana,Mimi nikizaa wanangu ndio ndugu wa kwanza wengine next, Tena nikipata jembe langu lakiume ndio haswa naota mapembeUnaona sasa majibu ya kimachame kabisa haya.......
Huo sio ushambaWewe na wewe hebu achaga ushamba. Hilo jina wamepewa sababu ya ushari wao na kupenda kudhuru wanaume kama wale wapalestina kuwa mashariki ya kati uarabuni huko wanapolipuana na kufanyiana visa.
Okay,... PoleHuo sio ushamba
Ni kutofahamu tu
Sjjawahi kuishi Kilimanjaro
Na aliyemuweka humo ni vema ukampenda pia...Hivi naachaje kumpenda mtu niliye mubeba tumboni miezi Tisa jamani mbona ngumu Sana,Mimi nikizaa wanangu ndio ndugu wa kwanza wengine next, Tena nikipata jembe langu lakiume ndio haswa naota mapembe
Ila upendo hautakuwa sawa mizania itazidi upande mmojaNa aliyemuweka humo ni vema ukampenda pia...