Ubaguzi wa makabila katika kuoa

we jamaa umemaliza yote!! nataman kulike hii post ×10000000000000

hakika unawajua hawa jamaa. Advance nmeshuhudia haya. nliyokutana nayo ngoja niishie hapa. For sure mm nachukia sana udini na ukabila tena saaaaana. mtu ambaye hajawahi kukutana na haya mambo hawez kuelewa!.

yaan unakuta watu wa dini fulan wanajifanya wanasali kumbe wanafundishana,wakikuona tu ww unasogelea pale haoooo wanajfanya walikua wanapga ctori.
 
[emoji817][emoji736][emoji818]
 
Mkuu nimekukubali sana kaka sijui Dada una akili sana nikupe big up. Na ndo mana pamoja na kuzunguka dunia yote nilijua thamani ya MTU wa kwenu so nikarudi kule kijijini nilikozaliwa nikauliza wazee wakanishauri nikikutana na binti naleta hoja mezani wazee wanachambua chimbuko lake I.e kwa mama yake na baba yake Uko wote unaangaliwa. Ila ukijifanya kama umesoma Hayo mambo ni ya zamani hawakulazimishi ila yatakapoanza kukutokea puani wao ya kwao ni kuwa tulikushauri ila hukutusikiliza kijana wetu.
 
6.023 * 10^23 nimekukubali sana
 
Nilichofurahi ni kuwa. Hawa wote ni wachaga wameamua kugawana mbao.

Nyerere aliwahi kusema mkimaliza utanganyika na Uzanzibar mtafuata Uunguja na Upemba.


Humu zikianzishwa nyuzi za kuwa diss wachaga watu wanatoa povu. Leo naona ni wachaga kwa wachaga wanabaguana
 
Asanteeee , tuwakaribishe na shemeji zenu Milambo😁😁
Afu naona unaanza uchokozi Nita organise nije tuwavamie tuwapatie adabu mana naona unakoelekea sio. So mnataka kutunyima nini ivi so sie tushuhudie mnaliwa na milambo kama sie hatuwahitaji ama. Pls komaa dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…