Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Magu is doing a necessary evil to change livelihood of many Tanzanians to the better.


He needs our support.
Neccesary evil of killing his own people?

Taking away their personal liberties?

Bullying them?

Hiyo picha hapo,hao viongozi wote ni wa nchi za hovyo.....

Nchi bora duniani ni free countries za west,huo uchafu ulioona hapo ni nchi za hovyo sana,ni magereza!
 
Magufuli is a scientist who is depended by many in the universe unlike conman Lissu
Scientist alifeli shule kaenda chuo kikuu kisomo cha watu wazima?

Mtu alikua mwalimu wa sekondari nae ni scientist?Stop this bullshit wewe!

IQ ni ya hovyo!

Anategemewa na dunia?

Acha ukichaa,uchumi hajui,nchi yake ina perform hovyo katika kila category zote,hovyo kabisa!

Eti anategemewa,stop this nonsense!
 
Ongelea na ubaguzi wa kidini basi
Niliwahi kutana na ubaguzi huu nikakosa mke bana kama masikhara tu hivi ani, Daah sitaki kabisa kugusa msichana yeyote wa eneo lilee! Ila ungekua ubaguzi wa kabila aloo ningemtiaga mimba tu kulegeza ubongo za wana ndugu wa binti ila ubaguzi wa kidini ni hatari sana..
 
Wachaga wengi wao ni maslahi tu...... nshakuw na demu wa kichaga yani yeye ni anawaza hela tu yani katanguliza hela tu yeye
 
Ukweli kabisa wachaga katika utu hamna kitu wao ni maslahi kingine wanawake wa kichaga wa moshi wanashape kama kabati boobs kubwa hata na ni weupe hawajakaa kiromantic yaani yale mahaba ya kuishi na mume hawa walitakiwa wawe na makungwi

Wanaoishi arusha wengi ni matomboy ila wanaliwa kama kawa

Uzuri wa arusha wanastaarabika kutokana na makabila kuwa mengi ila huko machame wanaua wanaume zao real mali wanarudisha kwao
 
Acha wehu wewe, watu wanauawa kila siku wewe unaleta ngengo zako. Wamachame ni wauaji, and are serious!
 
Mtu una miliki pumbu na jinsi mpauko na shati za buku uuliwe kwa kipi ulicho nacho?[emoji23][emoji23] acheni ujinga Bila hvo case zingekuwa kila corner
Sikatai, mimi namiliki p*mbj mpauko ila kwa nini hao wengine wasiomiliki wauawe?? Wauaji wakubwa!!
 
Mtu anaanzaje kukupangia matumizi ya pesa zako......?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kusahau wapare,nimekoswakoswa kutolea uhai na mwanamke wa kipare.
 
Daah yani wachaga wanasemwa sana mitandaoni kwa hii skendo ya kuua waume zao.
Yaani mpaka nishaanza kuwagwaya madem wa kichaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…