Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Magu is doing a necessary evil to change livelihood of many Tanzanians to the better.DIctator is never friend of anyone but himself...
Dictator mzuri ni yule aliekufa tu....
Yaani upo hapa unatetea dictator?
View attachment 1568041
Neccesary evil of killing his own people?Magu is doing a necessary evil to change livelihood of many Tanzanians to the better.
He needs our support.
Scientist alifeli shule kaenda chuo kikuu kisomo cha watu wazima?Magufuli is a scientist who is depended by many in the universe unlike conman Lissu
Sio wanawake tu hata wanaume ikiwemo mimi nina roho na kifua cha kuvumilia mengi, hata babu yangu na ndio maana ana 105yrs now!Hahaaa kiswahili kigumu ndugu yangu, wanawake tuna roho ngumu ya kuvumilia mengi
Niliwahi kutana na ubaguzi huu nikakosa mke bana kama masikhara tu hivi ani, Daah sitaki kabisa kugusa msichana yeyote wa eneo lilee! Ila ungekua ubaguzi wa kabila aloo ningemtiaga mimba tu kulegeza ubongo za wana ndugu wa binti ila ubaguzi wa kidini ni hatari sana..Ongelea na ubaguzi wa kidini basi
Acha wehu wewe, watu wanauawa kila siku wewe unaleta ngengo zako. Wamachame ni wauaji, and are serious!Bwana wewe duniani hata Tanzania wanaume hutangulia kufa mapema bila kujali kabila. Wanawake wengi ni wajane nenda sehemu yoyote Ile wamebaki wanawake Sana tu. So hyo ya kusema kuua napinga kabisa ingekuwa Tanzania tu ningeamini Ila hata duniani Hali ni hyo hyo tu.
Mtu una miliki pumbu na jinsi mpauko na shati za buku uuliwe kwa kipi ulicho nacho?[emoji23][emoji23] acheni ujinga Bila hvo case zingekuwa kila cornerAcha wehu wewe, watu wanauawa kila siku wewe unaleta ngengo zako. Wamachame ni wauaji, and are serious!
Sikatai, mimi namiliki p*mbj mpauko ila kwa nini hao wengine wasiomiliki wauawe?? Wauaji wakubwa!!Mtu una miliki pumbu na jinsi mpauko na shati za buku uuliwe kwa kipi ulicho nacho?[emoji23][emoji23] acheni ujinga Bila hvo case zingekuwa kila corner
Mtu anaanzaje kukupangia matumizi ya pesa zako......?!WANASEMA ETI ''UKIOA MWANAMKE WA KIMACHAME UKAPATA MAFANIKIO UKATAJIRIKA MWISHO WA SIKU WANAKULOGA NA HATA KUKUUA NA MALI WANARITHI WAO" NA KINGINE WANASEMA WANATAKA WEWE MUME UANGALIE UPANDE WA MKE TU NA SIO KWENU
NB; NIMESIKIA SIO MIMI.. MSIJE MKANINUKUU VIBAYA
[emoji23][emoji23] tena yana fungiMtu una miliki pumbu na jinsi mpauko na shati za buku uuliwe kwa kipi ulicho nacho?[emoji23][emoji23] acheni ujinga Bila hvo case zingekuwa kila corner
Bila kusahau wapare,nimekoswakoswa kutolea uhai na mwanamke wa kipare.WANASEMA ETI ''UKIOA MWANAMKE WA KIMACHAME UKAPATA MAFANIKIO UKATAJIRIKA MWISHO WA SIKU WANAKULOGA NA HATA KUKUUA NA MALI WANARITHI WAO" NA KINGINE WANASEMA WANATAKA WEWE MUME UANGALIE UPANDE WA MKE TU NA SIO KWENU
NB; NIMESIKIA SIO MIMI.. MSIJE MKANINUKUU VIBAYA
Mna dharau nyinyi
Naona una neutralize. Kawaida mabaya yako lazimi uyatengenezee alibiIla globally wanaume hufa mapema Sana kuliko wanawake, wanaume wanapitia mengi
Toka zako na uongo wakoIla globally wanaume hufa mapema Sana kuliko wanawake, wanaume wanapitia mengi
[emoji23][emoji23][emoji112][emoji112][emoji112]Mna dharau nyinyi