lbaraka
JF-Expert Member
- Feb 24, 2014
- 393
- 248
Habari wakuu,
Napenda kuliongelea suala la ubaguzi wa rangi unaopigiwa kelele kwa sasa duniani. Kwanza kabisa tuelewe kwamba haya mambo hayajaanza leo. Yana historia ndefu sana kuanzia enzi za Nuhu na watoto wake watatu.
Hamu, yule aliemchungulia baba yake, alilaaniwa kwamba atakuwa mtumwa (slave) wa ndugu zake (Shem na Japhet) siku zote. Na yule Ham ni baba wa waafrika genealogically. Hilo ni la kwanza.
Pili, hawa wazungu wanaoandamana ni wanafiki tu. Hakuna mzungu ambae anapenda kumtumikia mtu mweusi hata siku moja. Wanajifanya kuwa politically correct tu. Ukiangalia kwenye soka la Russia, Portugal, Italy na Spain, wachezaji weusi kama akina Dany Alves, Moussa Marega, Yaya Toure, Moise Kean, Mario Baloteli na wengine wengi, wanabaguliwa waziwazi, wengine wakitupiwa ndizi na mayai uwanjani, lakini serikali zao au vyama vya soka havichukui hatua zozote za maana.
Tena kwa Marekani, just imagine kama asingekuwepo yule binti aliechukua ile video ya mauaji ya George Floyd, tungeyaona mabaya yote yale? Ni wangapi wanaouawa vile na hatuoni? Mengi sana wanafanyiwa watu weusi ila hayaonekani. Majuzi tu yupo black boy mwingine anaeitwa Ahmaud Arbery, alieuawa na polisi mzungu wakati akifanya mazoezi binafsi tu.
Ndio mana hata Obama mwenyewe ni black ila hakufanya chochote maana hii inshu ni ngumu na ni ya kihistoria sana. Vita vyake havitakoma kamwe.
Napenda kuliongelea suala la ubaguzi wa rangi unaopigiwa kelele kwa sasa duniani. Kwanza kabisa tuelewe kwamba haya mambo hayajaanza leo. Yana historia ndefu sana kuanzia enzi za Nuhu na watoto wake watatu.
Hamu, yule aliemchungulia baba yake, alilaaniwa kwamba atakuwa mtumwa (slave) wa ndugu zake (Shem na Japhet) siku zote. Na yule Ham ni baba wa waafrika genealogically. Hilo ni la kwanza.
Pili, hawa wazungu wanaoandamana ni wanafiki tu. Hakuna mzungu ambae anapenda kumtumikia mtu mweusi hata siku moja. Wanajifanya kuwa politically correct tu. Ukiangalia kwenye soka la Russia, Portugal, Italy na Spain, wachezaji weusi kama akina Dany Alves, Moussa Marega, Yaya Toure, Moise Kean, Mario Baloteli na wengine wengi, wanabaguliwa waziwazi, wengine wakitupiwa ndizi na mayai uwanjani, lakini serikali zao au vyama vya soka havichukui hatua zozote za maana.
Tena kwa Marekani, just imagine kama asingekuwepo yule binti aliechukua ile video ya mauaji ya George Floyd, tungeyaona mabaya yote yale? Ni wangapi wanaouawa vile na hatuoni? Mengi sana wanafanyiwa watu weusi ila hayaonekani. Majuzi tu yupo black boy mwingine anaeitwa Ahmaud Arbery, alieuawa na polisi mzungu wakati akifanya mazoezi binafsi tu.
Ndio mana hata Obama mwenyewe ni black ila hakufanya chochote maana hii inshu ni ngumu na ni ya kihistoria sana. Vita vyake havitakoma kamwe.