Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubahili lazima, ila usiwe wa kijinga tu..Waweza bana sana matumizi halafu wakafaidi wengine, bana huku wala good time...
Hiyo yote nikufikia malengo mengine lakini mtu kama yule mmiliki wa facebook anamaisha mazuri tu lakini pesa zake azitumiki kufanyia anasa kupindukiaHakuna sababu ya kutafuta hela Kama wataka kuwa bahili
Hujui usemaloHiyo yote nikufikia malengo mengine lakini mtu kama yule mmiliki wa facebook anamaisha mazuri tu lakini pesa zake azitumiki kufanyia anasa kupindukia
[emoji23] Handeni2018 watanikoma, kwenye list ya hela yangu wamebaki wazazi na mchepuko m1 wa handeni naye asipoongeza maujuzi nambwaga.
hahahahaha🙂🙂🙂🙂🙂 safi sana...2018 watanikoma, kwenye list ya hela yangu wamebaki wazazi na mchepuko m1 wa handeni naye asipoongeza maujuzi nambwaga.
Mi nikipata hela zinanawasha jamani. Najitahidi kuw bahili nilishashindwa. Au kuna mkono wa mtu?
Hujui usemalo
Hao wote wanna majumba Bei bajeti ya wizara hapa tz
Tatizo mmekariri, nyumba unayoishi sio asset ni liability maana Kuna taxes , bills etcHizo ni assets kwa miaka ijayo mkuu
Inategemeana. Kwa nchi kama Tanzania ndio tumeanza kujifunza kutozesha kodi nyumba tunazoishi. Lakini hata kama unatozeshwa Tsh 50,000/= kwa mwaka lakini una save Tsh 3,000,000/= ambayo ungeitoa kama kodi endapo ungepanga, unapata hasara gani?Tatizo mmekariri, nyumba unayoishi sio asset ni liability maana Kuna taxes , bills etc
Utajiri ndio unaleta furaha? True happiness starts from within..utajili lazima ukufanye upate furaha unayohitaji kama kuishi kibahili kuna kupa furaha basi ni sawa kuwa bahili
asipoongeza ujuzi na maujanja. haki nimecheka ..2018 watanikoma, kwenye list ya hela yangu wamebaki wazazi na mchepuko m1 wa handeni naye asipoongeza maujuzi nambwaga.
Rat race....its about mindset niggah...kipato kikiongezeka..matumizi yanaongezeka...na mwaka unaisha unajikuta palepale...apo ndo solution ya ubahili inapochukua nafasiNimesoma
Hii
Imenigusa between 2015 untill this year i have blown money so bad and now imekuwa ngumu to get that pick point again.. i wish nijifunze zaidi about money.. for me i like the good life i use to tell
Myself if i cant live maisha mazuri sasa hela yakazi gani.. the more money napata ndivyo navyoongeza gharama ya maisha yangu... yani this year ndo najuta hasa because i wish i had done better choices and non of the things i have make me happy anymore anyway.. nilikuwa nahisi kuwa navitu vya gharama ni respect ila wala kawaida tuu kwanza i thought itaniketea wateja wamahana in business kujiweka classy ila ndomkwanza people fear that its just gonna be expensive ♀️♀️♀️.. help jamani i wish nipate mtu anifundishe about money.. msiniambie books im too busy.
Axante FUNDI...nafkiri MTU akisoma Rich dad poor dad ataelewa somo la hela vizuri..na vitabu vingine vingi....knowledge and information is powerTatizo mmekariri, nyumba unayoishi sio asset ni liability maana Kuna taxes , bills etc