Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Una umri gani? Unaanzia 2009 ina maana ulikuwa husomi magazeti ya udaku tangu 2000 uone yale mashoga maarufu jijini dar enzi hizo yalivyotamba kwenye kurasa za mbele yakihojiwa na kuripotiwa tabia zao hizo, au ulikuwa uhudhurii burudani za taarabu uwaone mashoga ya zama hizo? Mashoga mengine yalivaa na kujiremba kama wanawake. Wengine walijiita anti ......, miaka hiyo hakukuwa na simu za smartphone mashoga konk yalikuwepo. Sema siku hizi ndio imechagizwa zaidi na internet
Ushoga umeshamiri baada ya mtandao kuendea kipindi kile sio kama saasa
 
Una umri gani? Unaanzia 2009 ina maana ulikuwa husomi magazeti ya udaku tangu 2000 uone yale mashoga maarufu jijini dar enzi hizo yalivyotamba kwenye kurasa za mbele yakihojiwa na kuripotiwa tabia zao hizo, au ulikuwa uhudhurii burudani za taarabu uwaone mashoga ya zama hizo? Mashoga mengine yalivaa na kujiremba kama wanawake. Wengine walijiita anti ......, miaka hiyo hakukuwa na simu za smartphone mashoga konk yalikuwepo. Sema siku hizi ndio imechagizwa zaidi na internet
Yale yalikuwa ni mashoga ambayo wengine wamezaliwa na hzo homoni Ila mtandao umeharibu hadi marijali
 
Watu wa hii sekta hua wanasikilizwa sana mana tayari wana support ya wakubwa.
 
Al manusura nimtwange makonde mwanakijiji mmoja mwanaume baada ya kuniambia bila woga twende getoni kwake nikamshughulikie. Niliona ajabu wakati mwanamke hathubutu kuniambia hivyo. Hata hivyo nilifanikiwa kuchomoka na kutokomea gizani asijue nimeelekea wapi
 
Kuna watu wanakaa kabisa wanasema tuliweke taifa kwenye maombi ili vijana wanusurike na ushoga hivi mnajua hii Hali inasababishwa na nini?

Wa Africa hatukuwahi kuwa na Historia za ushoga miaka ya nyuma, Asili ya ushoga ni kwa wazungu huko ndipo ushoga ulipozaliwa Ila Mahali Africa tulipokosea ni kutawaliwa na wazungu alafu wakatuachia Tamaduni zao Hadi sasa tumezishika na tukaacha Tamaduni zetu

Na moja kati ya silaha kuu ya wazungu inayotumika kutuharibia vijana ni Internet na Utandawazi, kwa sasa Internet ndio imekuwa chanzo kikuu cha watoto Hadi vijana kujifunza michezo ya hatari, kizazi za 2000 Hadi 1998, mashoga wengi wa umri huo wametengenezwa na tabia za kujifunza mtandaoni.

Simaanishi kwamba Internet ni mbaya Ila Mahali ambapo tulikosea ni kutokuwaa na elimu yetu ambayo ingetufanya tuwe na Internet yetu binafsi satelite zetu binafsi, ambazo haviingiliani na Internet za wazungu, tulitakiwa hata search engines tuewe na za kwetu kama North Korea na watchina vile, Ila kwa kuwa tunapenda VYA bure sasa Internet ya mzungu ndio imejaa na ushoga Ndani yake na ndio maana hata google huwa inasheherekea siku ya mashoga duniani

Ndio maana mwaka 2009 kushuka chini ilikuwa ni Nadra sana kusikia mtu ni shoga hata kesi za Ulawiti kuziskia ilikuwa ni kwa mbinde, maana kipindi hiko Internet ilikuwa ni ya watu wa chache tena kwa Mambo ya muhim, sana hata picha za X Sisi tulimaliza O level 2008 hatuzijui cz Utandawazi Internet ilikuwa bado haijashika kasi

Mwaka 2010 ndipo bala lilipoanza baada ya kuingia simu zenye access za Internet 2011, ikaingia Facebook Tz, 2012 Instagram, 2013 Akaingia mzee wa kazi whatsap hapo sasa ndipo vijana wakaanza kucharuka na kusambaziana video za utupu

2015 swala la Internet likawa ni haki ya KILA mtu hadi watoto wanamiliki smartphone na wanaacces picha za ngono wakiwa watoto, unakuta mototo miaka 8,9--14 anashika simu na kuangalia picha za ngono kinyume na maumbile akitoka hapo anaenda kum tafuta mtoto mwenzie wanajaribu tena kwa zamu na ushahidi ni kesi za watoto wa shule ya msingi hapa Dar kulawitiana kwa zamu nadhani mlishawahi kuskia
Pornography ni janga ndio maana madawa ya kuongeza nguvu imekuwa biashara kubwa , mambo ya ulawiti watu wengi wamejifunza kupitia pornohraphy
 
Frankly; mtu mzima na akili zake timamu akiamua kufirwa watajuana na mungu wao wala haipaswi kuumiza watu vichwa!
 
Kuna watu wanakaa kabisa wanasema tuliweke taifa kwenye maombi ili vijana wanusurike na ushoga hivi mnajua hii Hali inasababishwa na nini?

Wa Africa hatukuwahi kuwa na Historia za ushoga miaka ya nyuma, Asili ya ushoga ni kwa wazungu huko ndipo ushoga ulipozaliwa Ila Mahali Africa tulipokosea ni kutawaliwa na wazungu alafu wakatuachia Tamaduni zao Hadi sasa tumezishika na tukaacha Tamaduni zetu

Na moja kati ya silaha kuu ya wazungu inayotumika kutuharibia vijana ni Internet na Utandawazi, kwa sasa Internet ndio imekuwa chanzo kikuu cha watoto Hadi vijana kujifunza michezo ya hatari, kizazi za 2000 Hadi 1998, mashoga wengi wa umri huo wametengenezwa na tabia za kujifunza mtandaoni.

Simaanishi kwamba Internet ni mbaya Ila Mahali ambapo tulikosea ni kutokuwaa na elimu yetu ambayo ingetufanya tuwe na Internet yetu binafsi satelite zetu binafsi, ambazo haviingiliani na Internet za wazungu, tulitakiwa hata search engines tuewe na za kwetu kama North Korea na watchina vile, Ila kwa kuwa tunapenda VYA bure sasa Internet ya mzungu ndio imejaa na ushoga Ndani yake na ndio maana hata google huwa inasheherekea siku ya mashoga duniani

Ndio maana mwaka 2009 kushuka chini ilikuwa ni Nadra sana kusikia mtu ni shoga hata kesi za Ulawiti kuziskia ilikuwa ni kwa mbinde, maana kipindi hiko Internet ilikuwa ni ya watu wa chache tena kwa Mambo ya muhim, sana hata picha za X Sisi tulimaliza O level 2008 hatuzijui cz Utandawazi Internet ilikuwa bado haijashika kasi

Mwaka 2010 ndipo bala lilipoanza baada ya kuingia simu zenye access za Internet 2011, ikaingia Facebook Tz, 2012 Instagram, 2013 Akaingia mzee wa kazi whatsap hapo sasa ndipo vijana wakaanza kucharuka na kusambaziana video za utupu

2015 swala la Internet likawa ni haki ya KILA mtu hadi watoto wanamiliki smartphone na wanaacces picha za ngono wakiwa watoto, unakuta mototo miaka 8,9--14 anashika simu na kuangalia picha za ngono kinyume na maumbile akitoka hapo anaenda kum tafuta mtoto mwenzie wanajaribu tena kwa zamu na ushahidi ni kesi za watoto wa shule ya msingi hapa Dar kulawitiana kwa zamu nadhani mlishawahi kuskia
Umeandika ukweli mchungu. Ushoga ulikuwepo tangu zamani. Ila utandawazi umechangia sana kwenye kuuongezea umaarufu.
 
Sodoma na Gomora nayo kulikuwa ni utandawazi? Hapo ni watu wamekosa hofu ya Mungu. Hivi mwanaume unaanzaje kumtamani mwanaume mwenzio?? Au kumlawiti mtoto wa kiume?? Wengine wanaenda mbali wanabaka mifugo.!!!
 
Ni ngumu sana kupambana na hili janga, kwasababu wapo watu wanaweka pesa nyingi na nguvu kubwa sana kuhakikisha dunia inazama katika janga hili.
wapo watu? Watu gani hao walioweka fedha dunia izame kwa ushoga? Tafadhali tuwajue
 
wapo watu? Watu gani hao walioweka fedha dunia izame kwa ushoga? Tafadhali tuwajue
  • GATE.
  • Gay and Lesbian International Sport Association (GLISA)
  • Global Respect In Education (GRIN)
  • Hivos.
  • Human Dignity Trust.
  • International Lesbian, Gay, Bisexual, Trans and Intersex Association (ILGA)
  • IGLYO.
Hao ni baadhi tu.
 
Una umri gani? Unaanzia 2009 ina maana ulikuwa husomi magazeti ya udaku tangu 2000 uone yale mashoga maarufu jijini dar enzi hizo yalivyotamba kwenye kurasa za mbele yakihojiwa na kuripotiwa tabia zao hizo, au ulikuwa uhudhurii burudani za taarabu uwaone mashoga ya zama hizo? Mashoga mengine yalivaa na kujiremba kama wanawake. Wengine walijiita anti ......, miaka hiyo hakukuwa na simu za smartphone mashoga konk yalikuwepo. Sema siku hizi ndio imechagizwa zaidi na internet
Kumbuka mleta mada kamaliza kidato cha nne 2008!
 
Back
Top Bottom