Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Wewe unachojaribu kufanya ni kulazimisha dhambi zote zifanane kitu ambacho kwa sheria za kidunia hakipo na ndio maana kila kosa lina adhabu na hukumu yake, aliyeua na aliyetapeli wote wametenda makosa ila hawawezi kuchukuliwa sawa wala kuhukumiwa sawa, unfortunately dunia inahukumu makosa ambayo yanapelekea kudhuru watu moja kwa moja na siyo hayo makosa ambayo watu wanaamua wafanye nini na viungo vyao
Huyo anajifanya mjuaji kumbe anazidi kujichoresha na kuwa yeye ni mweupe kichwani,

Nlishaacha kujadiliana nae.
 
Mtu akijiita dokta usidhani ni SMART kivile.

Hawa wamefundishwa kudunga sindano na kukupa panado tu. Hawana uwezo wa kutambua mambo kwa kina.

Ukienda hospitali unakuta wanachati WhatsApp na kushabikia udaku wa Instagram. Ni mazumbukuku kama mazumbukuku wengine wa kitanganyika.

Usitarajie kupewa jibu lolote linalohitaji ufahamu wa kina kutoka kwa hawa madaktari uchwara wanaodunga watu sindano za viwiko.
Wizooo hapa umemaliza kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna homoni ya ushoga ipo kwenye kinyeo.

Hiyo homoni iligunduliwa na mwanasayansi wa UDSM anaitwa Jesca James mwaka 2003, mwanafunzi wa shahada ya ushoga.

Hadi leo ushoga umetambulika kuwa unachochewa na homoni inayoitwa Thrombomycyin iliyopo katikati ya puru na Marinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozi wallah, mweeeh
 
Wewe ndio una uelewa mdogo sasa umeshasema dereva amekamatwa ana makosa anamuomba traffic apokee rushwa, sasa si anampa ili asipewe adhabu ya kuandikiwa cheti lakini si kwamba anapenda, ndio maana mwisho wa siku hao madereva huishia kulalamika

Hapo kwenye baba kumlawiti mtoto wake wa kiume ni kosa kama ambavyo baba kutembea na mtoto wake wa kike ni kosa, kwahiyo kosa hapo si hilo tendo lililofanyika bali ni aina ya watu wanaolifanya na uhusiano kati yao, huyo huyo baba hilo tendo akifanya na mwanaume mtu mzima mwenzie kwa makubaliano si kosa

Kuhusu ulawiti na ubakaji ndio nimesema ni kosa kwa sababu hapo mmoja anakuwa hajaridhia, haijalishi ni jinsia moja au jinsia tofauti as long as mmoja hajaridhia hilo ni kosa lakini kama wote wawili wameridhia hilo si kosa, kuhusu kujiua umeshasema kujiua ndio maana nikakuambia makosa yanayohukumiwa mara nyingi ni yale yanayopelekea kudhuru mtu moja kwa moja hata kama ni wewe mwenyewe

Ukiniambia mtu akitumia kiungo chake cha nyuma anakuwa anajidhuru hivyo anatakiwa ahukumiwe kwa hilo, basi itabidi tuanze na walevi na wavuta sigara maana sidhani kama kuna watu wanaodhuru viungo vyao kama hao, watu wanaokufa kisa mapafu au figo kuharibika ni wengi kuliko wanaokufa kutokana na madhara yanayosababishwa na ushoga

Wewe ndio hujui maana ya haki, hao mashoga wanatumia haki yao ya faragha kama ambavyo mwanaume na mwanamke wanavyotumia haki yao ya faragha, wewe una mamlaka gani ya kuingilia faragha yao wewe mtu akiingilia faragha yako unapofanya uzinzi utajisikiaje
Asipokuelewa hapa, haelewi tena kamwee.
Huyo ni wa kumuacha na ujuaji wake uchwaraaaa.
 
Duuh kijana inaonekana huko shule walimu wako walikuwa na kazi ya ziada asee

Baba kulala na kijana wake hiyo ni incest na incest kwa sheria za nchi nyingi ni kosa hata kama watu wamekubaliana, kwahiyo kitakachofanya wahukumiwe hapo ni hilo kosa la incest na si hilo tendo walilofanya, kwa sababu wangefanya na watu wazima wengine kwa makubaliano yao wenyewe wasingehukumiwa maana siyo kosa

Sasa mimi kufurahia au kutokufurahia mwanangu wa kiume kuwa shoga hakulifanyi hilo tendo kuwa kosa, kwa mfano hata kazi ya kuokota makopo ni halali kabisa lakini sidhani kama kuna mzazi ambaye atafurahia kuona mwanaye ni muokota makopo, kwa hivyo mimi sitafurahia mwanangu wa kiume awe shoga kama ambavyo sitafurahia aje afanye kazi fulani hata kama ni halali

Kuhusu rushwa wewe umetumia vigezo gani kujua kwamba kuna watu wanapenda kutoa rushwa, labda uniambie ni kwa mazingira gani mtu anaweza akapenda kutoa rushwa sehemu ambayo alitakiwa apate haki yake bure au kwa gharama nafuu zaidi, yani mtu awe na option nyingine nzuri zaidi halafu yeye achague tu kutoa rushwa bila sababu za msingi

Tatizo lenu mkishaishiwa hoja mnakimbilia ad hominem attacks, kwahiyo mtu akitetea walemavu basi na yeye ni lazima awe mlemavu maana naona umeanza kuni attack personally, kana kwamba mimi kuongea uhalisia kuhusu hao watu basi unaona kama nawatetea na ukaconclude kuwa automatically mimi ni one of them
Mpee za uso huyo, yaan unampaa had anapagawaa.
Safii sanaa.
 
Sasa huna hoja zaidi ya kuleta blaa blaa, kwann nisichekee?
Ushoga unizidie kwakoo wee? Hufiti hata kunisisimua nakuona km mwenzangu tyuuh.
Kwahiyo unasema ukimuona wa haiba yako hakuvitii
Lakini ukiona njemba ngangari mkomavu, unatepetašŸ˜‚
 
Hivi unafahamu kwamba kuna watu wanavutiwa na watu wa jinsia yao, tangu wakiwa wadogo tena wakiwa hawajawahi hata kufanya hiyo michezo, hili nalo kitaalam unaweza ukalielezeaje hebu lielezee bila kutumia mihemko mkuu

Wakati mwingine sidhani kama watu huwa wanakimbia mijadala fulani, ila huwa wanaamua tu kuachana nayo kwa kuona kuwa aidha wanaojadiliana nao hawana hoja, au wanakuwa wagumu kuelewa wanachoelezewa hivyo kuamua kubisha tu

Sababu hiyo maana ya hormone hata kama mtu angekuwa hajui sidhani kama angeshindwa hata kugoogle, kisha akarudi muendelee kujadiliana sioni kama ni kitu cha kumfanya mtu akimbie mada, sema ndio vile tena mtu akiacha kujadiliana basi tunaconclude ameshindwa na hana hoja

Hakuna kitu kama hicho.

Tatizo hizi elimu mnakariri matokeo yake ndio haya
 
Naomba tafsiri ya Uasi na uhalifu tafadhari.

Uasi ni hiyari ya mtu kufanya jambo ambalo ni kosa kwa Mujibu wa imani yake kwa kufuata matamanio yake.
Kwa mfano kuzini na mwanamke asiyemkeo ni kosa kwa Mujibu wa dini. Lakini kwa matamanio ya Watu huamua kwa hiyari yao kuasi na kutenda kosa la uzinzi.
Ndio kama ushoga, ni kosa kwa Mujibu wa dini zote duniani. Lakini matamanio ya Watu hutumia hiyari yao kulifanya.


N
 
Kuna watu wanakaa kabisa wanasema tuliweke taifa kwenye maombi ili vijana wanusurike na ushoga hivi mnajua hii Hali inasababishwa na nini?

Wa Africa hatukuwahi kuwa na Historia za ushoga miaka ya nyuma, Asili ya ushoga ni kwa wazungu huko ndipo ushoga ulipozaliwa Ila Mahali Africa tulipokosea ni kutawaliwa na wazungu alafu wakatuachia Tamaduni zao Hadi sasa tumezishika na tukaacha Tamaduni zetu

Na moja kati ya silaha kuu ya wazungu inayotumika kutuharibia vijana ni Internet na Utandawazi, kwa sasa Internet ndio imekuwa chanzo kikuu cha watoto Hadi vijana kujifunza michezo ya hatari, kizazi za 2000 Hadi 1998, mashoga wengi wa umri huo wametengenezwa na tabia za kujifunza mtandaoni.

Simaanishi kwamba Internet ni mbaya Ila Mahali ambapo tulikosea ni kutokuwaa na elimu yetu ambayo ingetufanya tuwe na Internet yetu binafsi satelite zetu binafsi, ambazo haviingiliani na Internet za wazungu, tulitakiwa hata search engines tuewe na za kwetu kama North Korea na watchina vile, Ila kwa kuwa tunapenda VYA bure sasa Internet ya mzungu ndio imejaa na ushoga Ndani yake na ndio maana hata google huwa inasheherekea siku ya mashoga duniani

Ndio maana mwaka 2009 kushuka chini ilikuwa ni Nadra sana kusikia mtu ni shoga hata kesi za Ulawiti kuziskia ilikuwa ni kwa mbinde, maana kipindi hiko Internet ilikuwa ni ya watu wa chache tena kwa Mambo ya muhim, sana hata picha za X Sisi tulimaliza O level 2008 hatuzijui cz Utandawazi Internet ilikuwa bado haijashika kasi

Mwaka 2010 ndipo bala lilipoanza baada ya kuingia simu zenye access za Internet 2011, ikaingia Facebook Tz, 2012 Instagram, 2013 Akaingia mzee wa kazi whatsap hapo sasa ndipo vijana wakaanza kucharuka na kusambaziana video za utupu

2015 swala la Internet likawa ni haki ya KILA mtu hadi watoto wanamiliki smartphone na wanaacces picha za ngono wakiwa watoto, unakuta mototo miaka 8,9--14 anashika simu na kuangalia picha za ngono kinyume na maumbile akitoka hapo anaenda kum tafuta mtoto mwenzie wanajaribu tena kwa zamu na ushahidi ni kesi za watoto wa shule ya msingi hapa Dar kulawitiana kwa zamu nadhani mlishawahi kuskia
 
Una umri gani? Unaanzia 2009 ina maana ulikuwa husomi magazeti ya udaku tangu 2000 uone yale mashoga maarufu jijini dar enzi hizo yalivyotamba kwenye kurasa za mbele yakihojiwa na kuripotiwa tabia zao hizo, au ulikuwa uhudhurii burudani za taarabu uwaone mashoga ya zama hizo? Mashoga mengine yalivaa na kujiremba kama wanawake. Wengine walijiita anti ......, miaka hiyo hakukuwa na simu za smartphone mashoga konk yalikuwepo. Sema siku hizi ndio imechagizwa zaidi na internet
 
Ni ngumu sana kupambana na hili janga, kwasababu wapo watu wanaweka pesa nyingi na nguvu kubwa sana kuhakikisha dunia inazama katika janga hili.
 
Back
Top Bottom