Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Ndio nikakuambia uwepo au kutokuwepo kwa testosterone hauna uhusiano na tabia ya ushoga.
Ushoga ni tabia ambayo chanzo cha tabia sio homoni
Wapi huelewi
mtu kuwa na tabia za kike kweli ni homonii za kike zinaweza sababisha ila ushogaaa noo homoni hazihusikiii
 
Umekuwa brainwashed
Hakuna taasisi duniani isiyoweza kudanganya
Taasisi kivipi ile ni peer reviewed journal yaanu hata wewe ukitaka unaweza kosoa andiko na likafutwa sio maamuzi ya taasisi bali Jopo la wataalamu tofauti na pia huwa liko open kuhojiwa na watumiaji journal. So elewa kwanza maana ya peed review journals ndio utaelewa kwanini nimechukua hiyo tafiti na sijachukua kutoka magazetini au blog uchwara.

Kingine kama unaamini hao wamedanganya kwanini na sisi tusiamini na wewe umetudanganya. Yaani maprofessor wote ni waongo ila mkweli ni wewe peke yako tena usiye na degree ya masuala ya gynaecology ama neurology? Be serious

Homoni hazisababishi au sio chanzo cha tabia fulani.
Tabia ipo chini ya udhibiti wa ubongo.
Na ubongo ndio Organs pekee inayodhibiti hizo homoni.
Sasa hizo tafiti zimehoji mashoga kabisa na kuchukua sample zao za Testosterone concentration wewe unaongelea tabia who told you ukiwa na tabia mfano za kike lazima uingiliwe? Issue ni kwamba katika wanaume hao elfu 1 wanaoingiliwa walijaza dodoso imegundulika wana Testosterone concentration ndogo kulinganisha na marijali elfu 1000 waliojaza dodoso. Kipi ni kigumu kuelewa
 
Kuna Dr tena mwenye masters yake, niliwahi fanya nae majadiliano kuhusu ushoga/mashoga, tena nilikazia angle ya kisayansi,
Alileta bla blah, mwshoe alihemkwa na kupovukwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan ikifika suala la gaysim, wanajitoa akili na kuwa weupee pee.
Mtu akijiita dokta usidhani ni SMART kivile.

Hawa wamefundishwa kudunga sindano na kukupa panado tu. Hawana uwezo wa kutambua mambo kwa kina.

Ukienda hospitali unakuta wanachati WhatsApp na kushabikia udaku wa Instagram. Ni mazumbukuku kama mazumbukuku wengine wa kitanganyika.

Usitarajie kupewa jibu lolote linalohitaji ufahamu wa kina kutoka kwa hawa madaktari uchwara wanaodunga watu sindano za viwiko.
 
Ndio nikakuambia uwepo au kutokuwepo kwa testosterone hauna uhusiano na tabia ya ushoga.
Ushoga ni tabia ambayo chanzo cha tabia sio homoni
Wapi huelewi
Proof ya statement yako iko wapi? Maana wewe sio mtaalam wa sayansi so leta evidence hapa hii ni JF sio Facebook so panda standards.
 
Dhambi na makosa ni uamuzi.

Kosa la rushwa mara nyingi ni maamuzi ya Watu wawili.
Dhambi na uhalifu ni uamuzi wa hiyari.
Hakuna anayependa kutoa rushwa ni vile watu hawana namna wanatoa tu mambo yao yaende, hata kwenye hayo mambo ya ushoga ikitokea imegundulika kuwa mmoja anafanya bila kupenda huo tayari ni ulawiti na ni kosa, rushwa siyo suala la kukubaliana watu wawili tu maana kuna wengine mnakuwa mmewadhulumu haki
 
Taasisi kivipi ile ni peer reviewed journal yaanu hata wewe ukitaka unaweza kosoa andiko na likafutwa sio maamuzi ya taasisi bali Jopo la wataalamu tofauti na pia huwa liko open kuhojiwa na watumiaji journal. So elewa kwanza maana ya peed review journals ndio utaelewa kwanini nimechukua hiyo tafiti na sijachukua kutoka magazetini au blog uchwara.

Kingine kama unaamini hao wamedanganya kwanini na sisi tusiamini na wewe umetudanganya. Yaani maprofessor wote ni waongo ila mkweli ni wewe peke yako tena usiye na degree ya masuala ya gynaecology ama neurology? Be serious


Sasa hizo tafiti zimehoji mashoga kabisa na kuchukua sample zao za Testosterone concentration wewe unaongelea tabia who told you ukiwa na tabia mfano za kike lazima uingiliwe? Issue ni kwamba katika wanaume hao elfu 1 wanaoingiliwa walijaza dodoso imegundulika wana Testosterone concentration ndogo kulinganisha na marijali elfu 1000 waliojaza dodoso. Kipi ni kigumu kuelewa

Embu ni jibu swali hili.
Ili nijue najadiliana na mtu mwenye uelewa kiasi gani. Isijekuwa najadiliana na kasuku wazee wa kukariri.

Kwa uelewa wako Homoni ni nini?
 
Hakuna anayependa kutoa rushwa ni vile watu hawana namna wanatoa tu mambo yao yaende, hata kwenye hayo mambo ya ushoga ikitokea imegundulika kuwa mmoja anafanya bila kupenda huo tayari ni ulawiti na ni kosa, rushwa siyo suala la kukubaliana watu wawili tu maana kuna wengine mnakuwa mmewadhulumu haki

Acha uongo wapo Watu wanaopenda kutoa Rushwa.
Hata mimi kuna mazingira yanaweza kufanya nitoe rushwa ili nifanye mambo yangu kwa uharaka.

Rushwa kuna wakati ni makubaliano ya Watu wawili.
Madereva wangapi wanakosea barabarani lakini wanaomba Matrafiki watoe rushwa waendelee na mambo yao.

Uhalifu ni uamuzi na ndio maana zipo sheria za kudhibiti hiyari za Watu.

Hata ushoga wapo wanaofanya pasipo kupenda. Ndio unaitwa Ulawiti au ubakaji.

Hakuna Haki katika uovu labda hujui maana ya HAKI. Haki inahusu Usafi.

Kwa mfano Kijana wako uliyemzaa mkakubaliana muwe mnafirana au awe anakufira hiyo itakuwa haki Kwa uélewa wako?

Kwa uelewa wako mtu akitaka kujiua kwa hiyari yake hiyo ni Haki?

Sio ajabu Wasiosoma wanadharau waliosoma. Kama mtu amesoma lakini uelewa wake ni mdogo hivi angekuwa hajasoma ingekuwaje?
 
Proof ya statement yako iko wapi? Maana wewe sio mtaalam wa sayansi so leta evidence hapa hii ni JF sio Facebook so panda standards.

Ndio nimekuambia Kwa uelewa wako Homoni ni nini ili proof itatoka hapahapa.

Kwa uelewa wako Watu wenye chuki na kutaka kuuawa wengine, magaidi. Hao nao utasema wanatatizo la homoni?

Au Watu wanaovutiwa na uhalifu au mambo machafu nao wanatatizo la homoni gani?

Hapo unaelimu ungekuwa huna ingekuwaje?
 
Hakuna homoni ya kumfanya mtu awe shoga au Mbakaji au mlawiti au mfiraji hakuna kitu kama hicho
Kuna homoni ya ushoga ipo kwenye kinyeo.

Hiyo homoni iligunduliwa na mwanasayansi wa UDSM anaitwa Jesca James mwaka 2003, mwanafunzi wa shahada ya ushoga.

Hadi leo ushoga umetambulika kuwa unachochewa na homoni inayoitwa Thrombomycyin iliyopo katikati ya puru na Marinda.
 
Kuna homoni ya ushoga ipo kwenye kinyeo.

Hiyo homoni iligunduliwa na mwanasayansi wa UDSM anaitwa Jesca James mwaka 2003, mwanafunzi wa shahada ya ushoga.

Hadi leo ushoga umetambulika kuwa unachochewa na homoni inayoitwa Thrombomycyin iliyopo katikati ya puru na Marinda.

Hakua kitu kama hiki.
Nadhani hata maana ya homoni hujui
 
mtu kuwa na tabia za kike kweli ni homonii za kike zinaweza sababisha ila ushogaaa noo homoni hazihusikiii
Kuna homoni ya ushoga ipo kwenye kinyeo.

Hiyo homoni iligunduliwa na mwanasayansi wa UDSM anaitwa Jesca James mwaka 2003, mwanafunzi wa shahada ya ushoga.

Hadi leo ushoga umetambulika kuwa unachochewa na homoni inayoitwa Thrombomycyin iliyopo katikati ya puru na Marinda.
 
Ukishakuwa na viungo viwili alafu kimoja ndio kinafanya kazi. Hicho kinachofanya kazi ndio jinsia yako.

Michezo ya utoto pia inaweza changia lakini sheria zikiwa kali hakuna kitu kama hicho.

Kama vile walawiti na wafiraji na wabakaji ni kosa kubwa la jinai ndivyo hivyohivyo kwenye ushoga. Hakuna excuse
Kpnd tuko watoto kuna mtoto mtaani alikuwa maarufu kama side punga, huyu dogo wa kiume alikuwa na miaka kama 7 lkn alikuwa anatongoza vijana wenzake wa kiume hadi wengine wakiwa darasa la 7, wamuingilie sodomism, kwenye majumba mibovu.

Aliweza kuwapanga wanaume wenzie hata wa5 kwa pamoja kama foleni, na wote akafurah kupelekewa na moto ,na ikawa siri japo ilijulikana baada ya wadau kujisifu mitaani , mpirani ndio iligundulika ila mpk hapo wanafunzi wakubwa wengi alishafanya nao, mpk wazazi wakapiga STOP tusicheze nae.


SASA NASHNDWA ELEWA YULE DOGO KWA UMRI WA MIAKA 7, MAAMUZI NA GENYE ANATOA WAPI?


NB: sasa hv cjui Kawa shoga au kama kaoa sina Taarfa zake
 
Homoni ni kisingizio

Swali ni je , kuna homoni inayochochea mtu kufira ama kufirwa?

Au wanawake wanaofirwa nao wana hormonal imbalance au?

Au uraibu wa punyeto nao ni homoni?

Hizo ni tabia tuu zinazoleta uraibu
Kuna homoni ya ushoga ipo kwenye kinyeo.

Hiyo homoni iligunduliwa na mwanasayansi wa UDSM anaitwa Jesca James mwaka 2003, mwanafunzi wa shahada ya ushoga.

Hadi leo ushoga umetambulika kuwa unachochewa na homoni inayoitwa Thrombomycyin iliyopo katikati ya puru na Marinda.
 
Kpnd tuko watoto kuna mtoto mtaani alikuwa maarufu kama side punga, huyu dogo wa kiume alikuwa na miaka kama 7 lkn alikuwa anatongoza vijana wenzake wa kiume hadi wengine wakiwa darasa la 7, wamuingilie sodomism, kwenye majumba mibovu.

Aliweza kuwapanga wanaume wenzie hata wa5 kwa pamoja kama foleni, na wote akafurah kupelekewa na moto ,na ikawa siri japo ilijulikana baada ya wadau kujisifu mitaani , mpirani ndio iligundulika ila mpk hapo wanafunzi wakubwa wengi alishafanya nao, mpk wazazi wakapiga STOP tusicheze nae.


SASA NASHNDWA ELEWA YULE DOGO KWA UMRI WA MIAKA 7, MAAMUZI NA GENYE ANATOA WAPI?


NB: sasa hv cjui Kawa shoga au kama kaka sina Taarfa zake
Hii inasikitisha.

Jamii kumpachika mtoto mdogo majina kama PUNGA ni hatari sana kwa mtoto kwa sasa na kwa baadaye.

Hii inaonesha tuna jamii ya watu mambumbumbu wenye ZOMBIE PSYCHOSIS ambao wanakokotana kama KUNDI LA NYUMBU lisilo na MKAKATI BAYANA.

Kama mtu ninayejitambua, hii imenirarua sana moyo mpaka nahisi komwe langu linadunda kwa ndani kama kitenesi.
 
Kuna homoni ya ushoga ipo kwenye kinyeo.

Hiyo homoni iligunduliwa na mwanasayansi wa UDSM anaitwa Jesca James mwaka 2003, mwanafunzi wa shahada ya ushoga.

Hadi leo ushoga umetambulika kuwa unachochewa na homoni inayoitwa Thrombomycyin iliyopo katikati ya puru na Marinda.

Hakuna kitu kama hicho.
 
Kpnd tuko watoto kuna mtoto mtaani alikuwa maarufu kama side punga, huyu dogo wa kiume alikuwa na miaka kama 7 lkn alikuwa anatongoza vijana wenzake wa kiume hadi wengine wakiwa darasa la 7, wamuingilie sodomism, kwenye majumba mibovu.

Aliweza kuwapanga wanaume wenzie hata wa5 kwa pamoja kama foleni, na wote akafurah kupelekewa na moto ,na ikawa siri japo ilijulikana baada ya wadau kujisifu mitaani , mpirani ndio iligundulika ila mpk hapo wanafunzi wakubwa wengi alishafanya nao, mpk wazazi wakapiga STOP tusicheze nae.


SASA NASHNDWA ELEWA YULE DOGO KWA UMRI WA MIAKA 7, MAAMUZI NA GENYE ANATOA WAPI?


NB: sasa hv cjui Kawa shoga au kama kaka sina Taarfa zake

Kuna mtu kamharibu tangu akiwa mtoto.
 
Proof ya statement yako iko wapi? Maana wewe sio mtaalam wa sayansi so leta evidence hapa hii ni JF sio Facebook so panda standards.
Ukiona mtu wa hivi.
Proof your statement.
Show your research.
I am qualified in this professionalism.
I did Bsc in blaa, blaa, blaa.
A certain doctor said this blaa, blaa.
A qualified medics research shows this and this.
Hizi ni top notch red flags.
Unataka research ya kazi gani katika suala kama hili la mtu kumfira mwenzake, eti graduate wa a certain university in Tanzania?
 
Ukiona mtu wa hivi.
Proof your statement.
Show your research.
I am qualified in this professionalism.
I did Bsc in blaa, blaa, blaa.
A certain doctor said this blaa, blaa.
A qualified medics research shows this and this.
Hizi ni top notch red flags.
Unataka research ya kazi gani katika suala kama hili la mtu kumfira mwenzake, eti graduate wa a certain university in Tanzania?

Hawa vichaa watataka tufanye tafiti mpaka kwa vitu vilivyowazi ambavyo hata kuku anajua.

Wazungu walijua kutumia silaha ya kufanya Watu watumwa.
Huko chuo ati unaweza kuulizwa Mawingu au udongo ni nini, ati bila kutoa reference basi umekosa.

Yaani wanataka ukariri akili za Watu Wengine hata kwa mambo ya kawaida.
 
Back
Top Bottom