Tripple MM
JF-Expert Member
- May 31, 2023
- 417
- 567
..lazima kuna chuo utakuwa umesomea umechambua kitaalam haswaa [emoji1787]Kina Kirefu MKURUDUNGU / MKUYENGE hauwezi Kuingia / Kuzama Wote MBUNYENI / KOKWANI kwani kunakosekana Balance ya Wimbi, ya uwekaji / Usimikaji wa Miguu ili Kiuno kifanye Kazi yake ya Kutukuka ( hasa katika Kusukuma ndani na kuitoa ), Volume ya Maji ya Bahari, Ujazo wa Chumvi iliyoko Majini katika Eneo husika, Speed ya Maji, Force of Gravity na kusumbuliwa na Samaki wadogo wadogo wanaokuwa Wanawapigieni Chabo wao wakiwa ndani ya Maji.
😂😂😂😂🙌🙌🙌na kapelekewa moto kweli mpaka alivotoka anaichua 😂
Msichana mwenyewe mbona hana hata habari ndio kwanza amerudi nchi kavu kupunga upepo na inavyoonekana wanarudi tena kwa raundi nyingine 😃Hawa vijana ovyo sana! Serkali iwachukulie hatua kali!
View attachment 2791228
Na wewe ndio michezo yako 😂😂😂Wengi wanakua wameridhia 🤔🤔mi kila weekend naendaga beach naonaga tena wengine wanataka wenyewe
Sema wakuu mnaopigia kwenye maji mna moyo😁 nlijaribu sitakaa nirudie
Umeshasave video kwa raha zako 🤣🤣🤣nimesisimka kweli
Hawa ndio wabakaji wenyeweDkt. Gwajima D Tafuta kazi nyingine ya kufanya achana na hao malaya wa hapo coco beach.
Haiwezekan huo ukawa ubakaji hata kidogo.
Skia dada nkupange huyu mtoa mada aliamua kupotosha tu kuonesha huyo mdada kabakwa, full video inaonesha walidinyana vzr na wakatoka kwenye maji wakawa wanashikana vizuri mpaka huyo mdada anarekebisha PeteNa wewe ndio michezo yako 😂😂😂
Afu mkija kwenye vijiwe vyenu mnajibadilisha majina mnajiita mabaharia
Tafuta full video hamna ubakaji mzeeMweshimiwa waziri Dkt. Gwajima D kwa heshima na taadhima kama umepata nafasi ya kuangalia hiyo video hao jamaa ni kama wapenzi tofauti na watu wanavyosema hapa kwamba kuna ubakaji nk
Cha msingi maadili yahimizwe kuanzia ngazi ya familia la sivyo serikali haya mambo kuyamaliza haitoweza maana ni baharini kwenye mito vichakani usiku kwenye giza sasa sijui serikali itashika lipi
Ndio maana nimesema hao ni watu tu wameamua kufanya yao kwenye maji waziri aendelee tu na ratiba nyingineTafuta full video hamna ubakaji mzee
Mwenyewe nimeona kafurahia show kabisa 🤣🤣🤣Skia dada nkupange huyu mtoa mada aliamua kupotosha tu kuonesha huyo mdada kabakwa, full video inaonesha walidinyana vzr na wakatoka kwenye maji wakawa wanashikana vizuri mpaka huyo mdada anarekebisha Pete
Kile kitombo kilifanyikia maji mafupi sio maji marefu, maji marefu huwezi mbato😁 wazoefu wananielewa hapa
Umechelwa imekatwa video, muda fulani ilikuwa full na sura ya huyo binti ikionekana.Kwa ninacho kiona hapo ni hao ni wapenzi wana peana romance mbona sijaona msichana akitoa iyo pichu ?
Watoto wao watakua na watapitia hizo shida na hapo ndipo watajuta kuichekea hii systemJamaa wanakosea humu comment negative sana na utakuta wao wana watoto wakike pia ndugu wa kike hovyo sana
i can see, hata kama wanawake wana harakati hawapiganii hili, hawaandai spece kwenye mitandao kupigania hili lakini Cole, i think Wengi sana, na kwenye Kemp zao huwa wanashindana idadi ya wanawake waliotembea nao.Bado sana. Mpaka siku binti au dada anakumbwa na masaibu haya ndiyo mtu unashtuka. Mfumo dume bado unatawala japo nimeona hata baadhi ya wanawake wenyewe wanaunga mkono. Badooo!
Jamaa wanakosea humu comment negative sana na utakuta wao wana watoto wakike pia ndugu wa kike hovyo sana
Aisee Kwa staili hiyo wanakula hata wasichana 10 kwasiku
Yamkini wana HIV na magonjwa mengine ambukizi maana hiyo ni ngono zembe.i can see, hata kama wanawake wana harakati hawapiganii hili, hawaandai spece kwenye mitandao kupigania hili lakini Cole, i think Wengi sana, na kwenye Kemp zao huwa wanashindana idadi ya wanawake waliotembea nao.